Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,913
- 10,718
sub qn. kwann tunachukua vipimo kutoka usawa wa bahari ?Exactly hakuna mwanadamu anaweza enda sehemu tumefungiwa mkuu ,ukitaka jua ukweli waulize hao nasa wameenda lini na wakupe real footages na sio ma sci fiction images
Sent using Jamii Forums mobile app
nashangaaa wakristo nao hawaamin mandiko kuwa dunia ni flat
