The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

THE EARTH HAS PRESSURIZED AIR AND EMPTY SPACE HAS VACUUM OR IS A VACUUM,THEN WHAT IS THE BARRIER BLOCKING AIR FROM THE VACUUM?
Maswali yako ni ushahidi tosha kuwa uelewa wako katika masuala ya anga ni mdogo sana. Unahitaji maarifa!

Nakurudisha shule;

Air pressure ndiyo husukuma hewa kuelekea katika eneo lenye vacuum. Hili linafahamika!

Let's say, box ambalo hewa iliyopo ndani yake imeondolewa na kufanyika vacuum, pale box hilo linapopasuka au kupasuliwa, air pressure inayolizunguka box ndiyo huisukuma hewa ndani ya box ili kujaza ile vacuum.

Sasa, katika anga kitu kikubwa kinachoathiri air pressure ni altitude ama urefu wa kutoka katika uso wa dunia na kuelekea opposite ama mbali na uso wa dunia.

Kwa lugha nyingine ni kwamba; Air pressure is inversely proportional to the altitude ambapo kadri unapoelekea mbali zaidi kuachana na uso wa dunia ndipo air pressure huwa ndogo zaidi ama hupungua kidogo kidogo.

Katika kiwango hiko cha air pressure kupungua kidogo kidogo kadri umbali unapoongezeka, hupelekea mpaka kufikia kipimo cha air pressure kutokuwepo kabisa katika umbali wa kiwango cha juu zaidi cha tabaka la anga (atmosphere).

Hivyo kutokuwepo kwa air pressure katika umbali huo, hakutokuwa na msukumo (force) utakao wezesha hewa kusukumwa kuelekea katika space.

Hicho ndicho kinachozuia hewa kuingia katika space.

COMBUSTION NEEDS AIR TO PUSH KAMA KWENYE ROCKET NINI KINAPUSH ROCKET KWENYE VACUUM,CAUSE THERE IS NO AIR?
Maswali unayouliza ni mepesi sana na kama si mvivu wa kutafuta maarifa, hayawezi kukushinda. Pia kama hukusoma Sayansi hususani Physics, ni ngumu kuweza kuelewa haya mambo.

Jibu ni, nishati zitumikazo na hizo roketi (Rocket Fuels).

Nakurudisha tena shule;

Kulingana na Newton's Third Law of Motion, every action produces an equal and opposite reaction, ama kwa maneno mengine; "action and reaction are equal and opposite." Hiyo ni Physics nyepesi kabisa!

Katika vacuum ambapo chombo kinapokuwepo, rocket fuel hutumika kuisukuma roketi mbele pale nishati hiyo inaposukumwa nje kutoka upande mmoja wa nyuma wa roketi. Hakuna hewa inayohitajika hapo!

Ndiyo maana missions hizo huwa na gharama kubwa sababu nishati nyingi hutumika kufanya hilo zoezi.

Ukitaka kuthibitisha hilo, fanya utafiti mdogo tu;

Chukua viatu vya matairi, kisha vivae na usimame na kitu kizito mathalani gunia lenye mzigo wa kilo zisizo pungua 10, kisha lirushe kuelekea mbele yako.

Ile force ya kulirusha gunia mbele itakusukuma wewe pamoja na viatu vyako kuelekea nyuma na ndicho kitokeacho katika space ambapo nishati itolewayo kwa force kubwa (thrust) kutokea nyuma ya roketi, inatumika kuisukuma roketi kuelekea mbele ama sehemu inapohitajika kwenda.

Mfano mwingine;
Ukiendelea kuwa na viatu vyako vya matairi miguuni, chukua bunduki (Shortgun) kisha simama nayo upige risasi moja kulekea mbele yako, nguvu ama msukumo utakaokurudisha nyuma utaenda kusimulia katika kile kijiwe chenu cha kahawa pale mtaani!

Nina maana ya kwamba, nguvu inayokurudisha nyuma au kinyume nyume ndiyo hiyo inayotumika kuisukuma roketi kuelekea mahala inakotakiwa.

Kuta za barafu tafuta helicopter fata compass yako uelekeo wa south ukikuta ukuta wa barafu anza kuuzunguka ,huwezi tafuta kazi zingine za utumwa endelea nazo.
Hakuna kitu kama hicho!

Hao flat-earthers wameshindwaje kutafuta hiyo helicopter na kuelekea huko "south" unakosema ili kuthibitisha na kuipa nguvu nadharia yao?

Anayepaswa kuuthibitisha kwa ushahidi ni yule asemaye huo "ukuta" upo na si vinginevyo. Tunahitaji utafiti wao na si porojo!
 
Maswali yako ni ushahidi tosha kuwa uelewa wako katika masuala ya anga ni mdogo sana. Unahitaji maarifa!

Nakurudisha shule;

Air pressure ndiyo husukuma hewa kuelekea katika eneo lenye vacuum. Hili linafahamika!

Let's say, box ambalo hewa iliyopo ndani yake imeondolewa na kufanyika vacuum, pale box hilo linapopasuka au kupasuliwa, air pressure inayolizunguka box ndiyo huisukuma hewa ndani ya box ili kujaza ile vacuum.

Sasa, katika anga kitu kikubwa kinachoathiri air pressure ni altitude ama urefu wa kutoka katika uso wa dunia na kuelekea opposite ama mbali na uso wa dunia.

Kwa lugha nyingine ni kwamba; Air pressure is inversely proportional to the altitude ambapo kadri unapoelekea mbali zaidi kuachana na uso wa dunia ndipo air pressure huwa ndogo zaidi ama hupungua kidogo kidogo.

Katika kiwango hiko cha air pressure kupungua kidogo kidogo kadri umbali unapoongezeka, hupelekea mpaka kufikia kipimo cha air pressure kutokuwepo kabisa katika umbali wa kiwango cha juu zaidi cha tabaka la anga (atmosphere).

Hivyo kutokuwepo kwa air pressure katika umbali huo, hakutokuwa na msukumo (force) utakao wezesha hewa kusukumwa kuelekea katika space.

Hicho ndicho kinachozuia hewa kuingia katika space.


Maswali unayouliza ni mepesi sana na kama si mvivu wa kutafuta maarifa, hayawezi kukushinda. Pia kama hukusoma Sayansi hususani Physics, ni ngumu kuweza kuelewa haya mambo.

Jibu ni, nishati zitumikazo na hizo roketi (Rocket Fuels).

Nakurudisha tena shule;

Kulingana na Newton's Third Law of Motion, every action produces an equal and opposite reaction, ama kwa maneno mengine; "action and reaction are equal and opposite." Hiyo ni Physics nyepesi kabisa!

Katika vacuum ambapo chombo kinapokuwepo, rocket fuel hutumika kuisukuma roketi mbele pale nishati hiyo inaposukumwa nje kutoka upande mmoja wa nyuma wa roketi. Hakuna hewa inayohitajika hapo!

Ndiyo maana missions hizo huwa na gharama kubwa sababu nishati nyingi hutumika kufanya hilo zoezi.

Ukitaka kuthibitisha hilo, fanya utafiti mdogo tu;

Chukua viatu vya matairi, kisha vivae na usimame na kitu kizito mathalani gunia lenye mzigo wa kilo zisizo pungua 10, kisha lirushe kuelekea mbele yako.

Ile force ya kulirusha gunia mbele itakusukuma wewe pamoja na viatu vyako kuelekea nyuma na ndicho kitokeacho katika space ambapo nishati itolewayo kwa force kubwa (thrust) kutokea nyuma ya roketi, inatumika kuisukuma roketi kuelekea mbele ama sehemu inapohitajika kwenda.

Mfano mwingine;
Ukiendelea kuwa na viatu vyako vya matairi miguuni, chukua bunduki (Shortgun) kisha simama nayo upige risasi moja kulekea mbele yako, nguvu ama msukumo utakaokurudisha nyuma utaenda kusimulia katika kile kijiwe chenu cha kahawa pale mtaani!

Nina maana ya kwamba, nguvu inayokurudisha nyuma au kinyume nyume ndiyo hiyo inayotumika kuisukuma roketi kuelekea mahala inakotakiwa.


Hakuna kitu kama hicho!

Hao flat-earthers wameshindwaje kutafuta hiyo helicopter na kuelekea huko "south" unakosema ili kuthibitisha na kuipa nguvu nadharia yao?

Anayepaswa kuuthibitisha kwa ushahidi ni yule asemaye huo "ukuta" upo na si vinginevyo. Tunahitaji utafiti wao na si porojo!
Mzee wa Corona unafika hadi huku?
 
Mkuu REALITY tumebishana sana hutaki kushindwa mimi naomba kama unapicha unioneshe mwisho wa hiyo flat disc pale kwenye ukuta wa barafu ambapo ukifika mwisho unaweza unaanguka tuseme.

Kutokana na nadharia yenu kuna sehemu disc inafika mwisho kama una picha real nioneshe acha hizo CGI zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maswali yako ni ushahidi tosha kuwa uelewa wako katika masuala ya anga ni mdogo sana. Unahitaji maarifa!

Nakurudisha shule;

Air pressure ndiyo husukuma hewa kuelekea katika eneo lenye vacuum. Hili linafahamika!

Let's say, box ambalo hewa iliyopo ndani yake imeondolewa na kufanyika vacuum, pale box hilo linapopasuka au kupasuliwa, air pressure inayolizunguka box ndiyo huisukuma hewa ndani ya box ili kujaza ile vacuum.

Sasa, katika anga kitu kikubwa kinachoathiri air pressure ni altitude ama urefu wa kutoka katika uso wa dunia na kuelekea opposite ama mbali na uso wa dunia.

Kwa lugha nyingine ni kwamba; Air pressure is inversely proportional to the altitude ambapo kadri unapoelekea mbali zaidi kuachana na uso wa dunia ndipo air pressure huwa ndogo zaidi ama hupungua kidogo kidogo.

Katika kiwango hiko cha air pressure kupungua kidogo kidogo kadri umbali unapoongezeka, hupelekea mpaka kufikia kipimo cha air pressure kutokuwepo kabisa katika umbali wa kiwango cha juu zaidi cha tabaka la anga (atmosphere).

Hivyo kutokuwepo kwa air pressure katika umbali huo, hakutokuwa na msukumo (force) utakao wezesha hewa kusukumwa kuelekea katika space.

Hicho ndicho kinachozuia hewa kuingia katika space.


Maswali unayouliza ni mepesi sana na kama si mvivu wa kutafuta maarifa, hayawezi kukushinda. Pia kama hukusoma Sayansi hususani Physics, ni ngumu kuweza kuelewa haya mambo.

Jibu ni, nishati zitumikazo na hizo roketi (Rocket Fuels).

Nakurudisha tena shule;

Kulingana na Newton's Third Law of Motion, every action produces an equal and opposite reaction, ama kwa maneno mengine; "action and reaction are equal and opposite." Hiyo ni Physics nyepesi kabisa!

Katika vacuum ambapo chombo kinapokuwepo, rocket fuel hutumika kuisukuma roketi mbele pale nishati hiyo inaposukumwa nje kutoka upande mmoja wa nyuma wa roketi. Hakuna hewa inayohitajika hapo!

Ndiyo maana missions hizo huwa na gharama kubwa sababu nishati nyingi hutumika kufanya hilo zoezi.

Ukitaka kuthibitisha hilo, fanya utafiti mdogo tu;

Chukua viatu vya matairi, kisha vivae na usimame na kitu kizito mathalani gunia lenye mzigo wa kilo zisizo pungua 10, kisha lirushe kuelekea mbele yako.

Ile force ya kulirusha gunia mbele itakusukuma wewe pamoja na viatu vyako kuelekea nyuma na ndicho kitokeacho katika space ambapo nishati itolewayo kwa force kubwa (thrust) kutokea nyuma ya roketi, inatumika kuisukuma roketi kuelekea mbele ama sehemu inapohitajika kwenda.

Mfano mwingine;
Ukiendelea kuwa na viatu vyako vya matairi miguuni, chukua bunduki (Shortgun) kisha simama nayo upige risasi moja kulekea mbele yako, nguvu ama msukumo utakaokurudisha nyuma utaenda kusimulia katika kile kijiwe chenu cha kahawa pale mtaani!

Nina maana ya kwamba, nguvu inayokurudisha nyuma au kinyume nyume ndiyo hiyo inayotumika kuisukuma roketi kuelekea mahala inakotakiwa.


Hakuna kitu kama hicho!

Hao flat-earthers wameshindwaje kutafuta hiyo helicopter na kuelekea huko "south" unakosema ili kuthibitisha na kuipa nguvu nadharia yao?

Anayepaswa kuuthibitisha kwa ushahidi ni yule asemaye huo "ukuta" upo na si vinginevyo. Tunahitaji utafiti wao na si porojo!
Unajua maana ya vacuum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu REALITY tumebishana sana hutaki kushindwa mimi naomba kama unapicha unioneshe mwisho wa hiyo flat disc pale kwenye ukuta wa barafu ambapo ukifika mwisho unaweza unaanguka tuseme.

Kutokana na nadharia yenu kuna sehemu disc inafika mwisho kama una picha real nioneshe acha hizo CGI zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siko kwenye mabishano natetea tu hoja yangu.

Halafu mnataka picha zipi si muende tu.
IMG_20200308_200150_403.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Our journey begins with a man named Richard E. Byrd or more commonly known as Admiral Byrd. He was a highly decorated service member achieving the Medal of Honor and had an unquenchable thirst for exploring the unknown. This drive sent him to Antarctica numerous times, but the one expedition of interest is “Operation HighJump” (1946–1947). For this mission he was supported by the US Navy, giving him plenty of ships, boats, aircraft, and personnel to accomplish his goal. Well, he found something in Antarctica and in an interview gave an account of what he seen. At the bottom of the page I’ll post links for videos that deal with Admiral Byrd and his time spent in Antarctica.


Here are a few quotes pulled from that interview, “Strangely enough, there is an area left in the world today an area as big as the United States that’s never been seen by a human being.” Byrd said he found this area as he moved further into Antarctica and even went on to say, “It’s an untouched reservoir of natural resources”. This isn’t the desolate wasteland of ice and snow that we typically think about when we imagine Antarctica, but according to the admiral if you travel far enough inland that is what you’ll see. Now unfortunately we cannot trust everything Byrd said as he was a Freemason (A future post will go over why I don’t trust masons and expose their satanic practices), but it has been reported that he lost plane after plane due to some invisible barrier. Not too long after this started taking place did the expedition end, six months ahead of schedule mind you.


Admiral Byrd participated in one last mission to Antarctica, “Operation Deep Freeze 1” (1955–1956), it was during this time that the United States set up permanent bases there. Three years after this expedition, The Antarctic Treaty (1959) is created and agreed upon by 12 countries (Today that number is 53). This treaty makes it illegal for everyday citizens to travel to Antarctica, sure there are cruises that will take to you to certain areas, but you will not be able to go exploring on your own. In fact, people have been arrested and vanished for unauthorized sailing in the arctic waters, Jarle Andhoy is one such person who was detained after he went searching for the missing Berserk vessel. Not only is sailing or trekking across Antarctica illegal but you can’t even fly a plane over it. Something interesting to note, no one has ever flow over the South Pole, you would think someone with enough money would want the title of being the first person to achieve such a feat. But as you and I know it’s impossible to fly over the South Pole, as some of the pilots found out with Admiral Byrd.


Something is found in Antarctica, most likely the edge of the dome, then the area is shut down and kept by various countries around the world; the treaty of which has never been violated. The next event to occur is “operation fishbowl project Dominic” (1962), translated it reads fishbowl of the Lord, a very peculiar name wouldn’t you say? During this operation both the United States and the Soviet Union launch nuke after nuke straight up into the sky. Why? Many others and I in the truth community believe they were testing the boundaries of the firmament. Here’s a quote from Dr. John Mack, Dept. of Defense during operation fishbowl, “Nothing has or ever will penetrate the glass dome”. If you found out you lived inside of an enclosed system wouldn’t you start testing the boundaries and trying to figure out how far it goes, how high it reaches, and if you can possibly dig underneath it? That’s exactly what the US and Russia did, they even started digging, the deepest hole is the Kola borehole and it only goes 8 miles down! Yet in school we’re taught that scientist know exactly how far it is to the center of the earth and what lies there.

IMG_20200308_204547_090.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Our journey begins with a man named Richard E. Byrd or more commonly known as Admiral Byrd. He was a highly decorated service member achieving the Medal of Honor and had an unquenchable thirst for exploring the unknown. This drive sent him to Antarctica numerous times, but the one expedition of interest is “Operation HighJump” (1946–1947). For this mission he was supported by the US Navy, giving him plenty of ships, boats, aircraft, and personnel to accomplish his goal. Well, he found something in Antarctica and in an interview gave an account of what he seen. At the bottom of the page I’ll post links for videos that deal with Admiral Byrd and his time spent in Antarctica.


Here are a few quotes pulled from that interview, “Strangely enough, there is an area left in the world today an area as big as the United States that’s never been seen by a human being.” Byrd said he found this area as he moved further into Antarctica and even went on to say, “It’s an untouched reservoir of natural resources”. This isn’t the desolate wasteland of ice and snow that we typically think about when we imagine Antarctica, but according to the admiral if you travel far enough inland that is what you’ll see. Now unfortunately we cannot trust everything Byrd said as he was a Freemason (A future post will go over why I don’t trust masons and expose their satanic practices), but it has been reported that he lost plane after plane due to some invisible barrier. Not too long after this started taking place did the expedition end, six months ahead of schedule mind you.


Admiral Byrd participated in one last mission to Antarctica, “Operation Deep Freeze 1” (1955–1956), it was during this time that the United States set up permanent bases there. Three years after this expedition, The Antarctic Treaty (1959) is created and agreed upon by 12 countries (Today that number is 53). This treaty makes it illegal for everyday citizens to travel to Antarctica, sure there are cruises that will take to you to certain areas, but you will not be able to go exploring on your own. In fact, people have been arrested and vanished for unauthorized sailing in the arctic waters, Jarle Andhoy is one such person who was detained after he went searching for the missing Berserk vessel. Not only is sailing or trekking across Antarctica illegal but you can’t even fly a plane over it. Something interesting to note, no one has ever flow over the South Pole, you would think someone with enough money would want the title of being the first person to achieve such a feat. But as you and I know it’s impossible to fly over the South Pole, as some of the pilots found out with Admiral Byrd.


Something is found in Antarctica, most likely the edge of the dome, then the area is shut down and kept by various countries around the world; the treaty of which has never been violated. The next event to occur is “operation fishbowl project Dominic” (1962), translated it reads fishbowl of the Lord, a very peculiar name wouldn’t you say? During this operation both the United States and the Soviet Union launch nuke after nuke straight up into the sky. Why? Many others and I in the truth community believe they were testing the boundaries of the firmament. Here’s a quote from Dr. John Mack, Dept. of Defense during operation fishbowl, “Nothing has or ever will penetrate the glass dome”. If you found out you lived inside of an enclosed system wouldn’t you start testing the boundaries and trying to figure out how far it goes, how high it reaches, and if you can possibly dig underneath it? That’s exactly what the US and Russia did, they even started digging, the deepest hole is the Kola borehole and it only goes 8 miles down! Yet in school we’re taught that scientist know exactly how far it is to the center of the earth and what lies there.

View attachment 1381235

Sent using Jamii Forums mobile app
Unasema watu waache kutumia mawazo ya watu wakati na wewe unatumia mawazi ya watu. This is wierd

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom