Swali hilo haliwezi kujibiwa na flat-earthers sababu muundo mzima wa flat-earth ni illogical. Hilo swali watalikimbia tu!
Jua hilo hilo katika nyakati tofauti linabadili sura ya mwangaza wake, linabadili njia katika mzunguko, linasogea "north" kisha baadaye tena linahama kuiacha "north" hapo hapo linahitaji kukamilisha mzunguko wake kamili wa kila siku. Hahaha!
Huwezi kuwa na ufahamu sahihi ukakubaliana na huo upuuzi wa flat-earthers.
Flat-earthers ni kikundi cha uzushi na mizaha tu ifanywayo na watu wajuao wakifanyacho.
Wakiwa proved wrong kuhusiana na uzushi wao, wanatunga uzushi mwingine mpya ilhali wakijua kabisa kuwa ni uzushi na kwa makusudi hawataki kukubali, hakuna uhalisia wowote wala mantiki katika hizo theories zao, wala uthibitisho wowote juu ya hayo madai yao!
Jambo la kustaajabisha ni kuwa, kuna kundi jingine ambalo linadiriki kuipokea na kuiamini hiyo mizaha bila kufikiri wala kuhoji. Miongoni mwao ndiyo hawa wadandiaji tunaokutana nao mitandaoni kila siku.
Ni wadandiaji tu ambao wameamua kuwa wavivu wa kufikiri.
BibliaBoss mbona una mada duble duble, kwa hiyo Earth ikiwa kama yai inamkataa Mungu wenu, na ikiwa flat inamkubali Mungu wenu, tuelekeze huko katika huo ukuta kuna nini au ndio wayahudi wanatajirikia huko?Mkuu sayansi zako tumia kutukomboa ndugu zako hapa Tanzani hiyo dunia bapa kwa sasa haitusaidii kitu na huu ni mwaka wa uchaguzi,tuendelee kula msoto kama nchi japo wachache mnaishi vyema....
Halafu mungu wanae mhubiri humu hawa flat Earthers uwezo wake utakuwa mdogo kama anashindwa kuzuia Watu na Vitu kuishi kwenye Globe Earth! Kama ni Mungu wa Mbinguni tunajua uwezo wake ni mkubwa hauna limit ndiye anafanya kila kitu kinaendelea kubaki kwenye Globe Earth!😃😃Boss mbona una mada duble duble, kwa hiyo Earth ikiwa kama yai inamkataa Mungu wenu, na ikiwa flat inamkubali Mungu wenu, tuelekeze huko katika huo ukuta kuna nini au ndio wayahudi wanatajirikia huko?Mkuu sayansi zako tumia kutukomboa ndugu zako hapa Tanzani hiyo dunia bapa kwa sasa haitusaidii kitu na huu ni mwaka wa uchaguzi,tuendelee kula msoto kama nchi japo wachache mnaishi vyema....
Halafu mungu wanae mhubiri humu hawa flat Earthers uwezo wake utakuwa mdogo kama anashindwa kuzuia Watu na Vitu kuishi kwenye Globe Earth! Kama ni Mungu wa Mbinguni tunajua uwezo wake ni mkubwa hauna limit ndiye anafanya kila kitu kinaendelea kubaki kwenye Globe Earth!