Inachukua masaa mangapi toka kwenye ukuta wa barafu mpaka kwenye hiyo firmament na ni umbali kilometers ngapi?!
Thats classified and its very confidential no civilian knows rather than the higher governments and afteral hata ndege haziruhusiwi kuvuka southpole kwakuwa wanajua its not far much zitaenda gonga dome.Inachukua masaa mangapi toka kwenye ukuta wa barafu mpaka kwenye hiyo firmament na ni umbali kilometers ngapi?!
Unajuwa bado unajichanganya na unasabisha maswali mengi juu ya unacho kitetea hapa ! Nyie flat Earthers mlipata kutoka kwa nani taarifa ambayo ni classified and confidential?! Kwa Antarctic unayo tuonesha hapa ni kubwa kuzunguka Dunia na kuliko eneo linalo kaliwa na Watu! Ulinzi wa Mipaka ya Nchi na Nchi inashindikana kulindwa na bado Watu wana penya kiharamu! Itawezekanaje huko pakubwa zaidi kuzunguka Dunia Kila nafasi iwe na Ulinzi wa kuwashinda Watu kupenya?! Ulishasema Dome yenyewe ni ngumu rocket ilishaga wahi kuigonga ikalipuka na kuanguka chini. Wewe unafikiri Mamlaka wanashindwa kuweka rada na mawasiliano ya kuongoza Ndege zisigonge kwenye Dome?!Thats classified and its very confidential no civilian knows rather than the higher governments and afteral hata ndege haziruhusiwi kuvuka southpole kwakuwa wanajua its not far much zitaenda gonga dome.
Just do your research man,he ni kwa faida yako,hivi vitu vikoconnected sana na vinafanyika nyuma ya pazia kwahiyo inahitaji jicho la tatu wakati unatafiti sio mehemko,hekima hufungua maarifa zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unayesema kuna dome ndo unatakiwa uthibitishe kwamba ipo sio kazi yangu hiyo. Unasema dome ipo halafu unataka mimi ninayesema haipo nithibitishe?Nimekuambia kama unataka picha vuka hizo ice walls nenda kapige ukikuta hakuna dome then prove me wrong.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha kuzunguka na hzo video, we picha halisi ya hiyo firmament sijui dome tuione.
Umeshindwa thibitisha umeishia kusema panalindwa conspiracy hizo mkuu.Issue ni kuwa ukichukua picha za dome utaprove uwepo wa MUNGU na dhana nzima ya space science itakuwa ni ujinga ndo maana panalindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemaliza amini ukijuacho peace.REALITY umeseema pale juu kwamba ukifika kwenye dome utaprove uwepo wa Mungu na wenyewe hawataki.
Hizo dini na habari za Mungu nani alizileta huku kama si wao iweje leo wazuie watu kuthibitisha uwepo wake? Hii ngumu kumeza mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
.Umeshindwa thibitisha umeishia kusema panalindwa conspiracy hizo mkuu.
Ukiwa muumin wa conspiracy theories kila kitu utahisi unadanganywa.
Hao walinzi umewahi kuwaona? Unaweza thibitisha kwamba wapo? Ni kutoka nchi gani?
Kwa hiyo kwenye masuala ya space hata mahasimu kama Marekani, China na Russia huwa wanaweka uhasimu pembeni halafu wanaungana kutudanganya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajuwa bado unajichanganya na unasabisha maswali mengi juu ya unacho kitetea hapa ! Nyie flat Earthers mlipata kutoka kwa nani taarifa ambayo ni classified and confidential?! Kwa Antarctic unayo tuonesha hapa ni kubwa kuzunguka Dunia na kuliko eneo linalo kaliwa na Watu! Ulinzi wa Mipaka ya Nchi na Nchi inashindikana kulindwa na bado Watu wana penya kiharamu! Itawezekanaje huko pakubwa zaidi kuzunguka Dunia Kila nafasi iwe na Ulinzi wa kuwashinda Watu kupenya?! Ulishasema Dome yenyewe ni ngumu rocket ilishaga wahi kuigonga ikalipuka na kuanguka chini. Wewe unafikiri Mamlaka wanashindwa kuweka rada na mawasiliano ya kuongoza Ndege zisigonge kwenye Dome?!
Ok nyt mkuuUnatafuta picha tu unaweka pasipo uthibitisho wowote acha hizo mkuu angalia na watu unaojadiliana nao.
BTW tumeshafunga mjadala nadhani
badala ya kunijibu unaleta upuuzi wa kiingereza ambacho hakiwezi kuwa jawabu la maswali niliyo kuuliza!
badala ya kunijibu unaleta upuuzi wa kiingereza ambacho hakiwezi kuwa jawabu la maswali niliyo kuuliza!