iyo picha wametengeneza tu. hakuna mwanadamu mwenye confidence ya kusimama na kufanya kitu kama hicho mbele ya Ahmadinejad...si unaona hata ahmd mwenyewe hajapay attention kwa uyo mwanamke..hakuwepo...polisi wa usalama walikuwa wapi ili kusafisha njia wakati gari ya rais inakuja?hii ni kupoteza muda kujadili kitu ambacho hakipo na hakitakuja kutokea duniani. ikitokea hivyo, atashuka mwenyewe kwenye gari, hatahitaji msaada wa polisi, na atamshugulikia fasta.
Mh, natamani waje wamfanyie na wa hapahapa kitu hiyo, safi ssana, wanajifanya miungu sana wakikalia ikulu..........tehe tehe hata kama imetengenezwa lakini ina ujumbe mzuuri ssanaaaa kwa watawala.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.