Magogwajr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 221
- 20
unanichefua na the same statement everywhere.....we kwa akili yako katika kila kitu its all about Gadaffi,wanaokufa kule Libya ni wangapi?umeona nchi ilivyokuwa imejengwa vizuri,miundombinu yao,social services zao zilivyoharibika? watakaoumia ni wananchi wa Libya si Gadaffi na familia yake kama unavyowaza......Gadaffi akifa/akiondolewa na familia yake bado haitajenga Libya iliyojengwa na Gadaffi kwa miaka 40.....stop bn subjective and change the song.....its boring!:smash:
thanx very much michelle.... kuna watu wanawaza juu juu hivi wanafikiri ghadafi akiondolewa na wamarekani ndio maisha yatakuwa mazuri libya? mnafikiri marekani anapeleka demokrasia libya eti? nchi ya libya haita tawalika tena hasa kama marekani na washirika wake watamtoa ghadafi madarakani na watakao umia zaidi ni raia wa libya na sio marekani wala ghadafi. kama marekani wameenda kuwalinda raia wa libya dhidi ya ghadafi unajua ni raia wasio na hatia wangapi wamekufa mpaka sasa kutokana na mashambulizi ya wamarekani? tuache ushabiki wa kinafiki. me mwenyewe ningependa ghadafi atoke madarakani lakini si kwa njia inayotumiwa na hawa wamarekani (wezi wa mafuta) . wake up africans tumechoka na propaganda az wazungu na uongo wanaoueneza.