The Ugly Truth: Wanaume Wote ni Malaya na Wasaliti

MHUBIRI 7:
28Nilipania kugundua mambo hayo tena na tena, lakini sikufaulu. Kati ya wanaume elfu moja, nilifaulu kumwona mwanamume mmoja, anayestahili heshima, lakini kati ya wanawake wote kama hao sikumwona hata mmoja anayestahili heshima.
29Tazama, nimegundua jambo hili moja: Kwamba Mungu aliwaumba wanadamu wanyofu, lakini wao wenyewe wamejitafutia matatizo.
 
Wanaume & wanawake hucheat. Tofauti ya wanaume na wanawake katk kucheat n kuwa mwanaume anacheat kimihemuko tu. Yaani bila sababu ya msingi just to fulfill ile hali yake kwa mda. Na hujutia baada ya hapo na kusahau.

Mwanamke yeye hucheat kihisia.Yani ukiona mwanamke amecheat ujue kuna kitu anakosa especially kihisia kama vile kuhisi hapendwi au hakuvutii kwaiyo akipata mtu akamsifia anaanz kumpenda.

Ivyo basi. Wanaume kucheat n kawaida ila mwanamke wako asijue. Na usiendekeze kama kupiga punyeto. Just once in 6months. Na unakata mawasiliano. Ukiendekeza michepuko ndo haya ndoa znavunjika.
 
MHUBIRI 7:
28Nilipania kugundua mambo hayo tena na tena, lakini sikufaulu. Kati ya wanaume elfu moja, nilifaulu kumwona mwanamume mmoja, anayestahili heshima, lakini kati ya wanawake wote kama hao sikumwona hata mmoja anayestahili heshima.
29Tazama, nimegundua jambo hili moja: Kwamba Mungu aliwaumba wanadamu wanyofu, lakini wao wenyewe wamejitafutia matatizo.
Maana Ake hakuna mkamilifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bahati mbaya hao walio single wanawakubar sana wanaume wenye mahusiano kuliko sisi tulio single. Na wanawake walioolewa ndio wepesi kutongozwa na kumkubari mwanaume ambae ajaoa kuliko walio single
Had hapo nan malaya?
Bado mwanaume ndio malaya. Wewe hauoni?
 
Naweka kambi rasmi hapa
Nmekuletea na kiti kabisa mahondaw
IMG_20220127_133820.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unahasira sana japo umetoa asilimia 99% kwa wanawake kutokusaliti ila umejiuliza hii 99% ya wanaume wanapiga wapi kama sii kwa hawo watakatifu wako ambao umedai sii wasaliti, punguza asira maana wewe umezaliwa pekeako na ujue mwili wako utaitumiaje....vingine mwaachie mwenza wako ajue mwenyewe
 
Mwanamke anaweza kuishi katika ndoa au mahusiano bila kucheat kwa asilimia 99 na wanaume wanaweza kuishi bila kucheat kwa asilimia 1 kwa sababu ni nature ya mwanaume kuwa hivyo.Kwahiyo ukiona mumeo au mpenzi wako hujamkamata inabidi umuheshimu saaana kwasababu anafanya kwa umakini na usiri wa hali ya juu ili asiumize hisia zako.wanaume wasiochet ni wale wagonjwa na makasisi wacha Mungu tu. Wengine wooote tupa kule.

Huu ndio ukweli mchungu kuhusu wanaume, Na ukweli unabaki palepale kuwa asilimia 99 ya wanaume wanatoka nje ya ndoa au mahusiano yao tena bila kuwa sababu ya msingi they just do haimaanishi kwa kufanya hivyo hawawapendi wake zao bali ni maumbile yao ndio yanawatuma hivyo. Kwahiyo kama umeolewa au una mpenzi ukimakamata na mwanamke mwingine usimhukumu kwa KUCHEAT bali mhukumu kwa KUCHEAT KIPUMBAVU mpaka akakamatwa wakati wenzake wanacheat na hawakamtwi.
wakwako ndo yuko hivyo, hivi labda nikuulize unaposema wanaume wanacheat 99% na wanawake 1% hiyo asilimia 99 wanacheat na wanyama au na haohao wanawake unaowatetea tena wake za watu.
 
Back
Top Bottom