Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Everyone can say yes because saying yes no longer says much, and saying no has become too costly. Acceptance of the two-state solution signals continuation of the Tanzania-Zanzibarians struggle by other means.
Tunahitaji serikali tatu .Tanganyika ,Zanzibar na Tanzania kwa maana hiyo serikali ya CCM chawachikeni kulia ili iundwe serikali ya Tanganyika mambo ya kutuburuzia mpaka Bunge na Mkuu wa bunge yaishe.Kwa ilivyo mnaona Bunge ni lenu mahakama ni zenu vyombo vya dola ni vyenu mbali ya kuhodhi mali zilizokuwepo wakati wa utawala wa chama kimoja,vyombo vyote hivyo vitakabidhiwa serikali ya Muungano na kuendeshea mambo yake,sasa hayo yawe yamefikia mwisho na wanaJF pelekeni ujumbe huu kwa viongozi wa vyama vya upinzani ili waanze harakati za kuitafuta serikali ya Tanganyika vinginevyo tutakuwa tunajidanganya na kupigwa mabuti kila uchaguzi,umuhimu wa kuwepo kwa serikali ya Tanganyika upo hapa ,kuivua madaraka ya kibeberu CCM. Njia ni hiyo tu ya kuisaka serikali ya Tanganyika.Mambo ya kusema mnaelekea serikali moja sasa tumeshayashitukia na ndio mlipofikia kumuweka kiti moto Spika na wabunge wengine,mnawatisha mnawadhalilisha mnawaundia kamati za kuwashughulikia ,hii peke yake ni jambo la aibu ,mnaposema mtawashughulia je inamaana mtawaua,ndio maana yake.
Na faida itakayopatikana hapa ni kuiondoa serikali ya CCM na vyombo vyake ,ili tupate vyombo huru vitakavyosimamiwa kwa mgawanyo na serikali kuu ya Muungano ,kwa makubaliano ambayo kila Mtanzania atayaona na kuyatolea maoni.
Tunahitaji serikali tatu .Tanganyika ,Zanzibar na Tanzania kwa maana hiyo serikali ya CCM chawachikeni kulia ili iundwe serikali ya Tanganyika mambo ya kutuburuzia mpaka Bunge na Mkuu wa bunge yaishe.Kwa ilivyo mnaona Bunge ni lenu mahakama ni zenu vyombo vya dola ni vyenu mbali ya kuhodhi mali zilizokuwepo wakati wa utawala wa chama kimoja,vyombo vyote hivyo vitakabidhiwa serikali ya Muungano na kuendeshea mambo yake,sasa hayo yawe yamefikia mwisho na wanaJF pelekeni ujumbe huu kwa viongozi wa vyama vya upinzani ili waanze harakati za kuitafuta serikali ya Tanganyika vinginevyo tutakuwa tunajidanganya na kupigwa mabuti kila uchaguzi,umuhimu wa kuwepo kwa serikali ya Tanganyika upo hapa ,kuivua madaraka ya kibeberu CCM. Njia ni hiyo tu ya kuisaka serikali ya Tanganyika.Mambo ya kusema mnaelekea serikali moja sasa tumeshayashitukia na ndio mlipofikia kumuweka kiti moto Spika na wabunge wengine,mnawatisha mnawadhalilisha mnawaundia kamati za kuwashughulikia ,hii peke yake ni jambo la aibu ,mnaposema mtawashughulia je inamaana mtawaua,ndio maana yake.
Na faida itakayopatikana hapa ni kuiondoa serikali ya CCM na vyombo vyake ,ili tupate vyombo huru vitakavyosimamiwa kwa mgawanyo na serikali kuu ya Muungano ,kwa makubaliano ambayo kila Mtanzania atayaona na kuyatolea maoni.
Last edited: