Hello people!
Naomba ieleweke wazi kabisa tuhuma zilizotolewa na Chadema zitatikisa taifa letu na kuna mabadiliko makubwa yatatokea kutokana na tuhuma hizo,kwa taarifa ni kwamba hizi tuhuma zitakwenda mbali kuliko tunavyofikiri
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa Kikwete hausiki kwa namna yoyote ile na tuhuma hizi yeye binafsi,nimefanya kazi na Kikwete ninamjua vizuri japo sio Adequate to accomplish a purpose by any means!
Mhusika mkuu wa tukio zima au shutuma zilizoletwa na Chadema sio mwingine bali ni Edward Lowassa,
najua kuna watu wake hapa Jf na kama mnasoma hii tuingie moja kwa moja kwenye Hoja na Evidence!
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa serikali ya Tanzania kwa sasa inaongozwa na Edward lowassa,na hakuna mtu au taasisi yoyote ile hapa nchini kuzuia hilo
update follow shortly
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa Kikwete hausiki kwa namna yoyote ile na tuhuma hizi yeye binafsi,nimefanya kazi na Kikwete ninamjua vizuri japo sio Adequate to accomplish a purpose by any means!
Mhusika mkuu wa tukio zima au shutuma zilizoletwa na Chadema sio mwingine bali ni Edward
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa serikali ya Tanzania kwa sasa inaongozwa na Edward lowassa,na hakuna mtu au taasisi yoyote ile hapa nchini kuzuia hilo
Hello people!
Naomba ieleweke wazi kabisa tuhuma zilizotolewa na Chadema zitatikisa
taifa letu na kuna mabadiliko makubwa yatatokea kutokana na tuhuma
hizo,kwa taarifa ni kwamba hizi tuhuma zitakwenda mbali kuliko
tunavyofikiri
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa Kikwete hausiki kwa namna yoyote ile na
tuhuma hizi yeye binafsi,nimefanya kazi na Kikwete ninamjua vizuri japo
sio Adequate to accomplish a purpose by
any means!
Mhusika mkuu wa tukio zima au shutuma zilizoletwa na Chadema sio
mwingine bali ni Edward Lowassa,
najua kuna watu wake hapa Jf na kama mnasoma hii tuingie moja kwa moja
kwenye Hoja na Evidence!
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa serikali ya Tanzania kwa sasa
inaongozwa na Edward lowassa,na hakuna mtu au taasisi yoyote ile hapa
nchini kuzuia hilo
update follow shortly
Ipo wazi,TISS 75% wanafanya kazi na Lowassa
hello people!
Naomba ieleweke wazi kabisa tuhuma zilizotolewa na chadema zitatikisa taifa letu na kuna mabadiliko makubwa yatatokea kutokana na tuhuma hizo,kwa taarifa ni kwamba hizi tuhuma zitakwenda mbali kuliko tunavyofikiri
naomba ieleweke wazi kabisa kuwa kikwete hausiki kwa namna yoyote ile na tuhuma hizi yeye binafsi,nimefanya kazi na kikwete ninamjua vizuri japo sio adequate to accomplish a purpose by any means!
Mhusika mkuu wa tukio zima au shutuma zilizoletwa na chadema sio mwingine bali ni edward lowassa,
najua kuna watu wake hapa jf na kama mnasoma hii tuingie moja kwa moja kwenye hoja na evidence!
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa serikali ya tanzania kwa sasa inaongozwa na edward lowassa,na hakuna mtu au taasisi yoyote ile hapa nchini kuzuia hilo
update follow shortly
Ipo wazi,TISS 75% wanafanya kazi na Lowassa
mkuu nani atampa kura ?????????????sisi wananchi tena au na ninini kimedhihirisha haya yote???????????????watanzania wote waelewe kwa sasa hivi Lowassa ndiye Rais ajaye na wasiwasi wake upo zaidi kwa chadema kuliko kambi tofauti ndani ya ccm