hansrashid
Senior Member
- Nov 26, 2018
- 143
- 111
Hakuna uhai kwenye sayari ya Mirihi (Mars). Hii imani ilianza wakati watu waliona mistari kwenye darubini usoni mwa Mirihi kwenye karne ya 19. Waliamini kumbe ni mefereji ya umwagiliaji.
Tangu kupata darubini nzuri zaidi na tangu kutembelea sayari kwa vipimaanga inajulikana hakuna mistari wala mifereji wala uhai wowote.
Kuna dalili kwamba Mirihi -ambayo leo hii ni jangwa tupu- ilikuwa na maji na mito miaka milioni iliyopita. Sasa kuna mpango kuwa Marsrover (gari lenye vifaa vya uchunguzi) inayoandaliwa sasa kutumwa Mirihi itachimba shimo na kufanya utafiti wa udongo kama kuna dalili za bakteria za zamani.
Kama huwezi kumuona mpaka yeye atake wewe ulimuonaje kama sio hekaya za abunuasi?!alien huwez kumuona mpaka yeye atake umuone
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii kali kulikohakuna aliens wala hakuna sayari zenye uwezo wa kuishi viumbe,sayari zote ni nyota tu wala hazina udongo wala maji,hii dunia sio sayari,hairuki angani wala haina motion ya aina yeyote badala ya tetemeko la ardhi na iko peke yake na inawezekana kuwa ukubwa wake hauna mwisho inaendelea milele na milele wala sio duara na bahari pia ni milele.
kama kuna viumbe wanaishi basi watakuwa juu ya ardhi hii ambako sisi hatuwezi kufika na wao hawawezi kuja huku kwetu ,na hao viumbe hawatakuwa kama eliens tuaoonyeshwa kwenye movies inawezekana wakawa kama sisi tulivyo
😅 kuna zile tablet za mjusi larzeta tagita usome zina sound vibaya mno .Kama huwezi kumuona mpaka yeye atake wewe ulimuonaje kama sio hekaya za abunuasi?!
Tuko pa1 mkuuHuuu ulimwengu una mambo mengi sanaa binafsi napenda mambo ya anga.
Naweka kambi apa
we unasemaje? kwa upande wako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii kali kuliko
Nimezisoma zote kila part, ni zilezile ngano za alfu lela ulela!😅 kuna zile tablet za mjusi larzeta tagita usome zina sound vibaya mno .
nimuone wap sasa! maeloza yale yana sound sanaNimezisoma zote kila part, ni zilezile ngano za alfu lela ulela!
Wewe uliwahi kumuona mkuu?!
Tuanzie hapo!
Hakikanimuone wap sasa! maeloza yale yana sound sana
😎Hakika
it's a factmkuu how do you define beuty at looking....??
Una uhakika kuwa unachokiona kipo katika dimension reality au unaona katika ilusion reality...??
Kwanza lazima utambue kuwa macho yako yanaona katika dimension illusion na sio katika dimension reality...
Huwezi ukaconclude ukasema kuwa beuty at looking ndo nzuri kuliko view nyingine...
Is beuty more important than Intellingence...??
Hivi unatumia kigezo cha sura kusema kuwa kitu ni kizuri....?? seriusly....??
You are here to survive coz of intelligence we posses and not the beuty we own...!!
What is the beuty purpose you deserve ...??
Intelligence matters most na sio sura kama ulivyokomaaa...halafu unashangaza sana.....
Hata tembo na wanyama wengine wanadeserve kuwa na maumbo yale kuliko sisi binadamu,wanatuona kama viumbe wa ajabu sana tunaotumia two limbs kuwalk huku wao wakitumia four limbs kuwalk..
Kila species ina Intelligence yake katika kurecognize how beuty things posses....
Hebu kuwa mtu mzima basi ambae unaweza kujudge mambo sio kwa kigezo hicho...
They modify beutifulness unayodeserve kwa sababu ndo tool pekee kubwa inayoleta illusion kwa mwanadamu...
Eti Aliens wabaya...daaaah...you are here to judge beutifulness and not intelligence...umeshangaza sana...
kila species ina illusion yake iliyowekewa ili kumkeep busy kiumbe yule na mazingira....
Wanyama wanaenjoy kula majani kuliko nyama ila wewe unaenjoy kula nyama kuliko majani...thats how intelligence difference occur...
Usijudge mambo katika lowest dimension kiasi hicho mkuu...
Note that.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutahamsha kiasi cha maji kupeleleka huko. Binadam huwa hatukubali kushindwa.Hakuna uhai kwenye sayari ya Mirihi (Mars). Hii imani ilianza wakati watu waliona mistari kwenye darubini usoni mwa Mirihi kwenye karne ya 19. Waliamini kumbe ni mefereji ya umwagiliaji.
Tangu kupata darubini nzuri zaidi na tangu kutembelea sayari kwa vipimaanga inajulikana hakuna mistari wala mifereji wala uhai wowote.
Kuna dalili kwamba Mirihi -ambayo leo hii ni jangwa tupu- ilikuwa na maji na mito miaka milioni iliyopita. Sasa kuna mpango kuwa Marsrover (gari lenye vifaa vya uchunguzi) inayoandaliwa sasa kutumwa Mirihi itachimba shimo na kufanya utafiti wa udongo kama kuna dalili za bakteria za zamani.
Khiiiiiii!!! Aaahaaaa[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]Mnasumbuka tu. Msichokijua ni kwamba hao Aliens ndo walimtengeneza binadamu na ndio wanam control hadi leo. Rejea kwenye biblia kitabu cha Mwanzo pale akina Mungu (aliens) wakisemezana "tumuumbe mtu kwa mfano wetu"
Binadamu wa asili(original) ni mweusi. Hao wazungu wamepatikana kwa wana wa Mungu (aliens) kuwaingilia binadamu na kuzaa nao. Kilichopatikana ni hao wazungu na ndo maana wako intelligent na wanajiita wateule.[emoji57][emoji57][emoji57]
Soma Mwanzo 6
1 Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
3 BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.
Wewe hujiulizi hao wana wa Mungu waliozaa na wanawake binadamu ni akina nani? Maana tunajisema wana wa Mungu ni sisi binadamu, sasa hao wengine wana wa Mungu ni viumbe gani?? Kiufupi ni alliens.
sawa. dunia na duara au tambarale? kwako kashashaMnasumbuka tu. Msichokijua ni kwamba hao Aliens ndo walimtengeneza binadamu na ndio wanam control hadi leo. Rejea kwenye biblia kitabu cha Mwanzo pale akina Mungu (aliens) wakisemezana "tumuumbe mtu kwa mfano wetu"
Binadamu wa asili(original) ni mweusi. Hao wazungu wamepatikana kwa wana wa Mungu (aliens) kuwaingilia binadamu na kuzaa nao. Kilichopatikana ni hao wazungu na ndo maana wako intelligent na wanajiita wateule.[emoji57][emoji57][emoji57]
Soma Mwanzo 6
1 Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
3 BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.
Wewe hujiulizi hao wana wa Mungu waliozaa na wanawake binadamu ni akina nani? Maana tunajisema wana wa Mungu ni sisi binadamu, sasa hao wengine wana wa Mungu ni viumbe gani?? Kiufupi ni alliens.
Nilichogundua wewe kidogo una idea kwa mbali ya haya mambo ya space..hawa "great thinkers" wengine wanazingua.Mkuu nilichosema imethibitishwa mara nyingi. Tangu Mariner 4 (NASA) kwenye mwaka 1964 vipimaanga vimepita karibu na Mirihi. Viking 1 (NASA) ilikuwa chomboanga cha kwanza kutua kwenye Mirihi. 1997 Mars Pathfinder ilipeleka rover ya kwanza. Mars Express ya Umoja wa Ulaya ilizunguka Mirihi tangu 2003. Mwaka uliofuata, Marekani ilipeleka tena marover 2 (magari madogo ya kupiga picha na kupima mazingira) huko, yaliitwa Spirit na Opportunity.
Pamoja na hayo, nina uhakika hakuna binadamu atakayefika pale katika miezi 24 ijayo.