The Secret Plan For Kigali’s Transport System

The Secret Plan For Kigali’s Transport System

Shangaa hapo, hata London sio kwamba wamepiga marufuku bali wameweka tozo maalum. Hawajakataza. Ni uzamani kuamuliana chombo cha kutumia.

na hapa je Mr Interahamwe? hii hali inaweza kuwasaidia hata kwenye ile mikutano yenu...
CNLV5DFVAAEqIdh.jpg
 
Kigali will be the first city in Africa where people are not free to choose what type of transport they want to use.Imagine you draw from the bank milions of money to pay your casual labourers.,Then you are forced by Kagame to use a bus instead of your car with bags of money you drew from the bank!!!!!

Some people like to live private live that is why they have private cars!!! Denying their right of privacy is dictorship of the highest level!!

Soma habari vizuri uielewe, gari zimepigwa marufuku city centre, ma bank huwa na branch sehemu mbali mbali za mji.

Na pia Kigali wana sehemu ya commercial (mji wa zamani)ambayo Magari yamepigwa marufuku na wana sehemu mpya kwa ajili ya maofisi, wizara na mabalozi ambapo gari ndogo zinaruhusiwa mabank yapo kibao pia hapo,
 
School buses hizo za yellow ziko duniani kote ziwe za kulipia au bure hata Tanzania yellow buses zipo kwenye baadhi ya mashule.Lakini uwepo wa bus hizo hauzuii mzazi mwenye upendo na mwanae kumpeleka kwa gari yake.Hata uingereza mfano tony blair akiwa waziri mkuu bado alikuwa akimpeleka mwanae shule kila siku yeye mwenyewe kwa gari yake pamoja na kuwepo yellow buses kibao!!!

Swala ninalopinga ni kuingilia uhuru na demokrasia ya mtu binafsi kujiamulia aende na gari yake au basi.Mwanae apande gari ya shule au ampeleke mwenyewe? Mfano tanzania mabasi ya shule baadhi ya shule wanayo na nauli inakuwemo kwenye ada ya shule ya kila mwanafunzi.Lakini pamoja na hilo mzazi unakuta hataki mwanae apande gari ya shule pamoja na kuwa kalipa anataka ampeleke na kumrudisha mwenyewe.Ni personal choice.Ninachokataa ni udikiteta wa kulazimishana kwenye ulimwengu wa demokrasia iliyoko sasa.

London hakuna yellow school bus mkuu. Wanafunzi wanapanda normal red bus, ila hawatozwi nauli kwa under 16, na discount kwa students over 16.
 
security in Rwanda is the best currently.you can walk freely at night too.The system applied there is modern and green sustainable for future.Thus why we are currently complaining here now ,oh too much foleni if we go to work.In modern cities means of public transportation is very important.i love people who think deep.i believe time will come,we will go and learn from them.Many cities even washington dc,there is rent baiskeli nyingi sana.Because they trying to reduce more cars in down town.[green transportation]
 
mkuu waache wapige kelele lakini kama unavyojua kelele za chura... hivi tunavyoongea barabara tusha zi clear na wenye akili watatengeneza pesa zaidi, yetu macho...

Mkuu Kigali carfree zone inapendeza sana.

Unajua jana niliweka mada kuhusu jiji la Nairobi na kwamba inawezekana kuondoa msongamano kama kuna political will nikabishiwa eti CONGESTION IS INEVITABLE. Wakati huo ilikuwa sijajua huu mradi wa Kigali. Sasa nilipoona bandiko lako nilifurahi sana. Ilikuwa kama utabiri wangu umepata uthibitisho instantly.

Nakuambia mkuu Kigali itakuwa a world-class model ya city transportation management. Mtatuona huko tukija jifunza hizi best practices ambazo wengine tunaziandika tu kwenye majarida na tunadharauliwa wakati Kigali imetimiza.

Kudos.
 
Mkuu Kigali carfree zone inapendeza sana.

Unajua jana niliweka mada kuhusu jiji la Nairobi na kwamba inawezekana kuondoa msongamano kama kuna political will nikabishiwa eti CONGESTION IS INEVITABLE. Wakati huo ilikuwa sijajua huu mradi wa Kigali. Sasa nilipoona bandiko lako nilifurahi sana. Ilikuwa kama utabiri wangu umepata uthibitisho instantly.

Nakuambia mkuu Kigali itakuwa a world-class model ya city transportation management. Mtatuona huko tukija jifunza hizi best practices ambazo wengine tunaziandika tu kwenye majarida na tunadharauliwa wakati Kigali imetimiza.

Kudos.
kabisa! na ndio maana wazungu wanatumaliza kwa democracy kwani wanajuwa vema ya kuwa mijinga ni mingi katika jamii zetu... tena huwa migumu kuelewa, sometimes inabidi tukubaliane na welevu tuliojichagulia... leo hii tunatanua ndani ya Kigali downtown kwa sababu ya wachache welevu wanaojuwa kuchukuwa maamuzi magumu, for sure Rwanda is a role model https://www.youtube.com/watch?v=54CZBc3mbwQ
 
Absolutely, naunga mkono hoja kulingana na nchi ndogo kama hiyo wanaangalia mataifa makubwa na kuona wanavyohangaika na msongamano wa magari mjini.
Mayor wa jiji la London alileta congestion charges na imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana na bei imepandishwa tena kuingia mjini na flow ya magari ni nzuri,
Kwa kuwa sijafika Kigali siwezi jua ni ukubwa gani wa jiji ambao umepigwa marufuku
Tatizo letu hapa hatutatui tatizo kwa kuiga wengine bali tunaona ni kawaida tu.

Mkuu ngoja nikufahashe hari yenyewe, mimi niko Kigali dakika hii, Barabara husika ni kipande kidogo tu cha kama 1.5-2km, sio kwamba kigali yote imekuwa Car Free, na isitoshe sambamba na hiyo barabara chini na juu kuba barabara zingine within 50-100m tu ambapo magari yanapeta. So wanao pinga ni kupinga kishabiki tu bila reasoning at all, wengine ni akina RUNIGAMPINJA Alias JMali ambao wenyewe speciality wa kupinga anything positive about Rwanda.
 
Let's me see, who in his right mind would not want to refer to actual facts when it comes to Rwanda's supposed development? mhhhh?

jMali mwana mpotevu! huku kwenu si mchezo... hatutaki utani kwenye lolote lile, hebu tazama kwa mfano hapa kwenye boarder ya Kagitumba, jaribu kufananisha upande wa Rwanda na Uganda... wote walipewa pesa na AFDB-Group wakati mmoja lakini kama unavyojionea, upande wa Rwanda kazi kwisha lakini upande wa Uganda pesa zimekata bila kazi kuisha! tatizo lako watu wakianza kusifia maendeleo ya Rwanda we unaanza kumuwaza shangazi yako criminal Ingabire, hizo akili zako za ki Interahamwe zitakufanya ufe na kinyongo wakati ndugu zako tunapeta tu...

CNL14cTWsAAcOuj.jpg


CNL2CdtXAAAjhLC.jpg
 
mkuu waache wapige kelele lakini kama unavyojua kelele za chura... hivi tunavyoongea barabara tusha zi clear na wenye akili watatengeneza pesa zaidi, yetu macho... in a mean time #Kigalicarfreezone
CNLOZmOUwAEuTAH.jpg


CNLOcaVUAAAosiR.jpg
Hizo ni picha mbili alaf jamaa mmoja katokea mara mbili,i mean hao watu walikaaa wakijua wanachukua picha kwa lengo gani
 
Rwanda inazidi kupiga hatua very soon itakuwa na uchumi wa juu kuliko kenya,nasi tz tunashikilia mkia,AIBU ILIYOJE kanchi kadogo,kanaiba madini drc na tz halafu kanawapa maisha bora kila raia wake. wabunge UK huwa wanatumia Public transport ,sisi TZ wanapana 4x4 na land cruisers kwani barara ni mahandaki matupu tena ktk capital city:mad2::smokin:
 
Hizo ni picha mbili alaf jamaa mmoja katokea mara mbili,i mean hao watu walikaaa wakijua wanachukua picha kwa lengo gani

Mfano mwema kwa waafrika nimeipenda hii picha wacha wivu kaka.
 
Rwanda inazidi kupiga hatua very soon itakuwa na uchumi wa juu kuliko kenya,nasi tz tunashikilia mkia,AIBU ILIYOJE kanchi kadogo,kanaiba madini drc na tz halafu kanawapa maisha bora kila raia wake. wabunge UK huwa wanatumia Public transport ,sisi TZ wanapana 4x4 na land cruisers kwani barara ni mahandaki matupu tena ktk capital city:mad2::smokin:
Suluhisho ni kuwachagua viongozi wanaoweka wanaanchi mbele sio vitambi vyao.
 
Hizo ni picha mbili alaf jamaa mmoja katokea mara mbili,i mean hao watu walikaaa wakijua wanachukua picha kwa lengo gani

habari za rwanda huwa ni full PR
 
Sera ya kupunguza magari private si nzuri hata kwa uchumi.Sehemu kubwa ya kodi za serikali hutokana na mafuta hasa ya petrol.Magari yanavyokuwa mengi yakitumia petrol ndivyo serikali inapata pesa nyingi sana za kodi za kujenga miundombinu kama barabara n.k

Nchi zinazozingatia demokrasia huwezi mpangia mtu apande gari gani!!!! Mabasi yanavyojaa,watu kunukiana majasho,kukoholiana,kujambiana ushuzi bila kusahau vibaka wa mifukoni ukipanda,ukiwa ndani ya basi na ukishuka sidhani kupiga marufuku private cars ni kuwatendea watu haki

Duuh! ndo maana nilifeli uchumi!:A S 41::A S 41:
 
Siafiki swala la kukataza magari binafsi. Huo ni udikteta wa kijinga.
Kila mtu ana haki ya kuamua chochote anachotaka ilimradi asivunje sheria.
Kwa hili wanyarwanda mnapelekwa kama ming'ombe.
 
habari za rwanda huwa ni full PR

Rwanda sio kijiji cha wauaji mlichokuwa mnaishi na kufanya mauaji kabla hamjatimuliwa mna tabu sana interahamwe and hopefully wabongo watawashtukia sonner than later ila Kigali msahau.
 
YEHODAYA and East African Eagle; surely, are u guys still living in the 18th century?
With the advent of Mpesa,the Benki Mitaani and Mastercards, who'd still carry around huge wads of money in sacks? (Oh! Yet another reason to be very proud of my Kenya!)
With your mobile phone, u can pay your workers at the comfort of your bathroom!

It's funny how u both seem really convinced that u are giving very compelling reason for opposing this great and novel transportation plan (in Africa, at least) by Kigali city whose aim is only to tackle the nagging problem of traffic. Your concerns are too trivial for consideration...

Would the cash not be well concealled in that backpack anyway? Why then should u be fidgety about using the buses to your bank branch? Which by the way, it will be a few short minutes ride away!

Here in Nairobi, using your private car is not a total guarantee to safety. U might get carjacked at the next junction.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom