Mwalimu,Invisible,
Mosi, kuna dosari kwenye takwimu zako! Labour charges za hao Wartsila si ni dola mia na hamsini elfu? Umeiandika tofauti kidogo. Jumla ya gharama (kama ulivyoposti) ni dola milioni 23 na nusu ($23,490,000). Ni lundo la fedha.
Pili, asilimia 92 ya gharama ni kwa ajli ya mafuta. Ya nini wakati tuna gesi nyingi? Umeme wa gesi ni cheaper na cleaner. Nchi yenye gesi ya kutosha haihitaji kununua mafuta ya kutengenezea umeme. Ujinga ni umasikini mkubwa sana.
Yaani kama hao wapinzani wetu Bongo wangekuwa na japo sense ya umoja 2010 is their year.
Wartsila wana contract ya maintenance kwenye hii plant ya IPTL.Hawajalipwa kwa miaka yote hiyo miwili tangu isimamishwe.Wawekezaji walivyo, that is an opportunity to return their money.
But as well kuna plant nyingine pembeni ya IPTL inayomilikiwa na Tanesco yenye capacity ya 45MW.Itawashwa lini?
Kwanini tusijenge power plant zetu wenyewe badala ya kuwatumia watu kama IPTL? Mbona ile ya 100MW ya ubungo na 40 MW ya mwanza ambazo zilikuwa kwenye plan hazisemwi zimeishia wapi?
Invisible,
Mosi, kuna dosari kwenye takwimu zako! Labour charges za hao Wartsila si ni dola mia na hamsini elfu? Umeiandika tofauti kidogo. Jumla ya gharama (kama ulivyoposti) ni dola milioni 23 na nusu ($23,490,000). Ni lundo la fedha.
Pili, asilimia 92 ya gharama ni kwa ajli ya mafuta. Ya nini wakati tuna gesi nyingi? Umeme wa gesi ni cheaper na cleaner. Nchi yenye gesi ya kutosha haihitaji kununua mafuta ya kutengenezea umeme. Ujinga ni umasikini mkubwa sana.
duh hii kali 34,185,000,000 kwa mwezi? 34bil? hapana huu ni ufisadi mwingine na tuambiw hiyo hela imetoka wapi?why isitumike kujenga vyanzo vyetu wenyewe? its lot lot of money per month!
Mwalimu Moshi,
Kama jinsi Lowassa alivyofanya upuuzi na Richmond, ndivyo ngwe hii inafanya upuuzi na IPTL.
Kama hizo ni pesa za kutumika kwa mwezi mmoja tuu, kwa nini tusinunue mitambo yetu wenyewe tukawapa Tanesco?
Wakuu gharama ya kununua mitambo mipya ya angalau 100MW ni kiasi gani, tuanzie hapa
Yaani kama hao wapinzani wetu Bongo wangekuwa na japo sense ya umoja 2010 is their year.