The Secret: IPTL kuwasha mitambo miezi 3 ijayo!?

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,878
Screenshots

You will find:-

i877_jfiptl1.jpg


and:

i878_jfiptl2.jpg


Further:

i879_jfiptl3.jpg


The whole document can be downloaded (as an attachment), these are just clues!
 

Attachments

  • jf_iptl_4.pdf
    458.5 KB · Views: 302
Hao Warstila technically naona wana hoja nzito sana......Plant imekaa 2 yrs bila kuoperate sasa huwezi kutegemea eti wafanya checking kwa just one week then waiwashe...kisiasa inawezekana but technically haiwezekani km walisema Wartsila!

This country kila kitu kinapelekwa Kisiasa...tena za ubabaishaji tu!
 
sina cha kuongea kwenye hili, bora tu nimpongezze robbot kwa kuwa always the 1st to know.

Hi nchi ni ya aibu sana. So wakati presdent anaongea hakujulishwa haya yote? Hivi anaoperate vipi jamani??
 
sina cha kuongea kwenye hili, bora tu nimpongezze robbot kwa kuwa always the 1st to know.

Hi nchi ni ya aibu sana. So wakati presdent anaongea hakujulishwa haya yote? Hivi anaoperate vipi jamani??


Mkuu harafu usishangae ukiambiwa kwamba serikali ndo inabidi ilipe hela ya walipa kodi kufanya hiyo menitanance check up. Baada ya hapo tutaambiwa mitambo ni mibovu inabidi iagizwe mingine..wakati hela imeshaliwa..

Yaani hivi vinchi vyetu vinaendeshwa kama vikampuni binafsi. Inatia huruma sana.
 
Hiyo hela ni kwa mwezi mmoja tu. Je kwa mwaka mzima? Kwa nini tusinunue turbines zetu wenyewe?
 
Mkuu harafu usishangae ukiambiwa kwamba serikali ndo inabidi ilipe hela ya walipa kodi kufanya hiyo menitanance check up. Baada ya hapo tutaambiwa mitambo ni mibovu inabidi iagizwe mingine..wakati hela imeshaliwa..

Yaani hivi vinchi vyetu vinaendeshwa kama vikampuni binafsi. Inatia huruma sana.


Utashangaa nini ndugu yangu wakati kila kitu hapa kwetu ni dili? Ingawa Mkuu alisema kuwa ili ule lazima ukubali kuliwa, naona sisi tunaliwa milele. Sidhani kama kuna siku na sisi tutawala!!
 
Yaani kama hao wapinzani wetu Bongo wangekuwa na japo sense ya umoja 2010 is their year.
 
Invisible,

Mosi, kuna dosari kwenye takwimu zako! Labour charges za hao Wartsila si ni dola mia na hamsini elfu? Umeiandika tofauti kidogo. Jumla ya gharama (kinyume na ulivyoposti) ni dola milioni 23 na nusu ($23,490,000). Ni lundo la fedha.

Pili, asilimia 92 ya gharama ni kwa ajli ya mafuta. Ya nini wakati tuna gesi nyingi? Umeme wa gesi ni cheaper na cleaner. Nchi yenye gesi ya kutosha haihitaji kununua mafuta ya kutengenezea umeme. Ujinga ni umasikini mkubwa sana.
 
Sasa vipi Muungwana alikurupuka na kusema mitambo itawashwa Novemba mosi?
 
Tutaendelea kuzunguka mbuyu tu....mpaka pale tutakapoamka na kuamua to actually make a difference...
 
In absence ya EPA, RICHMOND and the like, naona hili litakuwa dirisha ambalo limebuniwa mahsusi kwa ajili ya kutolea fedha za kununulia ushindi kwenye uchaguzi wa 2010. Tatizo la umeme Tanzania ni la muda mrefu na sidhani kama linatakiwa kuzungumziwa na wanasiasa, iweje Mkuu wa Nchi anadiriki kutangazia umma jambo ambalo hakuwa amejiridhisha kuwa liko sahihi? Ama ana interest kwenye hilo jambo, mbona spidi ya kuleta hayo mafuta ya kuendesha mitambo (HFO) imekuwa kubwa kuliko hata ile ya kuagiza gari la mtumba kutoka Dubai?
 
Kuna kitu kimoja kinanifurahisha sana!

Kadri siku zinavyoenda, kila mahali ambapo watu wanataka ku-apply political solutions kwenye technical problems wanashindwa...

Hii maana yake nini, wakati unakuja watu wataheshimu fani za watu!

Huwezi ukawa ofisini, kwenye mtandao, au kwenye mkutano wa hadhara wa siasa, ukasema mitambo ya umeme washa... na yenyewe ikawaka.
 
Kuna kitu kimoja kinanifurahisha sana!

Kadri siku zinavyoenda, kila mahali ambapo watu wanataka ku-apply political solutions kwenye technical problems wanashindwa...

Hii maana yake nini, wakati unakuja watu wataheshimu fani za watu!

Huwezi ukawa ofisini, kwenye mtandao, au kwenye mkutano wa hadhara wa siasa, ukasema mitambo ya umeme washa... na yenyewe ikawaka.
Hahaaa, this is very true, hata kama ingekuwa ni umeme wa hydro-lazima kwanza maji yajae kwenye bwawa, yafunguliwe yaangukie kwenye turbine ili lianze kuzunguka ambapo generator litaanza kuzalisha tuseme 11KV ambalo latauingiza kwenye transformer ambayo itaukuza huo umeme mpaka labda 220KV ili uweze kusafirishwa mpaka kwenye kituo kikuu cha kuupozea huo umeme nakuendele na kuendelea. Ni ka-mlolongo karefu kidogo jamani!.
 
Orton Kiishweko, Dodoma, 3rd November 2009 @ DailyNews

THE IPTL power generators will be switched on any time this week after conclusion of logistic for transportation of the fuel from TIPER to run the Tegeta plant.

The Energy and Minerals Minister, Mr William Ngeleja, told the ‘Daily News’ here yesterday that the money paid to IPTL to start suppling power to Tanesco was transferred to their accounts yesterday.

The minister, who had just arrived from official duties in Mbeya, said the plant had not been switched on on Sunday as earlier expected because the cheque from the Treasury was ready by Friday evening. It was already on the weekend.

But the mony to the company was transferred by the IPTL provisional liquidator. Theophil Rugonzibwa. Some 15bn/- had been released to ITPL for initial supply.

Mr Rugonzibwa also confirmed yesterday that he took the cheque and transferred the money to the company`s account as the contract was already signed.

Mr Rugonzibwa also said the engineers were checking and had not finished in time by Sunday.

“ I have told those in charge of logistic that lorries should be seen moving from TIPER to Tegeta tomorrow (Today). We have to switch on the plant this week,” he said

The advance of three months and mobilization fees, he noted, had all been effected as they only await switching on, as the president had directed.

Na pesa ishatolewa siku nyingi...
 
Kuna kitu kimoja kinanifurahisha sana!

Kadri siku zinavyoenda, kila mahali ambapo watu wanataka ku-apply political solutions kwenye technical problems wanashindwa...

Hii maana yake nini, wakati unakuja watu wataheshimu fani za watu!

Huwezi ukawa ofisini, kwenye mtandao, au kwenye mkutano wa hadhara wa siasa, ukasema mitambo ya umeme washa... na yenyewe ikawaka.
Mitambo ikiwashwa tu, itakuwa imewashwa politically, then taifa litakuja kula bonge la hasara endapo itabutuka na tukalazimika kulipa gharama za mitambo hiyo.

Anyway, kukurupuka as usual!
 
Sasa vipi Muungwana alikurupuka na kusema mitambo itawashwa Novemba mosi?
JK aliagiza iwashwe. Hakutaja tarehe kama alivyofanya Zitto. Wanaoijua mitambo ile kwa karibu wanasema hata ikiwashwa haitamaliza mwezi. Ilichoka tangu inasimikwa pale Tegeta-Salasala.
 
Back
Top Bottom