taffu69
JF-Expert Member
- Feb 26, 2007
- 2,095
- 538
Mkataba wa IPTL ulisainiwa na Mheshimiwa wakati akiwa Waziri, sasa anaagiza iwashwe akiwa Rais, lakini wataalam wanasema haiwezi kuwashwa ndani ya kipindi kifupi lakini mafuta ya kuendesha mitambo yameletwa/yameweza kuagizwa ndani ya muda mfupi sana (2-3 wks), kama ikishindikana nani atabebeshwa mzigo wa hizo gharama?