The Search For "God Particle," Higgs Boson, Anti Matter, Big Bang, etc. Is Underway..

Haya mapesa yangetumika, just Nusu tu kama si robo kuondoa matatizo ya maradhi ya maralia na umaskini Duniani, tungejuwa kweli hawa ni wanasayansi na wanajali...!
 
Sikuwa na nafasi ya kusoma Yaliyomo-read posts. Kutoka kwa Thread yenyewe...I conclude.

God Made Man!
 
LHC imeharibika kidogo.... itatengemaa na tutarudi katika ku-push boundaries za elimu na imani ya binadamu.

Muogopeni Mungu jamani........Mungu atukuzwe.

AMINA.

Haya mapesa yangetumika, just Nusu tu kama si robo kuondoa matatizo ya maradhi ya maralia na umaskini Duniani, tungejuwa kweli hawa ni wanasayansi na wanajali...!

X-Paster, naomba nikujibu kwanza kwa kunukuu post ya Mkjj:
Kuna wakati fulani Yesu alimponya mtu mmoja mwenye ukoma; akamwambia "nenda kwa makuhani ukajioneshe". Lengo lilikuwa ni kuthibitisha kuwa ameponga kweli na haikuwa hoax.

Wakati mwingine alimponya mtu mmoja aliyezaliwa kipofu. Wakuu wa Makuhani waliposikia habari hiyo hawakuamini na wakawaita wazazi wa huyo jamaa na kuuliza habari zake. Wale wazazi wakasema "yeye ni mtu mzima muulizeni mwenyewe". Yule bwana alipoitwa akawaambia kuwa "mimi sijui kama huyo aliyeniponya ni mtakatifu au la, ninachojua ni kuwa nilikuwa kipofu na sasa naona".

Katika mifano hiyo miwili utaona kuwa kwenye mambo ya miujiza kufanya uchunguzi siyo kukana miujiza bali kuondoa uwezekano wa uongo. Ninaamini miujiza lakini miujiza yote inafanywa kwa kutumia vitu vya asili. So, kuhoji suala la misukule si kukana uwezo wa Mungu kutenda miujiza bali kuthibitisha nguvu hizo na kuzikiri lakini wakati huo huo kuondoa uwezekano wa roho ya mwanadamu kujikweza na kujiinua na kujisamamisha mahali pa Mungu!

Nyongeza: Nyani Ngabu alishatueleza mara kibao, though it sounds ugly - but somehow ukweli huwa unabakia hapohapo, Waafrika ndivyo tulivyo.

Hapa juzi tu tumeshuhudia Mwenyekiti wa AU na Mh. Rais wetu, Kikwete akijiombeleza zaidi misaada kwenye mkutano wa UN, tena kwa kulazimisha! Hela ambazo zipo humu humu ndani ya Africa na kama kutukomboa, zingeshafanya hivyo zamani.... tatizo letu ni la kifikra zaidi na kubuni mbinu za maendeleo yetu kuliko hilo la kutegemea ruzuku za kiutu kutoka kwa walionacho.
 
I've heard that they're going to switch it on this Friday. Behold...
 
Kwa wale wanaofuatilia hii kitu, jana experiment hii ilifanyika kule Uswiss na Ufaransa
Ilirushwa na vyombo vingi sana vya habari vya ulaya.
Wanasema it is the most largest machine, the most complex experiment which could make the recreation of the environment existed at the beginning of the universe billions of years ago( call it BIG BANG).
Najua kwa watu wengine siwezi kueleweka ila kwa watu kama KIRANGA najua atanipata.
Kama hii habari ilishazungumzwa hapa basi nisameeni.

You can see it here
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=G8py8h0xZac&feature=related"]YouTube- CERN Large Hadron Collider LHC -How it works- End of world??[/ame]
Asanteni.
 
The Higgs Bosom will be confirmed, I am beting my shirt on that. In any case it is just a manifestation of the different pertubations of the underlying superstrings, not really a particle but a state of strings, hence the never ending zoo of particles that made Professor Gell-Mann compare particle Physics with botany way back in 1954.

And all apocalyptic doomsdaymongers should remember that a man can never be weighed down by one hair on his head. let's harness and probe the basic power of and nature of nature.
Please stop with the sophistry.
 
Back
Top Bottom