Dikteta Uchwara
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 204
- 285
Habari wadau. Mwenye soft copy ya Kitabu hiki cha Sir Salmin Rushdie naomba anisaidie inbox au hapa ukumbini. Ahsante
Do the needful please mkuu bujibujininacho
nakihitaj pia mkuuninacho
usijaliDo the needful please mkuu bujibuji
Salmin RushdieHabari wadau. Mwenye soft copy ya Kitabu hiki cha Sir Salmin Rushdie naomba anisaidie inbox au hapa ukumbini. Ahsante
Kuna wakati ilikuwa nikiombe wakati ule kule Thread ya Library! Nami ni mhitaji Mwl.RCTSalmin Rushdie
- Ana takriban vitabu 19
- Nitakuwekea soon hiki kitabu unachohitaji, nikifika kwenye PC
Habari wadau. Mwenye soft copy ya Kitabu hiki cha Sir Salmin Rushdie naomba anisaidie inbox au hapa ukumbini. Ahsante
Salmin Rushdie
- Ana takriban vitabu 19
- Nitakuwekea soon hiki kitabu unachohitaji, nikifika kwenye PC
Downloaded, be blessed sir/madam
page number ngapi ndo yenye utata?Hiki kitabu watu wengi wanakifahamu kwasababu ya utata ulioletwa na kitabu hiki na Rushdie kutangaziwa Fatwa na Ayatollah ila wengi hawajakisoma na uwa wanadhani kitabu kizima kinaongelea kuhusu kukandia dini wakati hata siyo main story ni mistari michache tu inayoongelea hilo..
ila nikikubwa..afu ujinga mtupu humo ndaniHiki kitabu watu wengi wanakifahamu kwasababu ya utata ulioletwa na kitabu hiki na Rushdie kutangaziwa Fatwa na Ayatollah ila wengi hawajakisoma na uwa wanadhani kitabu kizima kinaongelea kuhusu kukandia dini wakati hata siyo main story ni mistari michache tu inayoongelea hilo..
Kwa hio hata waliotoa FATWA hawakukisoma chote?Hiki kitabu watu wengi wanakifahamu kwasababu ya utata ulioletwa na kitabu hiki na Rushdie kutangaziwa Fatwa na Ayatollah ila wengi hawajakisoma na uwa wanadhani kitabu kizima kinaongelea kuhusu kukandia dini wakati hata siyo main story ni mistari michache tu inayoongelea hilo..
It's a pity.Hiki kitabu watu wengi wanakifahamu kwasababu ya utata ulioletwa na kitabu hiki na Rushdie kutangaziwa Fatwa na Ayatollah ila wengi hawajakisoma na uwa wanadhani kitabu kizima kinaongelea kuhusu kukandia dini wakati hata siyo main story ni mistari michache tu inayoongelea hilo..
Kwenye mpira kuna wachezaji muhimu wa wakati wote...asante mkuu!Uploaded
Kitabu kinahusu wanaume wawili walioshika dini ya Kislam wakiwa wanachanganywa na maisha na tamaduni za kimagharibi.page number ngapi ndo yenye utata?
Nami nitakushukuruSalmin Rushdie
- Ana takriban vitabu 19
- Nitakuwekea soon hiki kitabu unachohitaji, nikifika kwenye PC