Pretty
JF-Expert Member
- Mar 19, 2009
- 2,575
- 552
kuna dada mmoja yuko upande wa wanakwaya anaimba huku analia,....( nina maswali mengi kweli juu ya kulai kwake)
........atakuwa anamkumbuka Diana huyo, hata mie ningetamani Diana angekuwa hapo akimuona kijana wake anaoa. R.I.P Diana