The road towards 2010 Elections

Kati ya hawa nani atafaa kutuongoza 2010-2015?

  • Edward Lowassa

    Votes: 0 0.0%
  • Dr. Slaa

    Votes: 7 38.9%
  • Prof. Lipumba

    Votes: 0 0.0%
  • Mizengo Pinda

    Votes: 5 27.8%
  • Samwel Sitta

    Votes: 0 0.0%
  • Jakaya Kikwete

    Votes: 2 11.1%
  • Mark Mwandosya

    Votes: 2 11.1%
  • Harisson Mwakyembe

    Votes: 2 11.1%
  • None of The above

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    18
  • Poll closed .
Ndugu Kwanza napenda kuwapongeza JF kwa kuwa hewani tena Mungu Abariki Kazi yenu,

Kwa hili la kuelekea uchaguzi wa 2010 shughuli ni ngumu kwa chama tawala kwa sababu hawaja timiza ahadi zao hasa ile ya kuleta maisha bora kwa kila Mtanzania,pili suala ajira ambalo Mheshimiwa aliahadi kwamba atawapatia vijana Ajira hakuna kitu,

Kwa maoni yangu ninawaomba Watanzania wenzangu tumpigie kura mtu ambaye ukimwangalia utasema anaweza kututoa hatua moja kwenda nyingine

Hawa jamaa hasa wabunge wamepoteza muda mwingi kujadili ufisadi na Richmond na kusahau kuwa wananchi kwenye majimbo yao wana matatizo kwa mfano Barabara ni mbovu vijiji,Hakuna maji safi na salama,Hospitali ndio dawa hakuna wagonjwa wanalala wanne kwenye kitanda kimoja,lakini mbunge anatembelea Prado ya milioni 70 hadi 80

Wananchi tuwe makini na tusidanganyike na virushwa vyao vya soda,wali,kuku,na bia na kuuza haki yetu kwa miaka mitano

Ni hayo tu.

Elisante Yona,

Mimi ni member wa siku nyingi,I have status

Thank you and God bless JF
 
Hii Poll ifunguliwe tena maana inafaa kuwaonyesha watanzania walio wengi. Mimi nampa Dr. Slaa hata kama mmeifunga mapema.
 
Hello,

Katika uchaguzi wa mwaka huu, mimi naona Dr. Slaa anafaa sana hii inatokana na uchungu alionao kwa taifa masikini la Watanzania.
 
Dr. Slaa is the best choice for 2010 president - he is serious, hataki upuuzi na uchungu wa nchi na watu wake. Bravo Dr. Slaa
 
One thing is certain: the plight of our people will not change, and will in fact get worse, if we vote JK and hic cronies back into power. Change for the better is possible, but it requires voting CCM out first.

Tumekuwa kichekesho. Naona hata ndugu zetu wa SA wamependekeza mipango ifanyike ili watalii wa kipindi cha World Cup ambao watapenda kwenda Serengeti wapelekwe sehemu ya Kenya iliyo karibu na Tanzania. Baada ya kukagua Tanzania, wameona hapakaliki

Tumekuwa nchi ambayo wagonjwa wanalala hata watatu kwenye kitanda kimoja, watoto wanasomea chini, hakuna umeme, hakuna maji na hakuna barabara. It will only get worse if we return JK and his cronies back to Ikulu.

Inabidi kuwe na mabadiliko.

 

Hivi iliishia wapi hii?
 

I wonder if I was right on he money!
 


Duh! Kumbe Tulikwishasema hii kitu siku nyingi eehhh!
Ni muhimu kukumbuka kuwa hii ilikuwa sredi kamili na kichwa cha habari "Mjomba Eeeh! Pumzika tu 2010"
Ukifuatilia michang iliyotililika kwenye hii sredi, ukaunganisha na Cheche ya Wiki hii na kisha ukarejea ripoti ya Dr. Mfisi usipopata picha ya Uchaguzi baada ya Uchaguzi na kabla ya Uchaguzi basi hujaelewa kitu.
 
kikwete kanifungua akili kuwa hata mi bila kupitia uongozi na siasa naweza kuongoza nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…