The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Gadafi alitakiwa aburutwe sirte yote ,akatwe vipande vipande nyama zake wapewe simba wa kwenye zoo,mnajifanya mnamtetea Gadafi wakati wananchi wa libya wamemuona ni ***** tu.
 
Nafikiri sababu ni nyingi; mojawapo ikiwa kutokuwa huru na jambo la kutangaza. Hili linazalisha commentators km Kibonde; this man is a bore when it comes to international political views! Kwa huyu jamaa Tanzania's politics are those of CCM, skin him, he's bleeding green!
 
Jamani ndo imeshatokea...

What's next for Libya? THE TOP TEN PREFERENCES AFTERMATH.
1- utungaji wa katiba
2- kukusanya silaha zilizoko mikononi mwa watu
3- kuunda serikali
4- kuondoka vikosi vya kijeshi vya NATO
5-Kuzikomboa mali za wananchi wa Libya ziinazoshikiliwa na nchi za Magharibi
6-???????????? (Ongeza)
7-???????????? (Ongeza)
8-???????????? (Ongeza)
9-???????????? (Ongeza)
10-???????????? (Ongeza)
 
Nafikiri sababu ni nyingi; mojawapo ikiwa kutokuwa huru na jambo la kutangaza. Hili linazalisha commentators km Kibonde; this man is a bore when it comes to international political views! Kwa huyu jamaa Tanzania's politics are those of CCM, skin him, he's bleeding green!
 
Malkia hana nguvu ya utekelezaji wa kisheria kama kuteua mawaziri kufanya kazi za serikali etc. Yupo pale kama alama ya Taifa tu. Hii ni tofauti na utaratibu wa uongozi wa Libya ambapo Rais ndiye mwenye mamlaka ya mwisho.

Kwamujibu wa tawala za kifalme hakuna maamuz yatolewayo ila yamepitishwa na mfalme au malkia. na kwa uingereza serikali ni kivuli2 mamlaka yapo kwa malkia na familia yake na hakitangazwi k2 wala kufanywa chochote ila kimepitishwa na malkia tatizo Gadaf ilikuwa direct na kwa malkia ni indirect
 
article-2051361-0E75FF9000000578-49_964x360.jpg


Kijijini kwao Sirte.
 
mi sioni tofauti ya huyu mama anayetawala milele na utawala wa ghadafi uliondolewa kwa nguvu.waingereza ingieni barabarani

Kwa nini waingereza hawasemi basi utawala wa malkia?
Huyu bibi ilitakiwa ang'olewe nchi iwe huru kabisa
 
R .I. P Gaddafi,sikuona umuhimu wa yeye kuuwawa wakati alikamatwa akiwa hai, licha ya hivyo viongozi wa nchi za kiafrika ni wanafiki na sioni umuhimu wa AU katika kulisaidia bara la Africa.Tusipokuwa na uthubutu waafrika tutaendelea kutataliwa na nchi za magharibi
 
he is a hero, aliapa atakufa akiwa anapigana na itakuwa kwake libya, na kweli kama alivyosema yamekuwa..Normally wadhungu bwana hawataki mtu mwenye kutaka kuwa na fikra kama za kwao as gadaf was, we wll be confronted and colonised psychologically as long as we african we will never have our own standing.Rest in peace King of Africa...
 
article-2051361-0E76175A00000578-996_634x837.jpg


Hapo amezingirwa na wapiganaji wa vikundi mbali mbali vya waasi wa nchi hiyo pamoja na vijana wadogo wa kijijini kwao.

Ajabu kubwa ni kwamba hawa vijana
wanaonekana kuwa ni wenye furaha kubwa kwenye nyuso zao huku wakiendelea kujichukulia kumbukumbu za mwisho wa kiongozi huyo kwa kutumia simu za kiganjani
 
Kwamujibu wa tawala za kifalme hakuna maamuz yatolewayo ila yamepitishwa na mfalme au malkia. na kwa uingereza serikali ni kivuli2 mamlaka yapo kwa malkia na familia yake na hakitangazwi k2 wala kufanywa chochote ila kimepitishwa na malkia tatizo Gadaf ilikuwa direct na kwa malkia ni indirect

Kwa namna hii malkia ana nguvu kuliko serikali iliyopo madarakani.
Basi waingereza nao mazuzu wamekubali kutawaliwa na malkia miaka yote
 
article-2051361-0E76175A00000578-996_634x837.jpg


Hapo amezingirwa na wapiganaji wa vikundi mbali mbali vya waasi wa nchi hiyo pamoja na vijana wadogo wa kijijini kwao.

Ajabu kubwa ni kwamba hawa vijana
wanaonekana kuwa ni wenye furaha kubwa kwenye nyuso zao huku wakiendelea kujichukulia kumbukumbu za mwisho wa kiongozi huyo kwa kutumia simu za kiganjani

Ukweli ni kuwa alikuwa anaogopewa nchini kwake!! Kumbuka ilivyokuwa wakati wa Mzee Nyerere, watu tulikuwa hatu wezi kusema hata neno!! Ndo hawa jamaa wanavyoishi!!!

Ka upande mwingine wananchi wake hawakuwahi kumuelewa Qaddafi!! Na hawata muelewa, post war era itakapoanza na kuwaona walafi wa mafuta wanavyo-fled Libya ndo wataelelwa....
 
Ni maswali mengi sana watz huwa wakijiuliza pindi vitu vya msingi huwa vikitokea duniani ila cha ajabu zaidi vyombo vyetu vya habari vinakuwa vinatanguliza sana burudani kuliko habari za msingi,,
Hivi juzi yametokea mapigano na hatimaye aliyekuwa rais wa Libya kupigwa risasi na kuuawa, na baada ya kufa vyombo vya habari vya nchi za magharibi na Ulaya kama VOA, BBC,CNN,SKY NEWS na ALJAZEERA vimekuwa mstari wa mbele kuwapa habari wananchi wao na ulimwengu kiujumla kuhusu kifo cha Gadafi ila cha kushangaza ni kuwa kila nilipokuwa nafungua vyombo vyetu vya habari vilikuwa vianapiga mziki, vikionyesha maigizo ya kitz, kinigeria, kihindi, kiphilipino badala ya kuwapa watz habari juu ya habari tete iliyotokea duniani,,
Tunafahamu kuwa hivyo vyombo vya habari vya Ulaya na Magharibi ni vya kimataifa na kila mtu ana uwezo wa kuona ,,lakini siyo kila mtz ana uwezo wa kuelewa kiingereza na kama ingekuwa ndoo hivyo kuvitegemea vyombo vya magharibi kutupa habari pekee basi kusingekuwa na umhimu wa kuwa na vyombo vya habari hapa TZ,,

Na sijaelewa hivi vyombo vyetu vya habari vinafanya kazi kwa matakwa yapi na kwa faida ya nani maana hata habari wanayoitoa wanakuwa wamecopy na kupaste kwa maana hakuna hata chombo kimoja cha habari cha TZ ambacho kinapeleka mwandishi wa habari huko nje kwa ajili ya kukusanya habari zaidi ya kuangalia nao CNN, BBC, VOA na ALJAZEERA na kututangazia bila kujua kuwa wana umhimu wa kwenda huko na kukusanya habari,,,
Je tutafika kama tv zetu na radio zimeweka mbele zaidi burudani za miziki na maigizo kuliko vitu vya msingi?????

Hoja yako ni ya msingi sana, binafsi navidharau vyombo vyetu vya habari hususani television, mfano kudhama kwa meli ya spicer islands sidhani kama ile habari walihipa coverage ya kutosha, siasa inatafuna nchi yetu. Aibu
 
Aliiishi kama Mwanadamu lakini AKUMUHESHIMU MUNGU NDIO MAANA KAFA KIFO CHA AIBU MIKONONI MWA RAIA ZAKE MWENYEWE.Mungu daima yupo katika sura zetu wenyewe.UTU UTU UTU UTU UTU UTU HASA WA MWANADAMU [DIGNITY] ,vaaa mavazi ya UTU utaishi siku nyingi duniani na kuwa UKIWA KIONGOZI UKAVAA KIATU CHA UTU unabaki kuwa ALAMA AU KIOO CHA WALIOBAKI KWENENDA NA MATENDO YAKO.

Mungu awezi kushuka kuja kuonyesha njia ila kwa kupitia wanadamu Mungu anakuwa nasi kutonyesha UPENDO WAKE KWETU,HAKIKA INAPENDEZA SANA KIONGOZI WA TAIFA ANAPOMJUA MUNGU KWA MATENDO YA UTU NA SIO MBWEMBWE ZA KIBINADAMU,MATENDO YA KUWAJALI WATU WOTE BILA KUCHAGUA,KUWALINDA NA KUWATETEA WASIO NA SAUTI,WASIO NA MSEMAJI,WENYE UITAJI.

Hakika kinachouma ni kuwa raia wenzie wenye kuswali nae ibada ya aina moja ndio waliomtendea hayo ambayo kwa imani yao wao ni ishara kuwa MUNGU waliemuomba awaonyeshe adui yao leo hii kawaonyesha.Ndio maana waliomkamata baada ya kumuona na kumkamata SAUTI KUBWA ZILISIKIKA ZIKISEMA ALLAHU AKBAR -[GOD IS GREAT] KIBONGO -MUNGU MKUBWA.

Nyerere atabaki kuwa Mtu wa ajabu dunia aijapata kuona kwa kuwa yale yale aliyoyasimamia miaka nenda ludi ya kuunda TaIFA lenye kujali utu wa Mtu ndio yanayosumbua dunia kuwa watu wanataka UTU wao USAMINIWE NA WAHESHIMIKE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom