Gaddafi may become target of air strikes, Liam Fox admits
Coalition forces accused of mission creep and disproportionate action against Tripoli
Gaddafi may become target of air strikes, Liam Fox admits | World news | The Guardian
Arab League says it wanted no-fly zone, not bombs
Daily Times - Leading News Resource of Pakistan
Hao Arab League hawakusoma provisions zote za Resolution iliyopitishwa? Maana kuna line inasea Use Any Means Necessary.hapo kwenye red .. duh! sina lakuongezea
Mkuu.Quick observation, baadhi ya Watanzania waliosoma/ishi Libya au faidika (in)directly na misaada ya Libya wako mstari wa mbele kumtetea Gaddafi regardless ya kile anachofanya au alichofanya.
Hao Arab League ni wanafiki kama viongozi wengi wa chi za kiafrika na kiarabu wiki iliyopita waliutangazia ulimwengu kuwa Gaddafi keshapoteza uhalali wa kutawala na wakapush for No Fly Zone ambayo nchi za magharibi zilikuwa hazina nia ya kuimpose wala nini.Mkuu.
Observation yako ni kweli...lakini tayari West na US bombing tayari inazalisha collateral damage huko Libya. Umewasikia Arab league wanavyosema? Wao wanafaidika vipi na misaada ya Libya?
the 22-member Arab bloc said after an emergency meeting that the Libyan government had "lost its sovereignty." It asked the United Nations to "shoulder its responsibility ... to impose a no-fly zone over the movement of Libyan military planes and to create safe zones in the places vulnerable to airstrikes."
01:42 @Sal7a has just forwarded an email received from a very trusted source in Misratah. We relay to you the email as it was relayed to us:
Dear All
Ive just received a call from a friend confirming the following from Misurata.
Two civilian buses loaded with armed personnel dressed as civilians have entered Misurata (ca. 60 peple) accompanied by 11 tanks and are positioned at the main hospital in Misurata (close the Time Square). The hospital has been out of service for 4 years. The tanks are positioned at the front garden of the hospital.
Gaddafi today announced that hes going to arm the public to go out and clean the cities from the revolutionary. It seems that he wants to create a massacre in Misurata tomorrow, which he will go back and say it was the Libyan people who went to kill these rats (he refers to Libyans as Rats).
A massacre is about to happen in Misurata if the international coalition doesnt wipe them out today.
Remember over 80 people have been killed yesterday in Misurata by snipers
We need to get the news out to stop the massacre from happening!!!!!
Pakawa.Huyu Gaddaffi unayemtetea wewe ni yupi? Libya tangu lini ulisikia wanakubali kuwa wao ni waafrika? Wanasema wao ni waarabu sasa sijui unazungumzia nini hapa. Gaddaffi ana deserve hii kwa sababu ni mjinga mwendawazimu hana huruma na watu wake wacha mataifa makubwa wamwonyeshe kazi mpaka asalimu amri. Sasa hivi amejaza watu kwenye palace yake kama kinga au kile kinachoitwa kifo cha wengi harusi sasa hii ni akili kweli au ni upuuzi? Kumbuka waliopo hapo si wapo kwa hiari ni amri imetolewa. Mimi nasema wacha wampige tu mtu asiyesikia dawa yake ndio hii.
Aende zake tu bado Mugabe wote hawa hawatufai kabisaaaaa kama Ghadafi alileta wanajeshi waje kuja kupigana alongside na wanajeshi wa NDULI IDD Amin dhidi ya Tanzania wewe leo unamwona mtu mzuri huyooo!!!
Muafrika na muanzilishi wa AU anashambuliwa na raia zake wanauliwa na waAfrika wengine wanachekelea na kuona raha.
Wanadanganywa na "media" kabla ya mashambulizi kuwa Ghaddafi anaua raia zake, na mijuha mingi inakubali.
Wamesahau "crusade" aliyoitangaza Bush! Na wamesahau wamerekani walivyozuwa na kudanganya kuwa Iraq kuna silaha za maangamizi.
Waliosahau na wanaofurahia wanajulikana ni kwa nini wamesahau na ni kwanini wanfurahia haya yanayojiri.
Wakumbuke nguvu ya "crusade" haikushinda miaka na vikaka, itashinda sasa. Kumuuwa Saddam au Ghaddafi si ushindi ni ushindwa. Kwa mwenye kuelewa ataelewa na punguwani atabaki kuwa punguwani.
Yule bwana alokua akijifanya chizi kwa kuua watu wake kila kukicha, amepata akili baada ya kuchezea kichapo kutoka France, US na UK. BBC wameonyesha live viongozi wa jeshi wakitoa amri kwa vikosi vyote kusitisha mashambulizi ya aina zote kwa hao waliokua wanawaita 'rebels' wametoa amri kwamba badala ya kushambulia watu wahakikishe watu wote wako salama, hakuna ruhusa kushambulia mtu yeyote...Hongera Obama and the co, kumbe huyu bwana akili anayo ule uchizi ulikua wa kujifanyisha
mkuu... siungi mkono taifa huru kuvamiwaYule bwana alokua akijifanya chizi kwa kuua watu wake kila kukicha, amepata akili baada ya kuchezea kichapo kutoka France, US na UK. BBC wameonyesha live viongozi wa jeshi wakitoa amri kwa vikosi vyote kusitisha mashambulizi ya aina zote kwa hao waliokua wanawaita 'rebels' wametoa amri kwamba badala ya kushambulia watu wahakikishe watu wote wako salama, hakuna ruhusa kushambulia mtu yeyote...Hongera Obama and the co, kumbe huyu bwana akili anayo ule uchizi ulikua wa kujifanyisha