The rise and fall and re-rise of Christopher ole Sendeka

The rise and fall and re-rise of Christopher ole Sendeka

Sangarara

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
13,104
Reaction score
5,665
Wakuu nawasalute,
Wote mtakubali kuwa wakati wa bunge la tisa,Christopher ole Sendeka alijipambanua kuwa mpinga ufisadi na kujizolea sifa kedekede kwa watanzania.
Baadae ole Sendeka alipoteza kabisa mwelekeo na kuanza kujiambatanisha na serikali.
Leo,ole Sendeka ameapa kutokuiunga mkono hoja ya prof Muhongo kwa sababu za ufisadi wa IPTL na kudharauliwa,kunyanyaswa wachimbaji wadogowadogo mf.Mererani.
Swali ni,Is this the Rise and Fall and Re-rise or he has his own agenda on this matter?
 
Wakuu nawasalute,
Wote mtakubali kuwa wakati wa bunge la tisa,Christopher ole Sendeka alijipambanua kuwa mpinga ufisadi na kujizolea sifa kedekede kwa watanzania.
Baadae ole Sendeka alipoteza kabisa mwelekeo na kuanza kujiambatanisha na serikali.
Leo,ole Sendeka ameapa kutokuiunga mkono hoja ya prof Muhongo kwa sababu za ufisadi wa IPTL na kudharauliwa,kunyanyaswa wachimbaji wadogowadogo mf.Mererani.
Swali ni,Is this the Rise and Fall and Re-rise or he has his own agenda on this matter?

He lost touch with Wanananchi. Hawezi kupingana na CCM waziwazi. Fall inaendelea. Amekwisha huyo. Alikuwa analia eti kura ya siri mbaya kwenye BMK. Mwongo, hayawani na fis
 
kama ulimsikiliza Kangi Lugola vizuri - he had a missive to Chris!!
 
sendeka ana ziro fomu sixi.hafai kuwa hata balozi wa nyumba kumi.ni msanii kama maccm mengine
 
Tusubiri, Muhongo alimalizia kwa kusema Tulidhani labda tunayebishana naye ni Genious(akimaanisha Ole Sendeka)! Na hapa nina matokeo yake ya F iv. Amezuiiwa na spika asisome! Pia ametoa DVD inayoelezea/onyesha ushiriki wa Ole Sendeka ktk hujuma na kushauri chama (ccm) kama kuna haja ya ccm kuendelea na watu kama Ole Sendeka. Ole alipoomba ombe mwongozo, bunge likarejea.
 
Tusubiri, Muhongo alimalizia kwa kusema Tulidhani labda tunayebishana naye ni Genious(akimaanisha Ole Sendeka)! Na hapa nina matokeo yake ya F iv. Amezuiiwa na spika asisome! Pia ametoa DVD inayoelezea/onyesha ushiriki wa Ole Sendeka ktk hujuma na kushauri chama (ccm) kama kuna haja ya ccm kuendelea na watu kama Ole Sendeka. Ole alipoomba ombe mwongozo, bunge likarejea.

Bunge likakaa kama kamati na hadi muda huu 19:54 bado liko kama kamati, bado halijarejea.
 
Wakuu nawasalute,
Wote mtakubali kuwa wakati wa bunge la tisa,Christopher ole Sendeka alijipambanua kuwa mpinga ufisadi na kujizolea sifa kedekede kwa watanzania.
Baadae ole Sendeka alipoteza kabisa mwelekeo na kuanza kujiambatanisha na serikali.
Leo,ole Sendeka ameapa kutokuiunga mkono hoja ya prof Muhongo kwa sababu za ufisadi wa IPTL na kudharauliwa,kunyanyaswa wachimbaji wadogowadogo mf.Mererani.
Swali ni,Is this the Rise and Fall and Re-rise or he has his own agenda on this matter?

Hivi sakata la kamati ya nishati na madini iliyokuwa inaongozwa na zzk na yeye kama makamu ikahusishwa na rushwa hadi kupelekea kuvunjwa na spika liliishia wapi?
 
Hakuna kumwamini mtu yeyote sisiemu maana hata Fiilikunjombe na Lugola nao hamna kitu,wanatumika tuu na whitehead.
 
Mambo ya mererani leo? wakati mikataba ya Tanzania One ilikuwa wakati wa Che Nkapa, au anatafuta pakutokea uchaguzi mwaka kesho?
 
Wakuu nawasalute,
Wote mtakubali kuwa wakati wa bunge la tisa,Christopher ole Sendeka alijipambanua kuwa mpinga ufisadi na kujizolea sifa kedekede kwa watanzania.
Baadae ole Sendeka alipoteza kabisa mwelekeo na kuanza kujiambatanisha na serikali.
Leo,ole Sendeka ameapa kutokuiunga mkono hoja ya prof Muhongo kwa sababu za ufisadi wa IPTL na kudharauliwa,kunyanyaswa wachimbaji wadogowadogo mf.Mererani.
Swali ni,Is this the Rise and Fall and Re-rise or he has his own agenda on this matter?


Muhongo ametoa CD ya sendeka akihongwa. Je tutaipata hiyo
 
Binafsi nakubali kuwa Mhongo amejitahidi kuleta ufanisi kwenye wizara.
Kuleta ufanisi kote kuna kuwa hamna maana kama 200bn hazitarejeshwa na kama wazawa hawapewi kipaumbele kwenye uwekezaji.
Pia si amini kama hiyo CD ina ukweli wowote,inaweza kuwa yaleyale ya ugaidi wa Lwakatare wa chadema na ushahidi kutolewa hadi mbinguni.
Muhongo ametoa CD ya sendeka akihongwa. Je tutaipata hiyo
 
Back
Top Bottom