The returns of Jack Bauer in 24 Live Another Day

The returns of Jack Bauer in 24 Live Another Day

Naikumbuka hiyo Mkuu. Alitamani ardhi ichimbike apotelee huko. I wish Tanzania tungepata kichwa japo kimoja tu kama cha Bauer. Hakika viongozi wangenyooka.

Nilisikitika na maneno aliyoambiwa na Secretary Healler (Baba wa Audley) kama Bauer kila mwanamke atayekuwa nae anaishia kwenye mateso tu.

Jack Bauer ni balaa mkuu.
 
mkuu nipe mwanga kidogo. Hiyo kikckass.to ni free download kama piratebay au ni nini? Unaweza nitajia site ni download free hii 24 mpya?

yeah mkuu ni free download ila inabidi uwe torrent, inalink moja kwa moja,,,,, nyingine ni hii Torrentz

hizi site ni free kabisa tena kama kikckass inakuwa na seeders wengi sn so kama una net ya uhakika dk TATU ni nyingi sn, ukiingia we search 24 tena pendelea kuandika hivi 24 s09e01 unapata bila shida
 
yeah mkuu ni free download ila inabidi uwe torrent, inalink moja kwa moja,,,,, nyingine ni hii Torrentz

hizi site ni free kabisa tena kama kikckass inakuwa na seeders wengi sn so kama una net ya uhakika dk TATU ni nyingi sn, ukiingia we search 24 tena pendelea kuandika hivi 24 s09e01 unapata bila shida

Nafikiri extratorrent.com ndo hua inakua na seeder wengi mkuu
 
Nafikiri extratorrent.com ndo hua inakua na seeder wengi mkuu

kwa seeders nnawapata kikckass huwa naona ni wengi,,,nashukuru mkuu ntakuwa nikicheck pia na kulinganisha iliyozaidi ntaipakua jutoka hukohuko
 
Sides wakuu mi 24 niliichek ila ckuimalizia yule dogo aliyekuwa boyfriend wake na mtoto wa jack beur story yake iliishaje??alikufa au
 
Naikumbuka hiyo Mkuu. Alitamani ardhi ichimbike apotelee huko. I wish Tanzania tungepata kichwa japo kimoja tu kama cha Bauer. Hakika viongozi wangenyooka.

Nilisikitika na maneno aliyoambiwa na Secretary Healler (Baba wa Audley) kama Bauer kila mwanamke atayekuwa nae anaishia kwenye mateso tu.

Jack Bauer ni balaa mkuu.

Secretary Heller alitoa kauli chafu zaidi ya hiyo!alishamwambia "Bauer u're cursed, anything coming close 2 you dies!" Jack hakuamini alichocki
 
Sides wakuu mi 24 niliichek ila ckuimalizia yule dogo aliyekuwa boyfriend wake na mtoto wa jack beur story yake iliishaje??alikufa au
Kama unamzungumzia Chase, hakufa! alipata matibabu na àlipona! Lakin kama unamzungumzia yule ambae alizaa nae, huyu sidhan kama alishawahi kupata msukosuko coz' wakati kashikashi zinatokea New York, Kim alisafiri na Bwana àke kuelekea L.A!
 
Secretary Heller alitoa kauli chafu zaidi ya hiyo!alishamwambia "Bauer u're cursed, anything coming close 2 you dies!" Jack hakuamini alichocki

"You are cursed Jack,everything you touch end up ruined or dead" - Heller
 
Naikumbuka hiyo Mkuu. Alitamani ardhi ichimbike apotelee huko. I wish Tanzania tungepata kichwa japo kimoja tu kama cha Bauer. Hakika viongozi wangenyooka.

Nilisikitika na maneno aliyoambiwa na Secretary Healler (Baba wa Audley) kama Bauer kila mwanamke atayekuwa nae anaishia kwenye mateso tu.

Jack Bauer ni balaa mkuu.

Sana mkuu. Hayo maneno ya Healler yalimuumiza sana Jack. He's a best actor!
 
"You are cursed Jack,everything you touch end up ruined or dead" - Heller
humo humo mkuu! tena nadhani baada ya pale hawakuwahi kukutana tena sasa cjui atasemaje atakapookoa maisha yake kwa mara nyingine!! lakin maneno ya Heller kama yana ukweli hivi!! wait-Kim's mom, Agent Renée Walker, Nina, Audrey(chupuchupu mara 2)
 
humo humo mkuu! tena nadhani baada ya pale hawakuwahi kukutana tena sasa cjui atasemaje atakapookoa maisha yake kwa mara nyingine!! lakin maneno ya Heller kama yana ukweli hivi!! wait-Kim's mom, Agent Renée Walker, Nina, Audrey(chupuchupu mara 2)

Because jack always gets the job done mkuu (doesn matter who u r wamuulize president charles logan) besides in the one mkwe wake(secretary heller) ndo yuko Behind the conspiracy huko mbeleni probably sababu ya Mapenz o whatsoever lakini naziona dalili tayari
 
humo humo mkuu! tena nadhani baada ya pale hawakuwahi kukutana tena sasa cjui atasemaje atakapookoa maisha yake kwa mara nyingine!! lakin maneno ya Heller kama yana ukweli hivi!! wait-Kim's mom, Agent Renée Walker, Nina, Audrey(chupuchupu mara 2)

Lakini yote ilitokana na nature ya kazi yake. ( Jack)
 
humo humo mkuu! tena nadhani baada ya pale hawakuwahi kukutana tena sasa cjui atasemaje atakapookoa maisha yake kwa mara nyingine!! lakin maneno ya Heller kama yana ukweli hivi!! wait-Kim's mom, Agent Renée Walker, Nina, Audrey(chupuchupu mara 2)

Jack atampata tena nahc watafunga ndoa kabisa maana akishamsave mkwe lazima mkwe auingie mkenge tu. Chezea jack ww
 
yeah mkuu ni free download ila inabidi uwe torrent, inalink moja kwa moja,,,,, nyingine ni hii Torrentz

hizi site ni free kabisa tena kama kikckass inakuwa na seeders wengi sn so kama una net ya uhakika dk TATU ni nyingi sn, ukiingia we search 24 tena pendelea kuandika hivi 24 s09e01 unapata bila shida

Daah mi kwangu sijui tatizo ni network au ni aina ya simu nnayotumia.

Episode ya kwanza nimetumia zaid ya masaa 12, tena sim haikuwa busy kabisa mana nilitumia line mpya na kifurushi cha kutosha.
Episode ya 2, sikumbuki ilitumia muda gan lakin ni masaa mengi sio hizo dk tatu

Na sasa ni Episode 3, toka saa tisa mpaka sasa bado, imedownload 20%.
Huwa naDownload kwa kutumia sim then ndo naweka kwenye PC / Watching
Ni mara yangu ya kwanza kutumia hii kickassTorrent
 
Back
Top Bottom