The reason to why I didn't marry you!

Maamuzi ya kukurupuka hapo juu ni kama yepi best yangu au unekuwa wewe ungeamuaje kuanzia huyo namba moja mpaka tano...[emoji28]

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
Ulikua unampenda mary with all your heart yet ukaenda kumlipia mahari mwanamke ambae bado ulikua humjui vizuri na at the same time akili yako ndio iliamua though moyo ulikua kwa Mary, ungejipa muda kidogo wa kutafakari na kupata uhakika wa maamuzi unayotaka kuchukua

Kila mahusiano unayoingia unatia mimba au unabambikiwa mimba, ni kama you did not learn from the past ukachukua tahadhari badala yake ulikua inarudia kosa hili hilo, lets say wote wangekua na mimba zako, how could you describe your fatherhood to the kids au kwa kizazi chako? Being a farther is not about providing the needs its more than that

Kama utaendelea hivyo you will end up with unsettled life kwa sababu hata mwanamke utakaemuoa bado atakua na usumbufu wa kuwaza watoto wa nje, i mean hamtakua na utulivu wa kufocus kwenye famikia ila mtajikuta mnaanza kuwaza na watoto wa nje ambao they need equal rights na hao wa ndoani, hapo hujahesabia usumbufu wa mama zao
 
stori nzuri sana na inafundisha sana.
inatia hamasa sana.
 
Ni kweli kabisa nilimpenda Mary, lakini mwisho wa siku kukutana na ushirikina haikuwa jambo rahisi kulivumilia, na sijui alikuwa amenifanya nini...

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
I feel you man,niliwahi pitia situation kama hiyo ila nikakutana na single father mmoja ana miaka 37 ana watoto watatu kila mmoja na mama yake.Watoto wote kawakatia bima yeye ni mtumishi wa umma na hajaoa,watoto wanakaa na mama zao safii jamaa ana maisha ya amani hadi kitambi
 
Nakaa siti ya mbele kusubiri ujio wa ferooze
 
Inategemea NTU na NTU na hili la dunia ya sasa Mkuu umeexaggerate mapenzi bado yapo yapo sana tu katika nchi nyingi duniani.
Kwa dunia ya sasa Ndoa au mapenzi ni overrated,tuna sexual desire tu.Cha msingi una amani na furaha pia unatimiza ndoto zako na kuweka akiba ya uzeeni.
 
Naam [emoji419][emoji419][emoji419]
Mimi nimelijua hili yaani natimiza majukumu yangu kama baba interms of security ya pesa na uwepo wangu,mengine yatajijua.Ruge mbona aliweza vizuri tu na watoto wake wanamkubali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…