BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,005
Shemeji kwa mapenzi nlo nayo kwa Soulmate wangu sitamani kumpoteza sasa nkifikiria kuwa naye ni binadamu ikijatokea katetereka?! Nawezampa second chance na ikawork?! Sitaki kusema kuwa nitakuwa proud kama nitaachana nae kwa kuwa kanikosea but hakuna nafasi ya kumake up for the second time?? Jamani wanawake hatupendi kubeba na kuchunguliwa na wapya kila kukicha!
...Shem wapenzi wanapokosea na kuomba kupewa nafasi ya pili na aliyekosea akawa tayari kufanya hivyo basi wakosaji hufurahia sana na wakati mwingine penzi linakuwa kama linaanza upya, hivyo usiwe tayari kumpoteza la aziz wako kirahisi namna hiyo, waswahili walisema usiache mbachao...Kuhusu wapenzi wapya na kuchunguliwa hahahahahah lol! (njemba inataka kuona inafananaje LOL! ) mwambie tu umechoka kuchunguliwa hata ikibidi mfunge kitambaa machoni wakati wa kunanihii ili asipate nafasi ya kuchungulia vitu nyeti
Last edited by a moderator: