The Power of Second Chances.............

....Mpe tu second chance hakuna ubaya na pia ukumbuke kwamba binadamu hatuko perfect...ali mradi amekuomba samahani kwa kosa alilolitenda na samahani hiyo ukaikubali bila shingo upande basi kumsamehe ni jambo jema...vinginevyo unaweza kuruka....... ukakanyaga..... :):)....kwani shemeji weye hujawahi kusamehewa kwa (ma)kosa yako/lako!?


Vaislay




Shemeji kwa mapenzi nlo nayo kwa Soulmate wangu sitamani kumpoteza sasa nkifikiria kuwa naye ni binadamu ikijatokea katetereka?! Nawezampa second chance na ikawork?! Sitaki kusema kuwa nitakuwa proud kama nitaachana nae kwa kuwa kanikosea but hakuna nafasi ya kumake up for the second time?? Jamani wanawake hatupendi kubeba na kuchunguliwa na wapya kila kukicha!
 
Last edited by a moderator:
Asa unaitumia thread yangu kujipigia debe?! Nani mwingine ataedeserve my second chance katika dunia hii ya mapenzi kama is wewe Mbu? Hapa nawaza yale ya what if ujue!!

....lol MwanajamiiOne, ......baada ya yale niliyoyapitia kiasi cha kuonekana 'mwenzenu' JF, naomba tu nikwambie ppl cheat na akili zao kichwani. Kuombana msamaha ni 'funika kombe mwanaharamu apite!' ....i dnt do that business.

Cheating ina maana You dnt deserve me, and I dont deserve you PERIOD! mtaremba remba na maneno ya 2nd chance, sijui Baby come back, yote bure! Haya, kaongeze pegi nyingine kichwa kikae sawa. ;)
 
Last edited by a moderator:
Babu DC, Aspirin and The Finest, swali mnisaidie, hivi second chances mwisho mara ngapi?
Note: mie NKristo, 7x70 sijui kama inatosha....
 
Mbu, yaani aongezee pegi ya konyagi saa hizi? Soulmate wengine mnafaana wenyewe,kha!
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana wakati wa separation mwenza wako akawa amepitia joto ya jiwe na kupata "ubatizo wa moto" akawa amebadilika. Ila kama hajabadilika, situation could become even worse.
 
ODM anaamini hakuna second chance isiyo na maumivu ya pili. Kama umeamua kutoa second chance basi na moyo wako uweke kwenye utayari wa kuvumilia second blow....! Kama hauko tayari kwa hilo basi jiandae kufa kwa mapresha.

Jasiri haachi asili, Niape?

Aisee....hapa hangover inaanza kuisha Babu.umesema, jasiri haachi asili sio!?

Sijawahi experience iyo ki2 ebu nisubiri initokee then takuja kukwambia nimechukua uamuzi gani

....HOPECOMFORT.................usiombe kukutwa aisee
 
ODM anaamini hakuna second chance isiyo na maumivu ya pili. Kama umeamua kutoa second chance basi na moyo wako uweke kwenye utayari wa kuvumilia second blow....! Kama hauko tayari kwa hilo basi jiandae kufa kwa mapresha.

Jasiri haachi asili, Niape?

...........Hahahah wewe sasa naona unakwenda deep aisee.........dah!
But hebu ipigie picha unatendwa mara tatu na watu tofauti............. bado hutoi second chance kwa mwenye afadhali?? mwe! au matatizo yako kwangu??
Na kiukweli tena, hakuna kitu kibaya kama upweke kama umeshindwa kuukabili. Ni heri uvumilie maumivu ya blows za second chance kuliko kuteseka na upweke....

Si wajua dawa ya moto ni moto? Akikupa second blow nawe unamrudishia kwa matatu mfululizo..... Ila hakikisha hamiliki silaha, Misiba ya kimapenzi si mizuri sana, afadhali tena hata upweke lol HAKI YA MUNGU VILE.
 
MwanajamiiOne
Ni kweli huenda matatizo yaweza kuwa kwako. Kwanini uruhusu wewe utendwe tu? Kwanini wewe uwe mpokeaji tu, uko vulnerable kiasi gani?

Nafikiri unahitaji naye kumfanya asijiamini na asikutake for granted.

Nafikiri ni muda wa kutoka kwenye receiving end!
 
Last edited by a moderator:
Katika mtandao wa mapenzi ukikaribisha Second chance, utafika hadi forth chance!
Sikutanii !
Solution kata Mkaratusi ! Panda Mkaratusi .

Eh..Judgement aksante sana aisee.................... duh

Second chance!!?? Never hapens to me! Nafanyaga maamuzi sahihi once.
Mdoe ntakutafuta unipe tuition

Hii salamu siitikii!
Hapo kwenye mabano ukijumlishia na hayo mawazo yako yamebanwa na lace wig, ndo ugomvi wangu na wewe. Ngoja nimuite Nyamayao manake naona sweetie wa Kaizer kapelekwa fungate ya tatu.

Hahahahahha Da Mkubwa tafadhali, ukiniitia nyamayao hapa utakuwa umenionea mie nimekunong'oneza, weye wapayuka nkiki? Shaaaah!
 
Da Mkubwa Kaunga aksante naona umehit pale ambapo nilikuwa ninahofia Mbu my Soulmate asije akapagusia............. being the victim, ndo najiuliza au ninaruhusu? sijiamini? ninahisi akiniacha huyu mie sina thamani? lakini mbona unawezakuta mtu anakuacha lakini baada ya muda hurudi kwa kasi? Sasa bahati akikukuta tayari kwenye mahusiano mengine na wewe hutizami makunyanzi yake unasonga mbele.....unajiuliza mbona karudi?

MwanajamiiOne
Ni kweli huenda matatizo yaweza kuwa kwako. Kwanini uruhusu wewe utendwe tu? Kwanini wewe uwe mpokeaji tu, uko vulnerable kiasi gani?

Nafikiri unahitaji naye kumfanya asijiamini na asikutake for granted.

Nafikiri ni muda wa kutoka kwenye receiving end!
 
Last edited by a moderator:
....lol, "birds of feathers,....!" niachieni soulmate wangu...tunabanana humuhumu.

Soulmate................ubanane na nani na huo mjimwili? Si nitasafocate mie nnaetaka kuwababanisha?! Hakuna hiyo kitu bana.
 
Mie imani yangu inaisha na wala haiwezi kuwa restored pale ukiharibu
Naamini kabisa mtu akiwa ana haribu alikuwa na akili timamu so lazima awe anajua matokeo ya matendo yake.
OTIS
 
King'asti, unahisi amekuelewa au nyagi lishashika hatamu mtaa wa chini? Huyu wa kutandika bakora huyu! Au kama vipi labda aje Pope mwenyewe kuharamisha second chances...lol

Mh umekuwa mkali Babu yangu hadi nimeogopa.................mwe haya jiandae nakuletea mjukuu mwingine basi sitoi second chance kwa yule!

Mjukuu wangu MwanajamiiOne,

Naamini haya umeyaandika kwa akili na utashi wako na wala siyo msukumo wa kinywaji....
Kwa maelezo yako, mtu aliyefikia hatua hiyo uliyoieleza, hatishii nyau bali anafanya mkweli. Umpe second chance au la, hawezi kurudi nyuma!!

Sasa unaamuaje?? ..Kulia kwenye side place au dinner plate?

Babu DC!!

Babu yangu kipenzi.................. sitoi second chance kwa yule, ashadeletiwa yule Babu bali nawaza tu kwa sauti, huyu wa sasa naye akinitenda should I? If not then Babu nitawabadilisha mara ngapi kabla wewe na wababu na wabibi za mtaa wa pili hamjaninyooshea kidole???
 
some broken heart never mend, some memories never erase, some tears will never dry..................., dah second chance bana ukiitoa inabd ujiandae ni wachache sana kwa kweli wanaojirekebisha na wasirudie tena kucheat, mwenzi wako anapojua umeshajua kuwa anacheat huwa ni rahc zaid kuendelea na katabia coz mwanzon huwa anajificha usijue, akijua unajua anafanya bac tena hapo mulika mwizi, kama hamko kwenye ndoa tafakar na uchukue hatua,

Dah.......huu ukweli huu wauma kwa kweli! Nambe aksante kwa kuusema but dah! Hivi unawezajekuomba msamaha wakati humaanishi? Yakowapi mapenzi ya kweli??
Huyu mjukuu wako asisingizie nyagi wala nini! Tulishakubaliana mi nakata viboko walau mizigo miwili lumbesa, napakaa pilipili afu AshaDii na Nyamayao ndo wanamcharaza manake mie ntamuua!

.....King'asti, AshaDii na Nyamayao?? ....basi mamii sahau na potezea kama kulikuwa na hii thread!
 
Wapendwa nawaamkua.

Najiuliza inawezakana kweli? Maana kwa mtazamo wangu finyu wa mawazo, mwenye mapenzi ya kweli ana uwezo wa kuresist kukuumiza (anaweza akacheat kukidhi mahitaji ya tamaa zake but atamake sure kuwa hapitilizi na wala hakuumizi yaani atakuprotect) sasa akiamua kuiacha na kuipa nguvu nyumba ndogo kiasi cha yenyewe kukutambia hadharani hadi akakugusa mkono kipofu wewe kuwa bwana eh...bwana/bibi ulonaye sote twala kwa zamu ..............je kweli second chances zinalipa??

Second Chance... ?, let alone Second Chance binadamu au watu tunaowapenda huwa tunawapa hata million chances., and its okay..

Issue inakuja kwenye trust, (trust is very delicate, just like humpty dumpty, once broken its very hard to put back together again).., my point is inabidi aliyevunja trust afanye bidii zaidi na it takes time to be trusted again (he must earn it).. Nina mfano ya rafiki yangu baada ya kumpa mimba mtoto wa watu na kuleta uhuni nyumbani wazazi wake waliacha kumuamini (the guy had to go to such an extent ya kuokoka na kuanza kuhubiri dini ili wazazi wamuamini tena)

I guess we need to know kwamba binadamu ni weak and soon or later tutafanya makosa.., sometimes we don't even mean harm..) kwahio we can't trust people 100% after all..

"Fool me Once, Shame on you.., Fool me Twice Shame on Me... (give people chance again and again but make sure they are not taking for granted your kindness and mistake you for a coward.., after all some people you give them a yard they take a mile...)
 
Back
Top Bottom