Evarist Massawe
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 666
- 853
Labda bold ni mwakilishi wako bibieKhaaaaa mwenyewe si nipo hapa The Bold ananijulia wapi mm mpaka umpe salaam zangu mkuu jamani
Labda bold ni mwakilishi wako bibieKhaaaaa mwenyewe si nipo hapa The Bold ananijulia wapi mm mpaka umpe salaam zangu mkuu jamani
Lini alikuwa mwakilishi wanguLabda bold ni mwakilishi wako bibie
Samahani kama nmekuudhi bibie. Nlikuwa natia msisitizo wa shukrani zangu khs mkufu wa malkia wa Gosheni. Mzigo niliuelewa sana sana.Khaaaaa mwenyewe si nipo hapa The Bold ananijulia wapi mm mpaka umpe salaam zangu mkuu jamani
Asanteni kunisubiria...Asante sana
Pamoja sana chiefShukrani zikufikie habibu anga.
ShukraniUbarikiwe
Dadangu shunie ananiwakilisha vyema sana... proud of herYajayo yanatisha. Shukrani sana mkuu Habib Anga. Msalimie sana Shunie mwambie namshuru sana kwa mkufu wa malkia wa Goshen. Kitu kilinipa raha sana kwa kipindi hicho. Mpaka story ikawa imeisha mm nikawa naona kama bado hivi.
Asante sana mzee mwenzanguDah safi sana na asnate
Kesho naweka episode nyingine chiefMkuu tunashukuru sana ombi angalau hata kwa wiki tupia ep mbili tu zinatosha mkuu
Hahahah imebidi niitikie tu dohKhaaaaa mwenyewe si nipo hapa The Bold ananijulia wapi mm mpaka umpe salaam zangu mkuu jamani
Hapana mkuu uwe na amani zoteSamahani kama nmekuudhi bibie. Nlikuwa natia msisitizo wa shukrani zangu khs mkufu wa malkia wa Gosheni. Mzigo niliuelewa sana sana.
Dadangu shunie ananiwakilisha vyema sana... proud of her
WoyooooooKesho naweka episode nyingine chief
HahahaHahahah imebidi niitikie tu doh
Bila bila kesho Ina maana nying aiseeBold ushafutari tayari haya weka mzigo wakti tunasubiria daku tuwe tunapitia