The Only Thing We Have to Fear is Fear itself

4. Nategemea hoja kadhaa zinazohusu Chadema na hata viongozi wake, zitaibuliwa. Ni lengo langu zijibiwe zote. Sisi kama chama hatuendeshi siasa za kificho na woga. Mimi na timu yangu yote tunaamini katika kujenga Chama Taasisi. CHADEMA siyo mali ya Mbowe na viongozi wenzake, ila Mbowe ni kiongozi wa taasisi hii. Uongozi ni dhamana na naheshimu na kulisimamia hili.
Jibu lipo hapa kwenye bold Kwa wale waliokuwa na maswali.
===

3. Nitashiriki kadri fursa zitakavyoniruhusu, hata hivyo, mniruhusu nisijiingize kwenye malumbano yasiyo na "substance."
Hivi threads zote za humu JF hazina substance kiasi cha kukufanya usirudi jukwaa hili to Dec 4, 2006? Au ulipoteza password ya account ya JF?

Kama ni issue ya password moderators please do the needful, Mkuu apate access ya account yake.
 
Salaam Wana JF.

Kwanza kabisa naomba niwapongeze wale walioanzisha forum hii kama sehemu ya matumizi ya uhuru wao binafsi. Aidha, niwapongeze kwani forum hii ni sehemu ya harakati muhimu ya kujadili mustakabali wa nchi yetu.

Nimesoma maoni, pongezi, malalamiko, hofu, ushauri na mambo mengine kadhaa katika forum hii. Nimejadiliwa mara kadhaa katika hoja tofauti. Nawapongeza wote waliochangia mada zilizonihusu hata kama wamenipinga au kuzusha. Nitoe pongezi zaidi kwa wale walioonyesha kuipenda nchi yetu na kuitakia mema kwa mijadala mbalimbali.

Leo naandika kwenye forum hii kwa mara ya kwanza. Siyo kusudio langu kujibu hoja zinazonihusu moja kwa moja. Aidha, siyo nia yangu kuingia kwenye malumbano ya aina yeyote na wachangiaji. Naheshimu sana uhuru na mawazo ya wote hata kama kwa makusudi au bahati mbaya yanapotosha. Binadamu tunatofautiana katika fikra, uelewa na malengo.

Siasa na uongozi wa Taifa letu vina mahusiano ya moja kwa moja na maisha yetu ya kila siku.Tanzania ni nchi yetu sote. Hatuna sababu ya kufanya masihara na siasa wala viongozi wetu wote. Walio madarakani na wale wenye nia hiyo.

Mara nyingi, binadamu ni wepesi wa kulaumu na kuhukumu. Tunapenda kadhalika, kudai haki pengine bila kutafakari kwa kina tumetekeleza wajibu wetu kwa kiasi gani.

Tupende tusipende, Tanzania ina kilio. Wote tusipojiuliza na kutekeleza wajibu wetu, kila mtu na nafasi yake kukabiliana na msiba huu, kamwe kilio hakitaisha. Muda wetu wa kuishi maisha haya ni mfupi sana na kila mmoja wetu anastahili kujiuliza amechangia nini katika wajibu wa kumaliza msiba huu?

Naamini, tatizo kubwa la kwanza la kukabiliana nalo nchini mwetu ni WOGA na HOFU. Naamini Wana Jambo forum wengi ni watu wenye uelewa wa kutosha. Kwa nchi yetu iliyo hoi kielimu na hata kiuwezo, hawa ni watu wa "kutumainiwa" na familia zao na hivyo nchi yao kwani familia ni sehemu ya nchi. Napenda kuamini ni sehemu ya "cream" ya Taifa letu nanyi kwa kutoa mawazo yenu, mmekuwa sehemu ya harakati.

Nasikitika, wengi wa wana forum wanatumia majina yasiyo ya kweli. Sina hakika kama siyo ishara ya woga! Na kama wasomi, waelewa, wenye upeo wanakuwa hivyo, Watanzania wa kawaida wategemewe wawe vipi? "Authenticity" ya tunayoyaandika inafifishwa na hali hii?

CHANGAMOTO: KWA KUFICHA MAJINA YETU UJASIRI WETU WA KUHOJI, KULAUMU NA KUHUKUMU UNAPINGANA NA DHAMIRA YA HARAKATI? HARAKATI NA WOGA VINAENDANA? WOGA UNAWEZA KUOKOA TAIFA?

By concealing our identity, are we truly living to our motto which says "Where we dare talk openly?"

"The only thing we have to fear is fear itself" - President Franklin Delano Roosevelt, Washington DC, 4th March 1953

Nawashukuru na naomba kutoa hoja!!

Freeman Mbowe
Mwamba mwenyewe .

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Jibu lipo hapa kwenye bold Kwa wale waliokuwa na maswali.
===


Hivi threads zote za humu JF hazina substance kiasi cha kukufanya usirudi jukwaa hili to Dec 4, 2006? Au ulipoteza password ya account ya JF?

Kama ni issue ya password moderators please do the needful, Mkuu apate access ya account yake.
Mwamba haingii jf kibwege anaingia kwa mipango

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Salaam Wana JF.

Kwanza kabisa naomba niwapongeze wale walioanzisha forum hii kama sehemu ya matumizi ya uhuru wao binafsi. Aidha, niwapongeze kwani forum hii ni sehemu ya harakati muhimu ya kujadili mustakabali wa nchi yetu.

Nimesoma maoni, pongezi, malalamiko, hofu, ushauri na mambo mengine kadhaa katika forum hii. Nimejadiliwa mara kadhaa katika hoja tofauti. Nawapongeza wote waliochangia mada zilizonihusu hata kama wamenipinga au kuzusha. Nitoe pongezi zaidi kwa wale walioonyesha kuipenda nchi yetu na kuitakia mema kwa mijadala mbalimbali.

Leo naandika kwenye forum hii kwa mara ya kwanza. Siyo kusudio langu kujibu hoja zinazonihusu moja kwa moja. Aidha, siyo nia yangu kuingia kwenye malumbano ya aina yeyote na wachangiaji. Naheshimu sana uhuru na mawazo ya wote hata kama kwa makusudi au bahati mbaya yanapotosha. Binadamu tunatofautiana katika fikra, uelewa na malengo.

Siasa na uongozi wa Taifa letu vina mahusiano ya moja kwa moja na maisha yetu ya kila siku.Tanzania ni nchi yetu sote. Hatuna sababu ya kufanya masihara na siasa wala viongozi wetu wote. Walio madarakani na wale wenye nia hiyo.

Mara nyingi, binadamu ni wepesi wa kulaumu na kuhukumu. Tunapenda kadhalika, kudai haki pengine bila kutafakari kwa kina tumetekeleza wajibu wetu kwa kiasi gani.

Tupende tusipende, Tanzania ina kilio. Wote tusipojiuliza na kutekeleza wajibu wetu, kila mtu na nafasi yake kukabiliana na msiba huu, kamwe kilio hakitaisha. Muda wetu wa kuishi maisha haya ni mfupi sana na kila mmoja wetu anastahili kujiuliza amechangia nini katika wajibu wa kumaliza msiba huu?

Naamini, tatizo kubwa la kwanza la kukabiliana nalo nchini mwetu ni WOGA na HOFU. Naamini Wana Jambo forum wengi ni watu wenye uelewa wa kutosha. Kwa nchi yetu iliyo hoi kielimu na hata kiuwezo, hawa ni watu wa "kutumainiwa" na familia zao na hivyo nchi yao kwani familia ni sehemu ya nchi. Napenda kuamini ni sehemu ya "cream" ya Taifa letu nanyi kwa kutoa mawazo yenu, mmekuwa sehemu ya harakati.

Nasikitika, wengi wa wana forum wanatumia majina yasiyo ya kweli. Sina hakika kama siyo ishara ya woga! Na kama wasomi, waelewa, wenye upeo wanakuwa hivyo, Watanzania wa kawaida wategemewe wawe vipi? "Authenticity" ya tunayoyaandika inafifishwa na hali hii?

CHANGAMOTO: KWA KUFICHA MAJINA YETU UJASIRI WETU WA KUHOJI, KULAUMU NA KUHUKUMU UNAPINGANA NA DHAMIRA YA HARAKATI? HARAKATI NA WOGA VINAENDANA? WOGA UNAWEZA KUOKOA TAIFA?

By concealing our identity, are we truly living to our motto which says "Where we dare talk openly?"

"The only thing we have to fear is fear itself" - President Franklin Delano Roosevelt, Washington DC, 4th March 1953

Nawashukuru na naomba kutoa hoja!!

Freeman Mbowe
Huyu Mwamba Kumbe Yumo.

Ndio maama hateteleki.

Uimara wako Mwamba umeacha vijana imara huku mtaani hata kama haupo.

May Allah Bless You.
 
Mheshimiwa Mbowe umenikuna. Umetuthibitishia kama alivyosema Mzee ES kuwa forum hii inapitiwa na watu wazito! Ahsante sana kwa kuingia hapa. It has boosted the profile of the forum, but of course, of our party as well! Najua hakuna kiongozi wa CCM anayeweza kuthubutu kutumbukia humu. Kwanza wale jamaa wana allergy na kusoma. They just dont even read! Chinga waamushe hao wenzako waanze kutafuta maarifa katika maandishi!

Sasa tuwaonye akina Nungwi kuwa hapa hakuna nafasi ya longolongo, hoja zenye akili tu zinatakiwa. Sio blabla na propaganda ya kutetea mambo ambaye hayateteeki.

Nyongezea katika majibu ya kutumia pen names: Binadamu tunahlika wakati mwingine wa kuangalia 'nani amesema badala ya amesema nini'. Kwa hiyo tuliona ili to-focus kwenye hoja tukakubaliana tangu enzi za BCS kwamba tutumie pen names. Ila nakuhakikishia sio kwa sababu ya woga hata kidogo. Hatukuogopi maana mambo mengi humu ndani hatuzushi hata kidogo.

JJ: ni vizuri kwamba kuna kesi Dar kuhusu ubunge wa EAC. Lakini unajua kinachokosekana katika siasa za upinzani TZ na hasa katika CHADEMA ni militarism. We need millitant politics. Hii ya Zitto peke yake anapiga kelele wakati wengine wanaendelea na business as usual inaturudisha nyuma. Bado hatujawatia jambajamba CCM. Na ukiona CCM wanatusifia kuwa ni chama cha wastaraabu, ujue hatujafanya kazi yetu vizuri. Kuna mambo mengi ya ku-capitalise on. Inasikitisha kwamba wabunge wetu hawakulibebea bango suala la Richmond katika bunge lilipita. Hatuku-capitalise pia katika tatizo la wamachinga na wewe kama Mkurugenzi wa Vijana nafikiri hili linakuhusu moja kwa moja. In short, we must miliitarise our political party. Hawa jamaa ni mafia hasa, watatusogeza hadi uchaguzi watakuwa hawajafanya kitu lakini na sisi pia tutakuwa hatuna cha kuonesha kwamba wa are an alternative. Safari njema Dar.
Hii comment ingetolewa kipimdi cha Jiwe au Hangaya Kichwa cha mtoa kommemt kingekuwa halali yao.
 
Mtanzania,

Naelewa hilo ndio maana nikaomba radhi mwishoni kwa kutumia mfano halisi ili nieleweke.

Asante kwa ushauri. Point noted!

Narudia tena: si vibaya kutumia pen name kama nia ni 'kusema ukweli, fitina mwiko'. Nadhani concern inakuja pale zinapotumia pen names nyingi kwa lengo tu la kutoa fitina zisizo za kweli. Kwa hiyo kuna makundi mawili. Kundi la kwanza ni wale wanaotumia pen name kwa nia njema- kuibua uozo ulioko bila kuingia matatani na watu wanaowafahamu ambao wanashiriki uozo huo. (hii ni kazi yenye maslahi kwa taifa), kundi la pili ni watu wanaotumia pen name kwa ajili ya kuandika uzushi. Hawa wanachohofia ni heshima yao kushuka kama wakijulikana ni wao ndio wanameandika.(hii ni kazi ya maslahi binafsi).

anyway, nadhani wanasiasa hatujaingia humu kuifanya hii forum ya chama fulani. Tumeingia kwa ni ya kushiriki kwenye mijadala kuhusu hatma ya nchi yetu. Binafsi niliingia humu baada ya hoja nyingi kuelekezwa kwenye mashambulizi kwa CHADEMA na nikaingia kutoa ufafanuzi. Toka wakati huo mpaka leo nimeendelea kuwa mwanachama wa kijiwe hiki. Kila kiongozi binadamu ana haki ya kuingia au kutoka katika kijiwe hiki. Mwambie chinga awaambie viongozi wake nao waingie. As a matter of fact matamko mengi yanayojadiliwa humu ni yale yaliyotolewa na serikali zaidi.

Tuendelee kujadiliana. Tanzania ni yetu sote, ikididimia sote tunadidimia bila kujali dini, rangi, kabila ama chama cha siasa.

Keep writing, as a promise-niko njiani, nikifika bongo nyumbani nitajibu kwa kina. Yaliyoandikwa mpaka sasa ni mengi. Yanahitaji siku nzima huru kuyajibu.

Mbarikiwe!

JJ
Vigogo kama Vigogo.
 
Mheshimiwa Freeman,
Karibu sana kwenye forum yetu. Kama alivyosema Sam, woga wetu wa kutumia majina bandia si woga wa kusema ukweli.Kwa mfano, kama wewe utajua my true identity labda kitu utakachofanya ni kucheka. Lakini that is not the point. Kivuli hichi cha undercover kinatupa sisi wengine ambao kwa kweli ni "high profile" uwezo wa kusema tunachokiona bila hofu . Kwa hiyo ni wogo positive na si woga woga. Karibu sana!
2006 mlikuwa mna commeny kwa kutumia smartphone au ni mpaka mwende Internet cafe?
 
Salaam Wana JF.

Kwanza kabisa naomba niwapongeze wale walioanzisha forum hii kama sehemu ya matumizi ya uhuru wao binafsi. Aidha, niwapongeze kwani forum hii ni sehemu ya harakati muhimu ya kujadili mustakabali wa nchi yetu.

Nimesoma maoni, pongezi, malalamiko, hofu, ushauri na mambo mengine kadhaa katika forum hii. Nimejadiliwa mara kadhaa katika hoja tofauti. Nawapongeza wote waliochangia mada zilizonihusu hata kama wamenipinga au kuzusha. Nitoe pongezi zaidi kwa wale walioonyesha kuipenda nchi yetu na kuitakia mema kwa mijadala mbalimbali.

Leo naandika kwenye forum hii kwa mara ya kwanza. Siyo kusudio langu kujibu hoja zinazonihusu moja kwa moja. Aidha, siyo nia yangu kuingia kwenye malumbano ya aina yeyote na wachangiaji. Naheshimu sana uhuru na mawazo ya wote hata kama kwa makusudi au bahati mbaya yanapotosha. Binadamu tunatofautiana katika fikra, uelewa na malengo.

Siasa na uongozi wa Taifa letu vina mahusiano ya moja kwa moja na maisha yetu ya kila siku.Tanzania ni nchi yetu sote. Hatuna sababu ya kufanya masihara na siasa wala viongozi wetu wote. Walio madarakani na wale wenye nia hiyo.

Mara nyingi, binadamu ni wepesi wa kulaumu na kuhukumu. Tunapenda kadhalika, kudai haki pengine bila kutafakari kwa kina tumetekeleza wajibu wetu kwa kiasi gani.

Tupende tusipende, Tanzania ina kilio. Wote tusipojiuliza na kutekeleza wajibu wetu, kila mtu na nafasi yake kukabiliana na msiba huu, kamwe kilio hakitaisha. Muda wetu wa kuishi maisha haya ni mfupi sana na kila mmoja wetu anastahili kujiuliza amechangia nini katika wajibu wa kumaliza msiba huu?

Naamini, tatizo kubwa la kwanza la kukabiliana nalo nchini mwetu ni WOGA na HOFU. Naamini Wana Jambo forum wengi ni watu wenye uelewa wa kutosha. Kwa nchi yetu iliyo hoi kielimu na hata kiuwezo, hawa ni watu wa "kutumainiwa" na familia zao na hivyo nchi yao kwani familia ni sehemu ya nchi. Napenda kuamini ni sehemu ya "cream" ya Taifa letu nanyi kwa kutoa mawazo yenu, mmekuwa sehemu ya harakati.

Nasikitika, wengi wa wana forum wanatumia majina yasiyo ya kweli. Sina hakika kama siyo ishara ya woga! Na kama wasomi, waelewa, wenye upeo wanakuwa hivyo, Watanzania wa kawaida wategemewe wawe vipi? "Authenticity" ya tunayoyaandika inafifishwa na hali hii?

CHANGAMOTO: KWA KUFICHA MAJINA YETU UJASIRI WETU WA KUHOJI, KULAUMU NA KUHUKUMU UNAPINGANA NA DHAMIRA YA HARAKATI? HARAKATI NA WOGA VINAENDANA? WOGA UNAWEZA KUOKOA TAIFA?

By concealing our identity, are we truly living to our motto which says "Where we dare talk openly?"

"The only thing we have to fear is fear itself" - President Franklin Delano Roosevelt, Washington DC, 4th March 1953

Nawashukuru
Siasa na uongozi wa Taifa letu vina mahusiano ya moja kwa moja na maisha yetu ya kila siku.Tanzania ni nchi yetu sote. Hatuna sababu ya kufanya masihara na siasa wala viongozi wetu wote. Walio madarakani na wale wenye nia hiyo.
👍👍👍
 
Back
Top Bottom