Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,234
- 17,942
Wazee wa jicho la tatu,Hahaha...duh! Watu mnawaza nje ya box.
Tuna zooooooooom
Wazee wa jicho la tatu,Hahaha...duh! Watu mnawaza nje ya box.
Imani ni msingi mzito sana wa mahusiano, ukipuuzia utaumia ukiwa ndani ya ndoa, imani ni maisha usipuuzieIt's a nice story,nimefatilia hadi mwisho, nimependa misimamo ya Ibrahim ila kuhusu imani tofauti, kumbadilisha mtu imani yake ya dini fulani eti ili mradi apate kitu fulani kama ndoa nk, naona kama ni mateso na utumwa hivi, nadhani hilo halikutakiwa kuwa kikwazo sana kwa Ibrahim muhimu ni upendo tu.
Ni kama Ibrahim hakumpenda cousin Rehema hivi, na sababu kuu ikiwa ni utofauti wa dini.
Sawa ila unahisi ni sahihi kumshawishi mtu afate dini yako wewe ili tu umuoe? Why kila mtu asibaki na dini yake na maisha yakaendeleaImani ni msingi mzito sana wa mahusiano, ukipuuzia utaumia ukiwa ndani ya ndoa, imani ni maisha usipuuzie
Hapa inategemea na aina ya mtu, ni rahisi kumshawishi wa dhehebu tofauti kuliko dini...hapa naongelea Ukristo na uislam ni pagumu mno na mtatesana sana.Sawa ila unahisi ni sahihi kumshawishi mtu afate dini yako wewe ili tu umuoe? Why kila mtu asibaki na dini yake na maisha yakaendelea
Sometimes Mapenzi yanaumiza sanaibra alikuwa bize na harakati za maisha ajawai kumpenda cousin wetu hata kidogo
kwanza kabisa, true love never die. since day one tunaona Cousin kampambania sana ibra kutengeneza connection,
cousin ame initiate love
cousin amempeleka ibra home
cousin amefata ibra shule (advance)
cousin anatafuta ibra chuo
cousin anakutana na ibra tena lakin kwa effort yake mwenyewe😥😥 hapo ibra ametulia tu, come on ibraaa!
cousin alipoteza bikra kwasababu ya ushawishi tu wa baharia mmoja lakin truly alimpenda ibra
cousin kupoteza bikra sio kigezo cha shekh ibraa kumuacha cousin wetu,
na kigezo cha dini na mienendo ya cousin ibra kama alimpenda kweli basi angekuwa ana muelekeza cousin wetu jinsi ya kuvaa na mengine wakati wapo kwenye mausiano
inshort shekh ibraa ajaonesha juhudi zozote kwenye kutetea mapenzi yake na cousin wetu
Asante kwa masahihisho.. Nilikusudia "Met" na siyo "Mate"The Only Man I ever mate in my Lifetime so far.
Hivi hapo ni Mate ama Met?
Sijasoma stori zaidi ya heading
Hii kauli yako utaiona mwiba baada ya kuzaa naeSawa ila unahisi ni sahihi kumshawishi mtu afate dini yako wewe ili tu umuoe? Why kila mtu asibaki na dini yake na maisha yakaendelea
Why mkuu? Mtoto ataamua afate dini ipi ya baba au mama mbona rahisi tuHii kaulo yako utaiona mwiba baada ya kuzaa nae
Sijui kwa wengine kwa devoted religious people ni ngumu ..... kuna matukio kama Idi, Pasaka, Krismasi, Mapambo ya nyumba kama picha za yesu na mfano wake, Malezi na Makuzi ya Watoto... Binafsi naona imani tofauti kuoana inaweza kusumbua somewhere,,,,,, Najua devoted muslim hawakubaliani wala kushiriki pasaka, Krismas na mfano wake itakuwaje kwa mke wake, Je atahudhuria matukio kama hayo Bila ubavu wake, siku zote atasimama Kanisani akiwa peke yake!!! Binafsi namshukuru Mungu niliye naye tuko imani Moja ingawa tunatofautiana madhehebuWhy mkuu? Mtoto ataamua afate dini ipi ya baba au mama mbona rahisi tu
We unasema tu ila ujui ni jinsi gan inauma kuona unaenda kuabudu peke ako ili hali wenzio wameongozana na familia zao. Utakubal watoto wote wafaye upande wa baba yao alaf ww ndan uwe una abudu peke akoWhy mkuu? Mtoto ataamua afate dini ipi ya baba au mama mbona rahisi tu
yanaumiza kweli haswa ukipendaa usipotakiwa kama cousin alivyo mpenda shekh ibra... hope shekh ibra atakua ameoa na cousin itakua bado anampendaSometimes Mapenzi yanaumiza sana
Ibrahim huyo ni uchafu tuIt's a nice story,nimefatilia hadi mwisho, nimependa misimamo ya Ibrahim ila kuhusu imani tofauti, kumbadilisha mtu imani yake ya dini fulani eti ili mradi apate kitu fulani kama ndoa nk, naona kama ni mateso na utumwa hivi, nadhani hilo halikutakiwa kuwa kikwazo sana kwa Ibrahim muhimu ni upendo tu.
Ni kama Ibrahim hakumpenda cousin Rehema hivi, na sababu kuu ikiwa ni utofauti wa dini.
Huwezi kusimulia kwa lugha moja
Unatuumiza sisi
Haya mambo ya kubadilisha dini kwasababu za mapenzi mara nyingi huwa ni za muda tu.Sijui kwa wengine kwa devoted religious people ni ngumu ..... kuna matukio kama Idi, Pasaka, Krismasi, Mapambo ya nyumba kama picha za yesu na mfano wake, Malezi na Makuzi ya Watoto... Binafsi naona imani tofauti kuoana inaweza kusumbua somewhere,,,,,, Najua devoted muslim hawakubaliani wala kushiriki pasaka, Krismas na mfano wake itakuwaje kwa mke wake, Je atahudhuria matukio kama hayo Bila ubavu wake, siku zote atasimama Kanisani akiwa peke yake!!! Binafsi namshukuru Mungu niliye naye tuko imani Moja ingawa tunatofautiana madhehebu