The Only Man I ever met in my Lifetime so far

Mtoa mada anamnanga binamu yake
kisa yeye kasoma na ana maisha mazuri
ambayo anahisi huyo binamu yake angeyapata kama angeolewa na huyo mshkaji muislamu
Samahani kwa kunielewa vibaya, sikusudii kumnanga binamu yangu ila nimejifunza my Cousin Loved Ibrahim bila kumfahamu kwa kujua ni familia gani anatamani kuijenga!!! Na haya makosa wengi tunayafanya, from day one Ibrahim never changed his standards hivyo kuendelea kumpenda mtu ambaye fika unafahamu anatamani mke wake afanane vipi na wewe hufanani hivyo huoni kuna shida!!!

Ibrahim vivyo hivyo ana makosa kwa kutafanya jutihada kumsaidia mwenzake afikie vile alivyotaka LAKINI KITU PEKEE AM REAL PROUD OF HIM HAJAWAHI KUUCHEZEA MWILI WA BINAMU YANGU KITU AMBACHO WANAUME WENGI HAMUWEZI!!!!!

Wengi humu ni siku moja na pili ni ngono whether una malengo naye au huna tena wakati mwingine na mimba juu then unamwambia tutalea mtoto baada ya hapo kila mtu na sabini zake....
 
Kwenye uhusika hapa hapo kwenye Cousin naona kama ni wewe mwenyewe umeficha privacy.

Ila huyo Ibrahim naona ni species za kipindi cha farao.

Hiyo misimamo kwa sasa ni ideal.
 
Ahahaa...kuna case kama hyo ishanitokea,demu alikuja adi nyumbani kutangaza ushindi kwamba Mimi nataka kumuoa....nikampotezea kwa kisingizio cha hakutaka kusilimh (kubadili dini) adi nimuoe,Ila ukweli demu sikuvutiwa nae sema tu sikupenda kuona anajisikia vibaya....adi leo yule demu nikikwambia kesho nakuoa yupo tayari
 
Mimi ningekua ni ibra nakwambia ningekunyandua wewe na uyo cousin wako sababu ni ulimuelewa huyo ibra kuliko cousin yako
 
Habari za Asunuhi wanajukwaa,,

Natamani kushare nanyi kisa cha kweli huenda tukajifunza mengi kutokana na kisa hiki. Kisa hiki ni story ya kweli inayomhusu my beloved Cousin na kijana moja kutoka mkoani Singida.

It is very interesting story with a lot of heartbreaks... they loved one another so much lakini kila moja alimpenda mwenzake kwa namna tofauti na moja hakuwahi kuelewa mahitaji na interest za mwenzake na matokeo yake ameishia kumlaumu hadi leo....

At first nilimchukia sana huyu kijana nikiamini alimtesa sana my cousin cause she loved him so much and I thought was a one sided love but I was totally wrong... But know as I grow I come to realise that the Guy was the best Man I ever mate, Naumia sana sikuweza kumtendea wema katika nyakati zote tulizokutana lakini amenifundisha somo ambalo daima litabaki katika akili yangu na moyo wangu....... Very painful and sad reality. Ni story ndefu spinning for almost seven years kutoka 2005 hadi early 2012 or late 2011.

Nitajaribu kadri nitakavyoweza kufupisha story hii lakini pia naomba kutumia majina ambayo siyo halisi kuepuka kuingilia privacy na maisha binafsi ya kila moja lakini pia kuepusha usumbufu utakaoweza kujitokeza. Aidha naomba kutumia majina ambayo siyo halisia ili kutowaweka huru wahusika... the rest will be as it is labda some few snarios.

My Cousin nitatumia jina la Rehema na yule kijana nitatumia jina la Ibrahim

My Cousin ni mtu wa Mkoa wa Mara kwa maana ya wazazi wake lakini yeye amezaliwa na kukulia Dar Es Salaam jiji lenye vituko na vitimbi vyake… In short is a very gorgeous and adoring person at tender age ukiachilia sasa alikuwa ni mwenye mwili mwembamba kiasi, mrefu wa wastani, mweupe, mwenye dimples mashavuni na mwenya na mwenye meno meupe, kwa hakika she is lady any man can be proud of.

On other her then Man alikuwa ni kijana handsome sana Mweupe, mrefu wa wastani, mwenye mwili wa wastani na Uso wa kisomali na pua iliyochongoka well. Alikuwa ni mtu mpole na mkimya aliyependa sana kusoma na kuongea machache kwa hoja. Lakini ambapo now I came to realise He had a clear perfect picture of his own future life and He believed in his own ideas. Some soothing that I think my Cousin never understood na ndicho ambacho naamini ndiyo msingi wa lawana zake kwake….


My Cousin drop out of school because of Financial challenges hivyo my uncle akaamu kumpleka sehemu moja one of the famous suburb in Dar es Salaam City kujifunza ufundi Cherehani yaani kushona nguo. Katika jengo hilo kulikuwa na duka kwa mbele na mmiliki wa kituo hicho cha cherehani had another business ambayo mafundi nguo walihusika kwenye ya stages ya hiyo biashara yake hivyo kujipatia kipato kwani aliwalipa kwa huduma yao ya ushonaji. Aidha kwenye hiyo biashara nyingine alikuwepo huyu Ibrahim……. As my cousin, Ibrahim was form three droup out because of reasons ambazo sizifahamu vizuri lakini ambacho naweza kusema he was a gift guy yaani ana akili au uwezo mkubwa kiakili… najua utaniuliza why nasema hivyo lakini utaelewa mbele ya safari usikate tamaa.

Ibrahim Alikuwa mkimya sana na muda wote alifanya kazi zake kwa bidi na kama hana kazi alijisomea vitabu mbalimbali na hakupenda kuongea sana na watu. Rehema akatokea kumpenda sana Ibrahim lakini Ibrahim never thought or Imagined that… Wakati huo Ibrahim alikuwa around 19 na Rehema was around 16 or 17… Akaanza kumfanyia vituko mtoto wa watu kama utani ili kumweka karibu, Idea ambayo iligonga mwamba, akamnunuliwa zawadi something that fall into a deaf ear…. Akaanza kumkasirikia wakati mwingine bila sababu something that made the guy to realise buildup of situation around him….. Kijana wa watu akasurrender kwa kutii matakwa ya bibiye (kwa wakati huo hakuna uhusiano rasmi) yaani matakwa kama kumsindikiza stendi au hata kumsindikiza mpaka akishuka kituoni kwao kijana na watu anapanda gari kurudi kwao kwani walikuwa wanaenda Opposite sides…..

Siku moja My Cousin akamtaka aje atutembelee nyumbani one weekend lakini Ibrahim akakataa, My Cousin akamwambia kama huji nitakuja mimi kwani my Cousin aliwahi kufika nyumbani kwa bosi ambako ndipo alikuwa anakaa Ibrahim… Ibrahim akidhani mwenzake anatania kumbe anamaanisha hivyo bila kutarajia that Sunday Rehema akatinga nyumbani kwa bosi na kumkuta Ibrahim akiwa na madogo kwani wazee walikuwa wametoka kidogo… akakaa mpaka jioni baadaye akimlazimisha Ibrahim kumsindikiza mpaka stendi a bit far na Ibrahim akakubali…. To cut story, mwisho wa siku binti alifunguka kuwa she needed him in her life na kutokana na shinikizo Ibrahim akakubali lakini kwa condition kuwa they will touch one another mpaka watakapofanikiwa kuungana kisheria. Jambo moja liliwatofautisha ni kuwa Ibrahim was from a very conservative Muslim Family (I think kutokana na tabia nay ale niliyosimuliwa kuhusu yeye) na my Cousin was raised in Modern Evangelical Christian family willing to give up her faith in favour of the guy. Kutokana na malezi yao walitofautiana sana namna kila moja alivyompenda mwenzake……. Ibrahim akawa anakuja nyumbani baadhi ya weekend mara nyingi kwa shinikizo la My Cousin na alituletea zawadi za hapa na pale na kila mara My Cousin alimlazimisha wapige picha za pamoja something He accepted kwa shingo upande….

Siku zilienda mapenzi yakanawiri lakini muda wote nilihisi ni one sided love kwani mara nyingi My Cousin ndiye aliyeinitiate Ibrahim kuja na kweli alimpenda sana Ibrahim…. Nikaanza kumchukia kwa sababu nilihisi anamtesa My cousin kwa kumpenda kwake, kitu nisichokijua ni kuwa Ibrahim truly Loved my cousin lakini he needed her to change and align with his requirements something my cousin never real worked on… What I came to realise later ni kuwa Ibrahim pictured to marry a devoted Muslim lady and raise a conservative Muslim family….. Jamani naomba nikiri kitu ambacho najua wengi watashangaa.. wakati wanaanza mahusiano my Cousin alikuwa Sealed yaani bikira hakuwahi kuguswa na mwanaume yoyote na alikuwa tayari kufanya lolote kwa Ibrahim lakini pamoja na kuujua ukweli huu Ibrahim likataa kataa kukutana naye kimwili… kitu hiki kilinifanya nijiulize sana maswali mengi… nikaja kugundua kuwa the Guy believed deep in his heart kufanya mapenzi before marriage is a grave sin, lakini pia his conservative muslim family won’t accept my Cousin in her current state hivyo asingependa kumharibia her future ikiwa atabaki hivyo na cha ajabu Zaidi his family won’t accept a child born out of a wedlock… he would later admit to me no matter the situation he would marry my Cousin ikiwa tu atakidhi vigezo na sii vinginevyo na hatakaa amguse yaani kushiriki naye ngono….. najua utashangaa lakini huo ndiyo ukweli japo unashangaza…

Time passed, My Cousin alimwahidi Ibrahim she will be a Muslim lady and will adhere to all Muslim standards. Although she meant it, she never took even a single step towards that direction na Ibrahim aliendelea kumpa Muda bila kumlazimisha kufanya hivyo…. Hapa later I came to realise kulikuwa na tatizo…. My Cousin believed his man loved her the way she is ingawa alifahamu vigezo vya Ibrahim na alimwahidi kubadilika kufutana na hivyo vigezo na ibrahim alidhani mwenzake anafahamu alichotakiwa kufanya ndiyo maana hakumlazimisha. Lakini pia My cousin hakujua urefu wa safari mpaka kufikia ndoa ukilinganisha na umri wao ingawa mwenzake alifahamu fika the journey is a bit far ahead and is of roughs and terrain. Baada ya muda I think was Mach, 2006 my cousin akamaliza mafunzo na mahusiano yakaendelea vile na baadaye kidogo tukasikia the guy decided to drop work na kuamua kurudi shule yaani to sit for Form four exam as a private Candidate… According to my Cousin jamaa alikuwa analipwa more than 120,000.00 kwa mwezi hiyo 2005.

Baadhi ya matukio ni masilimulizi kutoka kwa my Cousin, mazungumzo yangu na jamaa na mengine ni uelewa wangu kutokana na uhalisia ulivyokuwa unatokea…. Wakati huo nilikuwa nasoma one of the best schools at that time in the city na nilienda na kurudishwa jioni na my Cousin was my faourite friend hivyo mengi niliyafahamu…

Baada ya jamaa kuanza shule mawasiliano yalibaki ya simu tu na sehemu walikokuwa wanakaa wakahama hivyo My Cousin hakupajua tena. Baadaye tukasikia from his friend jamaa yupo advance my akalazimisha nimsindikize one day mpaka ilipo shule apate kuonana na jamaa.. kutokana na kumpenda sana my cousin nilikubali ila nilimchukia sana jamaa kwa sababu niliamini anamtesa dada yangu.. kipindi kile nilikuwa nyumbani hivyo nikakubali tukaenda mpaka eneo husika kwani tuliambiwa sare anayovaa bila kuifahamu shule
Binti yangu ungetumia lugha moja kati ya hizo mbili badala ya kuchanganya, stori yako ingeeleweka na kuvutia. Ni ushauri tu.
 
Wonderful story. Having gone through your story I realized that there is real & true love, though, Ibrahim Rehema were very naive.
 
Habari za Asunuhi wanajukwaa,,

Natamani kushare nanyi kisa cha kweli huenda tukajifunza mengi kutokana na kisa hiki. Kisa hiki ni story ya kweli inayomhusu my beloved Cousin na kijana moja kutoka mkoani Singida.

It is very interesting story with a lot of heartbreaks... they loved one another so much lakini kila moja alimpenda mwenzake kwa namna tofauti na moja hakuwahi kuelewa mahitaji na interest za mwenzake na matokeo yake ameishia kumlaumu hadi leo....

At first nilimchukia sana huyu kijana nikiamini alimtesa sana my cousin cause she loved him so much and I thought was a one sided love but I was totally wrong... But know as I grow I come to realise that the Guy was the best Man I ever mate, Naumia sana sikuweza kumtendea wema katika nyakati zote tulizokutana lakini amenifundisha somo ambalo daima litabaki katika akili yangu na moyo wangu....... Very painful and sad reality. Ni story ndefu spinning for almost seven years kutoka 2005 hadi early 2012 or late 2011.

Nitajaribu kadri nitakavyoweza kufupisha story hii lakini pia naomba kutumia majina ambayo siyo halisi kuepuka kuingilia privacy na maisha binafsi ya kila moja lakini pia kuepusha usumbufu utakaoweza kujitokeza. Aidha naomba kutumia majina ambayo siyo halisia ili kutowaweka huru wahusika... the rest will be as it is labda some few snarios.

My Cousin nitatumia jina la Rehema na yule kijana nitatumia jina la Ibrahim

My Cousin ni mtu wa Mkoa wa Mara kwa maana ya wazazi wake lakini yeye amezaliwa na kukulia Dar Es Salaam jiji lenye vituko na vitimbi vyake… In short is a very gorgeous and adoring person at tender age ukiachilia sasa alikuwa ni mwenye mwili mwembamba kiasi, mrefu wa wastani, mweupe, mwenye dimples mashavuni na mwenya na mwenye meno meupe, kwa hakika she is lady any man can be proud of.

On other her then Man alikuwa ni kijana handsome sana Mweupe, mrefu wa wastani, mwenye mwili wa wastani na Uso wa kisomali na pua iliyochongoka well. Alikuwa ni mtu mpole na mkimya aliyependa sana kusoma na kuongea machache kwa hoja. Lakini ambapo now I came to realise He had a clear perfect picture of his own future life and He believed in his own ideas. Some soothing that I think my Cousin never understood na ndicho ambacho naamini ndiyo msingi wa lawana zake kwake….


My Cousin drop out of school because of Financial challenges hivyo my uncle akaamu kumpleka sehemu moja one of the famous suburb in Dar es Salaam City kujifunza ufundi Cherehani yaani kushona nguo. Katika jengo hilo kulikuwa na duka kwa mbele na mmiliki wa kituo hicho cha cherehani had another business ambayo mafundi nguo walihusika kwenye ya stages ya hiyo biashara yake hivyo kujipatia kipato kwani aliwalipa kwa huduma yao ya ushonaji. Aidha kwenye hiyo biashara nyingine alikuwepo huyu Ibrahim……. As my cousin, Ibrahim was form three droup out because of reasons ambazo sizifahamu vizuri lakini ambacho naweza kusema he was a gift guy yaani ana akili au uwezo mkubwa kiakili… najua utaniuliza why nasema hivyo lakini utaelewa mbele ya safari usikate tamaa.

Ibrahim Alikuwa mkimya sana na muda wote alifanya kazi zake kwa bidi na kama hana kazi alijisomea vitabu mbalimbali na hakupenda kuongea sana na watu. Rehema akatokea kumpenda sana Ibrahim lakini Ibrahim never thought or Imagined that… Wakati huo Ibrahim alikuwa around 19 na Rehema was around 16 or 17… Akaanza kumfanyia vituko mtoto wa watu kama utani ili kumweka karibu, Idea ambayo iligonga mwamba, akamnunuliwa zawadi something that fall into a deaf ear…. Akaanza kumkasirikia wakati mwingine bila sababu something that made the guy to realise buildup of situation around him….. Kijana wa watu akasurrender kwa kutii matakwa ya bibiye (kwa wakati huo hakuna uhusiano rasmi) yaani matakwa kama kumsindikiza stendi au hata kumsindikiza mpaka akishuka kituoni kwao kijana na watu anapanda gari kurudi kwao kwani walikuwa wanaenda Opposite sides…..

Siku moja My Cousin akamtaka aje atutembelee nyumbani one weekend lakini Ibrahim akakataa, My Cousin akamwambia kama huji nitakuja mimi kwani my Cousin aliwahi kufika nyumbani kwa bosi ambako ndipo alikuwa anakaa Ibrahim… Ibrahim akidhani mwenzake anatania kumbe anamaanisha hivyo bila kutarajia that Sunday Rehema akatinga nyumbani kwa bosi na kumkuta Ibrahim akiwa na madogo kwani wazee walikuwa wametoka kidogo… akakaa mpaka jioni baadaye akimlazimisha Ibrahim kumsindikiza mpaka stendi a bit far na Ibrahim akakubali…. To cut story, mwisho wa siku binti alifunguka kuwa she needed him in her life na kutokana na shinikizo Ibrahim akakubali lakini kwa condition kuwa they will touch one another mpaka watakapofanikiwa kuungana kisheria. Jambo moja liliwatofautisha ni kuwa Ibrahim was from a very conservative Muslim Family (I think kutokana na tabia nay ale niliyosimuliwa kuhusu yeye) na my Cousin was raised in Modern Evangelical Christian family willing to give up her faith in favour of the guy. Kutokana na malezi yao walitofautiana sana namna kila moja alivyompenda mwenzake……. Ibrahim akawa anakuja nyumbani baadhi ya weekend mara nyingi kwa shinikizo la My Cousin na alituletea zawadi za hapa na pale na kila mara My Cousin alimlazimisha wapige picha za pamoja something He accepted kwa shingo upande….

Siku zilienda mapenzi yakanawiri lakini muda wote nilihisi ni one sided love kwani mara nyingi My Cousin ndiye aliyeinitiate Ibrahim kuja na kweli alimpenda sana Ibrahim…. Nikaanza kumchukia kwa sababu nilihisi anamtesa My cousin kwa kumpenda kwake, kitu nisichokijua ni kuwa Ibrahim truly Loved my cousin lakini he needed her to change and align with his requirements something my cousin never real worked on… What I came to realise later ni kuwa Ibrahim pictured to marry a devoted Muslim lady and raise a conservative Muslim family….. Jamani naomba nikiri kitu ambacho najua wengi watashangaa.. wakati wanaanza mahusiano my Cousin alikuwa Sealed yaani bikira hakuwahi kuguswa na mwanaume yoyote na alikuwa tayari kufanya lolote kwa Ibrahim lakini pamoja na kuujua ukweli huu Ibrahim likataa kataa kukutana naye kimwili… kitu hiki kilinifanya nijiulize sana maswali mengi… nikaja kugundua kuwa the Guy believed deep in his heart kufanya mapenzi before marriage is a grave sin, lakini pia his conservative muslim family won’t accept my Cousin in her current state hivyo asingependa kumharibia her future ikiwa atabaki hivyo na cha ajabu Zaidi his family won’t accept a child born out of a wedlock… he would later admit to me no matter the situation he would marry my Cousin ikiwa tu atakidhi vigezo na sii vinginevyo na hatakaa amguse yaani kushiriki naye ngono….. najua utashangaa lakini huo ndiyo ukweli japo unashangaza…

Time passed, My Cousin alimwahidi Ibrahim she will be a Muslim lady and will adhere to all Muslim standards. Although she meant it, she never took even a single step towards that direction na Ibrahim aliendelea kumpa Muda bila kumlazimisha kufanya hivyo…. Hapa later I came to realise kulikuwa na tatizo…. My Cousin believed his man loved her the way she is ingawa alifahamu vigezo vya Ibrahim na alimwahidi kubadilika kufutana na hivyo vigezo na ibrahim alidhani mwenzake anafahamu alichotakiwa kufanya ndiyo maana hakumlazimisha. Lakini pia My cousin hakujua urefu wa safari mpaka kufikia ndoa ukilinganisha na umri wao ingawa mwenzake alifahamu fika the journey is a bit far ahead and is of roughs and terrain. Baada ya muda I think was Mach, 2006 my cousin akamaliza mafunzo na mahusiano yakaendelea vile na baadaye kidogo tukasikia the guy decided to drop work na kuamua kurudi shule yaani to sit for Form four exam as a private Candidate… According to my Cousin jamaa alikuwa analipwa more than 120,000.00 kwa mwezi hiyo 2005.

Baadhi ya matukio ni masilimulizi kutoka kwa my Cousin, mazungumzo yangu na jamaa na mengine ni uelewa wangu kutokana na uhalisia ulivyokuwa unatokea…. Wakati huo nilikuwa nasoma one of the best schools at that time in the city na nilienda na kurudishwa jioni na my Cousin was my faourite friend hivyo mengi niliyafahamu…

Baada ya jamaa kuanza shule mawasiliano yalibaki ya simu tu na sehemu walikokuwa wanakaa wakahama hivyo My Cousin hakupajua tena. Baadaye tukasikia from his friend jamaa yupo advance my akalazimisha nimsindikize one day mpaka ilipo shule apate kuonana na jamaa.. kutokana na kumpenda sana my cousin nilikubali ila nilimchukia sana jamaa kwa sababu niliamini anamtesa dada yangu.. kipindi kile nilikuwa nyumbani hivyo nikakubali tukaenda mpaka eneo husika kwani tuliambiwa sare anayovaa bila kuifahamu shule…
Mbona story ni kama ya movie ninayoijua??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom