Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,492
Libya left us with hundreds of lessons to learn
Hizi papara za kimapinduzi za silaha huacha makovu ambayo huwa ni magumu sana kutibu....huwa tunaangalia ushindi baada ya kumuondoa tunayetaka aondoke lakini inakuwa ngumu kwetu ku-predict kitakachofuata.
Nikifikiri kuwa pro-Gaddafi bado wapo active, plus madeni ya NATO plus ladha ya kushika mitutu kwa hao mambumbu wa NTC siioni Libya iliyosettle over the next few years.....
Hapa ndipo ninapoamini msemo wa MLK Jr "War is a poor chisel to carve out tomorrow"
Hizi papara za kimapinduzi za silaha huacha makovu ambayo huwa ni magumu sana kutibu....huwa tunaangalia ushindi baada ya kumuondoa tunayetaka aondoke lakini inakuwa ngumu kwetu ku-predict kitakachofuata.
Nikifikiri kuwa pro-Gaddafi bado wapo active, plus madeni ya NATO plus ladha ya kushika mitutu kwa hao mambumbu wa NTC siioni Libya iliyosettle over the next few years.....
Hapa ndipo ninapoamini msemo wa MLK Jr "War is a poor chisel to carve out tomorrow"