Wapendwa habarini za jumapili!?
Weekend huwa napenda sana kuangalia movies zikiwemo series mbali mbali!
Sasa kuna series inaitwa "the fixer" inaonyeshwa MNet movies!
Kwenye hii series kuna jamaa ame igiza kama Raisi wa marekani na katika moja ya vipande anaigiza akiwa na mkewe wa kiwa faragha!
Jamaa inaonyesha hayuko fiti sana kitandani na wakaanza kujibizana na mkewe! Kwenye hayo majibizano jamaa akamuambia mkewe "you know am the most powerful man on the world?"
Mkewe akamjib " ooh yeah?? Then show me!! Jamaa akainamisha kichwa chini!!!
Nikawaza!
Hata uwe na cheo gani hapa duniani, lkn kama dushe halipandi hasira utaonekana ---- tu!
Hata uwe mcheshi kuliko wengine, hata uwe born town kiasi gani, kama dushe halifanyi kazi kisawa sawa bado utaonekana ---- tu!!!
Vidume tuzidi kujiweka vizuri ili demu/mkeo tuwadhihirishie kwamba we the most powerful than the others!!!
Weekend huwa napenda sana kuangalia movies zikiwemo series mbali mbali!
Sasa kuna series inaitwa "the fixer" inaonyeshwa MNet movies!
Kwenye hii series kuna jamaa ame igiza kama Raisi wa marekani na katika moja ya vipande anaigiza akiwa na mkewe wa kiwa faragha!
Jamaa inaonyesha hayuko fiti sana kitandani na wakaanza kujibizana na mkewe! Kwenye hayo majibizano jamaa akamuambia mkewe "you know am the most powerful man on the world?"
Mkewe akamjib " ooh yeah?? Then show me!! Jamaa akainamisha kichwa chini!!!
Nikawaza!
Hata uwe na cheo gani hapa duniani, lkn kama dushe halipandi hasira utaonekana ---- tu!
Hata uwe mcheshi kuliko wengine, hata uwe born town kiasi gani, kama dushe halifanyi kazi kisawa sawa bado utaonekana ---- tu!!!
Vidume tuzidi kujiweka vizuri ili demu/mkeo tuwadhihirishie kwamba we the most powerful than the others!!!