The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Haaland kafanya timu ibadilike kabisa namna ya uchezaji..
yani tunakuwa pungufu wakati wa build up kwasabu yeye anakuwa ka stick sehem moja..

Naanza kuhisi kufeli kwa falsafa za pep kwa staili hii kwasababu hata pale barca alikuwa na false no.9 messi ambaye ni mzuri kwenye build up.

Tukiendelea kucheza possesive futbol tukiwa na haaland kama central oriented striker sion tukifika popote labda kama tutahama kwenda kwenye direct football ama haaland mwenyewe aanze kuwa involved kwenye build up phase.
Haaland sio mzuri kwenye ball control,so kwenye build up sio mzuri ,kupress vile vile sio mzuri .....

Yeye anajua kumalizia tu ....


Sasa inatakiwa mfumo wa kuendana nae ....
 
Mchezaji akiwa offside akaruka mpira Moja kwa Moja kahusika kwenye build up .....


Kuna game yetu na nyie nakumbuka frenandihno alipiga shuti ,aguero alikuwa offside lakin hakugusa aliuruka mpira ,na mpira ukaingia nyavuni ,lakin walismema ni offside.....

Kwanza kitendo cha rashford kuwa offside ilikuwa filimbi ipigwe mpira ustop
 

Attachments

  • Screenshot_20230114-181006_Facebook.jpg
    Screenshot_20230114-181006_Facebook.jpg
    40.3 KB · Views: 4
Mchezaji akiwa offside akaruka mpira Moja kwa Moja kahusika kwenye build up .....


Kuna game yetu na nyie nakumbuka frenandihno alipiga shuti ,aguero alikuwa offside lakin hakugusa aliuruka mpira ,na mpira ukaingia nyavuni ,lakin walismema ni offside.....

Kwanza kitendo cha rashford kuwa offside ilikuwa filimbi ipigwe mpira ustop
Lile halikupaswa kua goli ila ndio imeshapita ivyo
 
Haaland sio mzuri kwenye ball control,so kwenye build up sio mzuri ,kupress vile vile sio mzuri .....

Yeye anajua kumalizia tu ....


Sasa inatakiwa mfumo wa kuendana nae ....
Direct football ndio itamfaa..

sasa unadhani pep anaweza kuswitch kutoka possesive football kwenda direct futbol?

sioni pep akifanya hilo.
 
Nyie hata Ihefu inawapiga vizuri nje ndani
Hivi wewe saint ettiene unapata wapi ujeuri wa kuendelea kuzurura humu?

unang'ang'aniza tuwe levo moja wakati nyie ni matakataka na sisi ni wafalme wa soka la uingereza..
sisi ni wabaya sana.
 
Mchezaji akiwa offside akaruka mpira Moja kwa Moja kahusika kwenye build up .....


Kuna game yetu na nyie nakumbuka frenandihno alipiga shuti ,aguero alikuwa offside lakin hakugusa aliuruka mpira ,na mpira ukaingia nyavuni ,lakin walismema ni offside.....

Kwanza kitendo cha rashford kuwa offside ilikuwa filimbi ipigwe mpira ustop
Ok sawa ni offside tuambie ni kwanini mmepiga shot one target 1 tu mpaka mpira unaisha?
 
Unaambiwa Rashford hakugusa mpira wala kugusana na mchezaji yoyote wa City . R10 akamuachia Bruno Auguse mpira. Angalia vizuri replay,utamuona R10 anauruka mpira na kumuachia Bruno akafunga goli

Hawa wenzetu wanasoma darasani sio kama sisi wachezaji wetu hawaelewi sheria n kanuni. Nilimuona Bruno anamlalamikia linsemen kana kwamba anajua kilichotokea.

Hakuna offside hapo
Et unaambiwa
 
Haaland sio mzuri kwenye ball control,so kwenye build up sio mzuri ,kupress vile vile sio mzuri .....

Yeye anajua kumalizia tu ....


Sasa inatakiwa mfumo wa kuendana nae ....
Asa nan amfanyie hyo kazi , yeye kutafuniwa tuu hao ndo wale wale akina Diego Costa , Lukaku hata kutuliza mpira hawajui , wanategemea midfielder na wingers wahenyeke wao waotee Kwa kumalizia , ujinga huo
 
Kiukweli kwa mpira tunaocheza, Harry kane ndio alikuwa chaguo sahihi kabisa.

Ukiachana na uwezo wake wa kufunga, anatengeneza nafasi za kufunga pia na ana uwezo mzuri wa kuplay part kwenye build up.
mtu kama huyu angetufaa pale mbele.

Haaland yeye ni wale old fashioned strikers ambao wanasubiri final passes waweke kambani na si zaidi ya hapo.

uwepo wa mtu kama huyo kwenye timu inayocheza pasi nyingi kunapunguza ile fluidity ya uchezaji wa timu.
ndicho kinachotokea city
sasahivi.

Toka msimu huu uanze, ile signature style of play ya man city ya misimu yote haipo tena.

Timu inacheza kwa kutegemea kumlisha haaland huku yeye mwenyewe akiwa yupo tu pale kati anasubiri kufanya tap in.

Timu ikibanwa, haaland anakuwa useless.

Kiukweli kama tukiendelea kustick kwenye huu mpira wa pasi nyingi basi alvarez ndio atatufaa zaidi.
Ana uwezo wa kutengeneza nafasi, ana high pressing ability na ana uwezo wa kufunga.

Ama tuswitch kwenda kwenye direct football ambao ndio style inayofaa zaidi kwa mastraika aina ya haaland.
 
Kiukweli kwa mpira tunaocheza, Harry kane ndio alikuwa chaguo sahihi kabisa.

Ukiachana na uwezo wake wa kufunga, anatengeneza nafasi za kufunga pia na ana uwezo mzuri wa kuplay part kwenye build up.
mtu kama huyu angetufaa pale mbele.

Haaland yeye ni wale old fashioned strikers ambao wanasubiri final passes waweke kambani na si zaidi ya hapo.

uwepo wa mtu kama huyo kwenye timu inayocheza pasi nyingi kunapunguza ile fluidity ya uchezaji wa timu.
ndicho kinachotokea city
sasahivi.

Toka msimu huu uanze, ile signature style of play ya man city ya misimu yote haipo tena.

Timu inacheza kwa kutegemea kumlisha haaland huku yeye mwenyewe akiwa yupo tu pale kati anasubiri kufanya tap in.

Timu ikibanwa, haaland anakuwa useless.

Kiukweli kama tukiendelea kustick kwenye huu mpira wa pasi nyingi basi alvarez ndio atatufaa zaidi.
Ana uwezo wa kutengeneza nafasi, ana high pressing ability na ana uwezo wa kufunga.

Ama tuswitch kwenda kwenye direct football ambao ndio style inayofaa zaidi kwa mastraika aina ya haaland.
Leo halland old fashion Jamanii si kafungaa kila mechii huyooo toka msimu unaanza.. Man city bhana kuweni wapolee ilaa tu kuhusu ubingwaa sahaunii maana inaweza kuwatesa sanaa ila mnatusindikiza Man u
 
Leo halland old fashion Jamanii si kafungaa kila mechii huyooo toka msimu unaanza.. Man city bhana kuweni wapolee ilaa tu kuhusu ubingwaa sahaunii maana inaweza kuwatesa sanaa ila mnatusindikiza Man u
Haaland ni clinical finisher hilo halina ubishi.

shida inakuja kwenye uchezaji wetu ambao unahitaji kila mchezaji kuhusika kwenye kujenga mashambulizi.

Haaland yeye anakuwa tu pale kati ambayo ndio sifa ya wale namba 9 wa kiasili. Kusema hivyo sijamaanisha kawa butu.
shida ni kwamba anakuwa haendani na falsafa za pep.

Ila akipata chance, imo.
ndio faida yake pekee.
 
Back
Top Bottom