Poleni sanaHuu msimu tunatoka 0 trophies ...
For real,nshaona yaniHuu msimu tunatoka 0 trophies ...
Haujakata ila timu pinzani ikifanya homework vizuri huyu haaland hana maajabu yoyote, wa kawaida sana, mno, atakua anahangaika tu, ila ikikutana na timu zinazojiendea tu basi ndio huyu hua anafunga magoli mengi sana sababu ya uzembe wa timu pinzani..Halaand moto umekata sasa
Liva watakufurahisha hapo baadaeMama Cita kama kawaida yenu.
Mnaenda kuwa makubwa jinga ya wikiendi.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wewe timu ganiWewe arsenal?