yes YesChelsea anafungwa 2 au zaidi leo
Chelsea anafungwa 2 au zaidi leo
Aaah !kumbe wewe ni shabiki wa Arsenal,kunywa majimengi yanapunguza stress.Hapo chelsea fans wanaona ndio washamaliza kazi na kujipa hope They will win against Man City .. ..kumfunga madrid ndio mjipe hope kiasi hicho! Mimi si madrid fan, lakini mtakachokutananacho mtasimulia.. ..
Man city haina uwezo wa kutufunga hii ChelseaHuyu Madrid tarehe 26/Feb/2019 Mancity alimpiga first leg 2 kwa 1 pale kwake na second leg alikaa tena 2: 1, sasa kumfunga huyu msidhani mtaweza kutufunga, kwanza saiz yetu alikuwa ni yeye wala sio nyie.
Huyu Madrid tarehe 26/Feb/2019 Mancity alimpiga first leg 2 kwa 1 pale kwake na second leg alikaa tena 2: 1, sasa kumfunga huyu msidhani mtaweza kutufunga, kwanza saiz yetu alikuwa ni yeye wala sio nyie.
Sasa kama saizi yenu Chelsea kamuondosha na hata nyie basi si saizi ya ChelseaHuyu Madrid tarehe 26/Feb/2019 Mancity alimpiga first leg 2 kwa 1 pale kwake na second leg alikaa tena 2: 1, sasa kumfunga huyu msidhani mtaweza kutufunga, kwanza saiz yetu alikuwa ni yeye wala sio nyie.
Chelseafc wenyewe walikuwa wanaomba sana iliwakutane final na mancity ili wamalize kazi mapemaaa!Huyu Madrid tarehe 26/Feb/2019 Mancity alimpiga first leg 2 kwa 1 pale kwake na second leg alikaa tena 2: 1, sasa kumfunga huyu msidhani mtaweza kutufunga, kwanza saiz yetu alikuwa ni yeye wala sio nyie.
Aaah !kumbe wewe ni shabiki wa Arsenal,kunywa majimengi yanapunguza stress.
Pombe kali wwMan city haina uwezo wa kutufunga hii Chelsea