AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Man U anaenda kupigwa 2-0 tena kwa clean shit
Kweli mkuu. Mpira hautabiriki. Pale huwezi laumu mchezaji wala kocha wa city maana walicheza vizuri tena kwa kiwango. Ila ndo hivyo tena mpira unadunda.
Big up chelsea. Ila Man United watashangaa sana kupata mashabiki wa Mancity siku wanacheza na liverpool. Msituangushe Man U. Tunaomba mturudishe hapo juu.