SMART PASSENGER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 967
- 1,015
Kilio chenu kimefika leo
Hahah!! Unauhakika jirani?
Wee Sheikh Yahaya Chelsea ana nini...?Timu inaimarika haiporomoki boss. Niambie mechi alizocheza wapi amefungwa au kaponea chupuchupu kufungwa. Jana ndio mara ya kwanza hali kuwa mbaya dakika za mwisho. Mpaka kipa anapewa kadi kwa kuchekewesha mpira. Ila jumamisi watakuwa full kikosi. Chelsea analala hata wewe unajua.
Amna anaepigwa apa mbona wanov tu wolves awez si tushindwe
Kasi yenu inanitisha Sana, Leo nilikua nawaombea unachotuombea Sasa hivi lakini mmepata ushindi mzuri Sana, naimani ata sisi ndio itakua hivyo hivyo
KwenuTz hakuna shabiki wa Man City
Mtuambie hili genge lenu lilitoka wap?
Kwahiyo TV kuna shabiki wa nn? Na hao mashabiki wanoshabikia hizo timu zako wametoka wapi. Embu tuache kwanza tumefungwa leo. Bora tungefungwa na Man U, Arsenal au Liverpool. Hawa jamaa wana kelele sana.Tz hakuna shabiki wa Man City
Mtuambie hili genge lenu lilitoka wap?
Man u nae anaweka ngoma inogile. Man U anawanyanganya point tatuPoleni wakuu, unbeaten imebaki moja tu kwenye ligi na ndo inaongoza ligi.
Mtatukuta game ya Man Utd most probably.
Man u nae anaweka ngoma inogile. Man U anawanyanganya point tatu
Hahahaba fans wengi wa man city walikuwa Liverpool ..kipind kile msimu wa 2010/2011 mnaboronga ndo man city alikuwa anaibuka ibuka ..kwa iyo waka jimuvuzisha na kuja city..Tz hakuna shabiki wa Man City
Mtuambie hili genge lenu lilitoka wap?
Hongereni. Ila punguzeni kelele basi.Wee Sheikh Yahaya Chelsea ana nini...?
Hawa ni wahamiaji haramu kutoka Arsenal hawaTz hakuna shabiki wa Man City
Mtuambie hili genge lenu lilitoka wap?