The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Picha ya Kutisha
IMG-20181208-WA0057.jpeg
 
Hahahaba fans wengi wa man city walikuwa Liverpool ..kipind kile msimu wa 2010/2011 mnaboronga ndo man city alikuwa anaibuka ibuka ..kwa iyo waka jimuvuzisha na kuja city..

Umenichekesha mkuu, sema liverpool haijawahi kua na mashabiki wasaliti, hawa itakua wametoka arsenal
 
Hahahahaha hatimae bikra imetoka, Hongera sana Chelsea the Blues, hakika ninyi ni wanaume wa shoka.

Advantage kwetu Liverpool, Let's go Reds.
 
¶¶¶¶Jirani jirani zangu nyie mmekosea wapi leo kila mnapopata mpira jirani mpira unawateleza sasa niwaeleweje jirani ee sasa mtafanye jirani ee,mimi na nyie ni kitu kimoja haina maana ooh haina maana kuchekana¶¶¶¶¶
😂😂😂😂😂😂 Daah Aya bhana jirani
 
Tulicheza vizuri sana. Tulipata chances nyingi na tukazipiteza. Jamaa wapo vizuri sana hapo nyuma. Hatukuweza kufurukuta kwenye 18 yao. Nawapongeza sana. Kufungwa kwetu leo hakukuwa kwa bahati mbaya ila tulizidiwa kwenye kumalizia. Tulupata kona 10 maana yake ni kuwa tulijaribu sana ila walitubana. Jamaa ni warefu na mipira ya juu wanaijua.
Sterling kumuweka Kati alimnyima Uhuru kabisa ila alivyotoka pembeni aliuwasha Sana pia wakikutana huyu Sterling na Sane wanacheza kibishoo Sana
 
Naimani atanisaidia maana mkikutana na man hua wanakaza Sana

Mara nyingi game za Anfield anakuja kutafuta droo, msimu ulioisha pale OT alituwahi mbili za fasta kupitia kwa Rashford, mwaka huu tuna kikosi cha kudili na wapaki basi.

Akipaki na sisi tunapaki, halafu tunakuwa tunamtafuta kwa counter, nina imani na defense yetu mwaka huu.

All in all, tusubiri tuone itakuwaje.
 
Mara nyingi game za Anfield anakuja kutafuta droo, msimu ulioisha pale OT alituwahi mbili za fasta kupitia kwa Rashford, mwaka huu tuna kikosi cha kudili na wapaki basi.

Akipaki na sisi tunapaki, halafu tunakuwa tunamtafuta kwa counter, nina imani na defense yetu mwaka huu.

All in all, tusubiri tuone itakuwaje.
Na ndio ninachokiona safar hii anaweza kula hata 4-0

Manaa mou anatumiaga udhaifu wa bek, sasa liver kama bek anayo,

Akipaki bas atakula nying, coz bek yake mbovu,

Na anfield mou hajawahi kwenda kucheza mpira ,zaid anaendaga kutafuta sare
 
Na ndio ninachokiona safar hii anaweza kula hata 4-0

Manaa mou anatumiaga udhaifu wa bek, sasa liver kama bek anayo,

Akipaki bas atakula nying, coz bek yake mbovu,

Na anfield mou hajawahi kwenda kucheza mpira ,zaid anaendaga kutafuta sare

Man Utd siyo timu ya ku-underrate kiasi cha kusema atapigwa 4 na Liverpool mkuu.

Mourinho hata kama timu ni mbovu lakini anaweza kushangaza watu, ndo maana hata Chelsea walinusurika.
 
Man Utd siyo timu ya ku-underrate kiasi cha kusema atapigwa 4 na Liverpool mkuu.

Mourinho hata kama timu ni mbovu lakini anaweza kushangaza watu, ndo maana hata Chelsea walinusurika.
Kwa beki hiyo na kukosa morar kwann asipigwe 4?

Mbona alikula 3-0 kwa tot hapo OT?

UKIWA MBOVU utaadhibiwa tu, kwa liver hii, mou ajipange sana, utaniambia
 
Hawa ni wahamiaji haramu kutoka Arsenal hawa
Mkuu tena mara hii toka Washabiki halali wa Arsenal hadi Waharamiaji haramu?

Ama kweli umewachana makavu, ndiyomaana kale kamsemo ketu husema kuwa "hakuna msiba unaokosa wahudhuriaji duniani".

Ni mwenyewe nilitaka kushangaa kuwa Man City hii hii iliyoibuka 2011/2012 na yenyewe imejizolea mashabiki hivi kwa muda mfupi tu hivi?

Ni miujiza ya kiwango cha juu kabisa.
 
Haha hahaaa... Mwiba mchungu huo kwa Man City, kiukweli Washabiki wake watakuwa wameumizwa sana rohoni maana timu haina strikers, beki wazuri kama Alonso sababu ya kuchoka kwa kucheza sana muda mrefu bila kupumzika na Kocha ambaye hajawahi kumfunga Pep tangu akiwa Napol FC.

Poleni sana Man City, hii ndiyo dunia, na mpira huwa hautabiriki kwa kukariri matokeo ya jana, leo ama kesho kama kinyonga vile anavyobadilika badilika kila sekunde.
 
Haha hahaaa... Mwiba mchungu huo kwa Man City, kiukweli Washabiki wake watakuwa wameumizwa sana rohoni maana timu haina strikers, beki wazuri kama Alonso sababu ya kuchoka kwa kucheza sana muda mrefu bila kupumzika na Kocha ambaye hajawahi kumfunga Pep tangu akiwa Napol FC.

Poleni sana Man City, hii ndiyo dunia, na mpira huwa hautabiriki kwa kukariri matokeo ya jana, leo ama kesho kama kinyonga vile anavyobadilika badilika kila sekunde.
Kweli mkuu. Mpira hautabiriki. Pale huwezi laumu mchezaji wala kocha wa city maana walicheza vizuri tena kwa kiwango. Ila ndo hivyo tena mpira unadunda.
Big up chelsea. Ila Man United watashangaa sana kupata mashabiki wa Mancity siku wanacheza na liverpool. Msituangushe Man U. Tunaomba mturudishe hapo juu.
 
Back
Top Bottom