Bernado Silva hawezi kuindoka na pep kashatangaza kuwa is there to stay ....
Wachezaji wanaoweza kuondoka msimu huu ....
Jesus ( huyu Deal limeshakamilika kwenda arsenal ....
Sterling ( ku a uwezekano wa kumuacha aende au wampe mkataba mpya Bado Kuna nivute nikuvute )
Zincheko ( Kuna tetesi za yeye kutaka kuuzwa japo Nina uhakika hawezi uzwa ni bonge la LB ..
Bernado silva Bado yupo Sana na pep kasha confirm ....
Vita iliyopo ni rodri Vs kalvin Phillips
Aisee kwa Sasa rodri ndio yupo moto na ndio anamiliki pale kati ,ilionekana ni mbadala wa frenandihno...
Frenandihno kaondoka ,pep kamleta kalvin Phillips ...
Kati ya Phillips na rodri nan atamsubili mwenzake ,nan atapewa dakika nyingi ,kuhusu rotation pep haiwezi ,mchezaji anayeperfom to the maximum ndio anaenda nae ....
Kalvin Phillips uingereza unambeba ,huenda akawahi kuaminiwa na pep ,japo city mambo ya uingereza hawayapi nafasi Sana , example grealish ...
Wacha tuone ....
View attachment 2271369