Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Aiseee


hivi kweli semi final uefa ndio ya kulialiaaa




Moment kama hizi kwenye football ni za kawaida vinginevyo labda ukashabikie mieleka



Aiseee


hivi kweli semi final uefa ndio ya kulialiaaa







Huna lolote achana na Mimi mzeeUsitulutee mahubiri jambo la umuhimu ni kwamba jana mmegongwa 3 basi.
MADRID NDIO DAWA YA MAKABWILI KAMA WEWE.







Sisi hatuamini katika huo ujinga mzeePep Guardiola anatafunwa na laana,jina lake bado lipo kwny kifuu cha nazi kijijini Ivory Coast huko.View attachment 2212016View attachment 2212017

yaan the boss pep guardiola awapigie magoti ,unaumwa nini





Kwa hii game tulishashinda, n kipara ndo katuangusha bas.Wewe sindio ulikuwa unasema unaenda kuchukua UCL na EPL?
Eeeeh nipo kwa team yangu, na huu ndo uzi wake. Kwan vipi?Endelea kushabikia timu yako ya UNDERDOG tu UEFA ina wenyewe.
Kheeeeeh we nae sasa suprise gan tena? KhaaahKwishnei........Kwisha habari yako na bado EPL subiri suprise nakuhakikishia.






Kiukweli hatuna bahati na UEFA, ila iko wakati wetu tutafurahi na sie.Mashabiki kama Nyie Mimi nawaita vilaza tu ,pep akiwin game 12 mfululizo utasikia ooh pep ni genius ,bonge la kocha ,Jana tu kapoteza semi final Tena game ambayo alikuwa kashamaliza ni vile tu hatukuwa na bahati ,ila unakuta kilaza kama huyo huyo et pep kafeli ,sijui atupishe .,,mothef**CK ..!
Mimi sina cha kumalaumu pep ,kamtoa kDB kamuweka gundogun na game ikabadika tukascore ..!,,kamtoa Jesus ,Mahrez kumweka grealish na frenandihno kudefence na kushambulia ...Kuna mikimbio ya jack kidogo ascore ....!
Walker kaumia mapema na kaingia zincheko na kafanikiwa plan ,...kiufupi tulimzidi kila kitu last minute defender wetu kujisahau tu et jitu linakuja humu pep kafeli ,sijui....!
Hatuna sijui europian cup ,life goes on ,hatuna sijui uefa but we go ,this is over and we move on ...!
This is our city
Endelea tu kupita majukwaa ya wanaume ukikata Viuno




tumetolewa sie, kupagawa wee inahusu? KhaaaahMbna unatesekaa sana wee kiumbe lol.Endelea kufurahi mpaka siku utakayopata akili
msimu uliopita man city aliliwa na chelsea akapumzike tu kenge yuleKabisa mkuu uefa ina wenyewe kama kina Chelsea






































Acha kujipa moyo weweimagine tumetoka nusu final dunia nzima inatuzungumzia
Big club in the world
This is Manchester city baby
Come on city
![]()
Uyu Jamaa kukosekana first leg,Jr huwa hataki mchezo, yule dogo anaspeed kweli na pumzi ya kutosha
Duniani inawashangaa mlivopoteza kipumbavu Sana, mmezidiwa Hadi na nottingam forest na Aston Vilaimagine tumetoka nusu final dunia nzima inatuzungumzia
Big club in the world
This is Manchester city baby
Come on city
![]()

















Kocha la dunia pep guardiola



Wee rafiki hapa unafanya nn? Tuache na team yetu.Duniani inawashangaa mlivopoteza kipumbavu Sana, mmezidiwa Hadi na nottingam forest na Aston Vila![]()