Epl tunabeba na Champion League wala usiwe na shaka.
Mtabebaje...??Epl tunabeba na Champion League wala usiwe na shaka.
Mkuu hili ni genge la mashabiki wa Manchester United na Arsenal wamekimbilia humu hakuna real fans wa City humu.citizens mmepoaaa
Mkuu hili ni genge la mashabiki wa Manchester United na Arsenal wamekimbilia humu hakuna real fans wa City humu.
Wewe ni real fan wa tim gani?Mkuu hili ni genge la mashabiki wa Manchester United na Arsenal wamekimbilia humu hakuna real fans wa City humu.
Real fan ni yule ambaye anashinda humu jukwaani kujadili..!?Mkuu hili ni genge la mashabiki wa Manchester United na Arsenal wamekimbilia humu hakuna real fans wa City humu.
Hahahahahahahahah POVUReal fan ni yule ambaye anashinda humu jukwaani kujadili..!?
Wewe endelea kupoteza muda humu, wenzako sasa hivi tupo ndani ya 5 stars hotel hapa Merseyside County tunasubiri kesho tuingie Anfield tukacheki game wakati huo wewe punguani utakuwa kibanda umiza kipigana vikumbo na wazembe wenzio ili upate upenyo wa kuona chochote kitu kupitia TV ya inchi 21..!
ujue shabiki hasaini mkataba kuwa na umri mkubwa sio kigezo cha ushabiki jaribu kufungua akili yako.Povuu dah washabik wa Citizen bongo tusidanganyane lbda kama ni form2 au primary
wewe takataka ya team gani¿Mashabiki walio na funza kichwani hapa Tanzania ni pamoja na mashabiki wa Manchester City. Huwaga mna akili mbovu sana hasa usaliti umewajaa na tamaa..... Hamna cha maana nyie ni genge la timu zingine zingine uko zilizokosa matumaini ila mko hapa kujimwayamwaya kwamba na nyie ni mashabiki kumbe maandazi Na leo tunawanyoa bila kiwembe pale Anfield....#Kokorochi Mende
Acha ushamba wewe kwani real fans wanapatikana wapi na waliupataje huo ureal fans?Mkuu hili ni genge la mashabiki wa Manchester United na Arsenal wamekimbilia humu hakuna real fans wa City humu.
Acha kukariri weweMashabiki walio na funza kichwani hapa Tanzania ni pamoja na mashabiki wa Manchester City. Huwaga mna akili mbovu sana hasa usaliti umewajaa na tamaa..... Hamna cha maana nyie ni genge la timu zingine zingine uko zilizokosa matumaini ila mko hapa kujimwayamwaya kwamba na nyie ni mashabiki kumbe maandazi Na leo tunawanyoa bila kiwembe pale Anfield....#Kokorochi Mende