Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
HahahaKuna mtu alinifundisha kwamba team ikishinda tunakuwa tumeshinda wote....ikifungwa wamefungwa wao sio mimi
Tukishinda nashangilia,wakifungwa watajua wenyewe
Najaribu kuishi na hili
So matokeo yoyote niko okay nayo kwa sasa....sina hata dalili ya hali ngumu




