Nomadiq
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 7,944
- 20,983
Naimagine tu hii white itumike pale kwa mkapa, kwa lile tope itatambulisha new black man city kit.
😀
Naimagine tu hii white itumike pale kwa mkapa, kwa lile tope itatambulisha new black man city kit.
Badala ya tope la kijani inapata tope jeusi 😂Naimagine tu hii white itumike pale kwa mkapa, kwa lile tope itatambulisha new black man city kit.
😀
Tupeni Doku aje apambane na Martinelli. Huyu jamaa ni mchezaji aisee.Grealish kwa ule mshahara wake ni ngumu sana timu kumfuata labda kutolewa kwa mkopo.
Most likely kuondoka ni Gundogan, Stones, Ake, McAtee labda na Nunes, Doku bado tunaye sana tu.
Ukicheza Italia huzeeki mkuu.
Doku bonge la winga, yule akiboresha tu output yake golini (G/A) aisee ni world class.Tupeni Doku aje apambane na Martinelli. Huyu jamaa ni mchezaji aisee.
Ila pep alisem anataka wachezaji wapunguzwe, maajabu ni kuwa kila siku wanakuja wapya na tetesi za kusajili kama zote.
Wapo watauzwa wengine watatolewa kwa mkopo, dirisha ndio kwanza linakuja kufunguliwa tarehe 16.Ila pep alisem anataka wachezaji wapunguzwe, maajabu ni kuwa kila siku wanakuja wapya na tetesi za kusajili kama zote.