The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Wishing a happy birthday to Jeremy Doku

IMG-20250527-WA0000.jpg
 
Kwenye parade ya Liverpool limetokea hili tukio, Mungu awajaalie wote walioathirika.

 
KDB leo atakuwa Italy ku finalize dili na Napoli pamoja na kufanya vipimo.
 
Napoli msimu ujao wana KDB na McTominay kwenye midfield, it's a shame wamemuuza Osimeh na Kvaratsheklia.
 
Hii habari ya pep kutaka kikosi kidogo si nzuri, hiyo inapelekea wachezaji kucheza dakika 4000+ kila msimu.

Mchezaji kucheza kwa dakika zote hizo kwa intensity ya juu lazima injuries zipatikane.
Case study ni Liverpool, baada ya kucheza kwa kiwango cha juu kwa misimu 3 mfululizo, msimu wa 2020/21 wachezaji muhimu wakapata injuries timu ika collapse.

Sasa unless timu iwe inasajili vizuri kila msimu, kikosi kidogo ni kutafuta disaster.
 
Hii habari ya pep kutaka kikosi kidogo si nzuri, hiyo inapelekea wachezaji kucheza dakika 4000+ kila msimu.

Mchezaji kucheza kwa dakika zote hizo kwa intensity ya juu lazima injuries zipatikane.
Case study ni Liverpool, baada ya kucheza kwa kiwango cha juu kwa misimu 3 mfululizo, msimu wa 2020/21 wachezaji muhimu wakapata injuries timu ika collapse.

Sasa unless timu iwe inasajili vizuri kila msimu, kikosi kidogo ni kutafuta disaster.
Hata wao wanaelewa hili.

Usajili lazima ufanyike ku refesh kikosi.
 
Kuna haka nimeona mapato ambayo timu zitapata UCL mwanzoni mwa msimu ujao.

IMG-20250527-WA0011.jpg
 
Premier league inazidi kuwa dominated na counter attacking football.

IMG-20250527-WA0005.jpg
 
kapteni wetu wa msimu ujao ni kati ya Dias na Rodri.

Watu wengi wanaona apewe Rodri ila kuna uwezekano akapewa Dias.
 
Back
Top Bottom