The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

IMG-20250523-WA0014.jpg
 
Siku kama hii, mwaka 2021, Sergio Aguero alicheza mechi yake ya mwisho akiwa na Man city kwa kufunga magoli mawili pamoja na kuvaa medali ya ubingwa wa EPL kwa mara ya 5 na ya mwisho.

IMG-20250523-WA0019.jpg
 
Toka tumejitoa dili la wirtz tumepoa sana sokoni, kuna sehemu ambazo tunahitaji kuboresha kama right back lakini sioni progress yoyote kwenye huo upande.

Mpaka kuanza world cup inatakiwa tuwe tumeshapata beki wa kulia na kiungo mshambuliaji ila kwa hali hii naona huenda tukacheza group stage na kikosi hikihiki.
 
Toka tumejitoa dili la wirtz tumepoa sana sokoni, kuna sehemu ambazo tunahitaji kuboresha kama right back lakini sioni progress yoyote kwenye huo upande.

Mpaka kuanza world cup inatakiwa tuwe tumeshapata beki wa kulia na kiungo mshambuliaji ila kwa hali hii naona huenda tukacheza group stage na kikosi hikihiki.
Tunafukuza mwizi kimyakimya.
Namuona Reijnders atatua kabla ya WC, hizo nafasi zingine sina uhakika hasa kwenye attacking midfielder.
 
According to pep, Rodri isn't going to start against Fulham because he is not fit enough.
 
Kyle Walker hatokuwepo kwenye kikosi kitakachosafiri kwenda USA kwa ajili ya CWC.
 
Tunafukuza mwizi kimyakimya.
Namuona Reijnders atatua kabla ya WC, hizo nafasi zingine sina uhakika hasa kwenye attacking midfielder.
Bila CAM huko tutaenda kuzurura tu sababu hata foden naye anasumbuliwa na ankle sidhani kama anaweza kufikia peak yake kiasi cha kumtegemea, gundogan nae sio mbunifu kivile.
 
Kwenye misimu 11 iliyopita, tumeshinda game 9 kati ya 11 za mwisho wa ligi.
 
Kwa sasa kipaumbele kwenye nafasi ya right back ni Tino Livramento.
 
City imeanza majadiliano rasmi na AC Milan kwa ajili ya Tijjani Reijnders.
 
Yupo vizuri ukizingatia ni zao la academy ya la masia.

Kuna muda tulikuwa tunamfuatilia ila now naona kimya, ni kama nguvu zinaamishiwa kwa Gibbs-white.
Toka usajili wa grealish sina imani na wachezaji wa kiingereza.
Huyo gibbs-white naona tunaenda kupigwa mchana kweupe, chukua olmo au xavi simons.
 
Ebanaeee kule Liverpool wanaenda kumsajili wirtz, yani wale mabahiri wa FSG wanaenda kutoa hela ambayo matajiri wa city waliona ni kubwa? kweli zama zinabadilika.
 
Ebanaeee kule Liverpool wanaenda kumsajili wirtz, yani wale mabahiri wa FSG wanaenda kutoa hela ambayo matajiri wa city waliona ni kubwa? kweli zama zinabadilika.
Mimi bado siamini kama liverpool atafanikisha hilo dili.

By the way City ya misimu kadhaa nyuma ilikua inambeba wirtz mapema sana, kwa sasa nafikiri tunaathiriwa na ile kesi.

Pia mwezi January tu hapo tumetumia £250m kusajili, mpaka hapo budget ya dirisha la kiangazi inapungua na bado kuna nafasi nyingi za kujaza kwenye kikosi hivyo kutumia £250m now kwa mchezaji mmoja ni unthinkable.
 
Back
Top Bottom