Mimi naona tulipigwa hile pesa tuliyomnunua nico jamaa nimeangalia uchezaji wake sioni value for money.Mashabiki washaanza kuwa excited na patnership ya Rodri na Nico
Unam judge Nico kwa perfomance ya kucheza nafasi ambayo sio yake.Mimi naona tulipigwa hile pesa tuliyomnunua nico jamaa nimeangalia uchezaji wake sioni value for money.
Na sasahivi tunamtaka yule jamaa wa ac milan sioni huyu nico akiwa anaanza na rodri manake bado kuna kina gundogan,kovacic.