The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Sasa hii Spurs na ubovu wote huu unaambiwa inaenda kucheza ligi moja na Liverpool, Barcelona, PSG, Inter, Bayern.

Ndio maana Wenger alisema huu mfumo wa bingwa wa Europa kwenda UEFA ni ujinga.
 
Sasa hii Spurs na ubovu wote huu unaambiwa inaenda kucheza ligi moja na Liverpool, Barcelona, PSG, Inter, Bayern.

Ndio maana Wenger alisema huu mfumo wa bingwa wa Europa kwenda UEFA ni ujinga.
Ngoja aende mbona kina shaktar donestk wapo na ubovu wao.
 
Hii ni daylight robbery.

Timu ina sacrifice position ya ligi kwa ajili ya kutumia mgongo wa Europa.

Timu kama City, Newcastle, Villa, Kenge zinapambana mpaka tone la mwisho kwaajili ya kumaliza nafasi za juu halafu kuna kenge from the bottom end inawatangulia wooote kwenda UCL.
 
A man of his word eh?
IMG_0719.jpeg
 
Hawa jamaa ndio wanashinda taji lao la kwanza baada ya miaka 17
 
Naona huu ulikua msimu wa kutoa ukame.

Newcastle
Crystal palace
Tottenham
 
Key stats for spurs.

3 shots
27% possession
115 completed passes
1 trophy

Mourinho-esque style.

Hawa ndio wanaenda kucheza ligi ya mabingwa ulaya.
 
Back
Top Bottom