Wanataka tu kuingia UCL kiulaini.Man u na spurs wao hawana muda na matokeo ya ligi kabisa 😂😂
Na mmoja wao akishinda Europa atajisifia eti amefanya vizuri kuliko Arsenal.Hizi timu bwana 😂View attachment 3331142
Hapo inategemea neno "vizuri" unali define vipi.Na mmoja wao akishinda Europa atajisifia eti amefanya vizuri kuliko Arsenal.
Matusi hayakwepeki kwetu.