Kwa mujibu wa ripoti ya Sacha Tovalieri, Leverkusen wanamuuza Wirtz kwa €100m kwa vilabu vya nje na €150m kwa vilabu vya ndani (specifically bayern).
Shida ni kwamba Bayern wametoa ofa ya mshahara mkubwa zaidi ambayo itakuwa ngumu kwa city kui match ( pale city mchezaji hatakiwi kumzidi mshahara Guardiola).
Pia Bayern wanatumia german media kuishinikiza leverkusen kumuuza wirtz kwenda bayern kwa kutumia stori ya wirtz kutangaza kuwa anataka kwenda Bayern.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.