Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,170
- 21,311
Man U huwa anamuotea Sana Liverpool
Na muotea au namuweza wew OT unapachukuliajeMan U huwa anamuotea Sana Liverpool
Hawa Mamacita wanaenda kutolewa na The Blauzi kwenye Semi final.Yani nyie MAMMBWA tumewapa ubingwa wa bure wa FA...mbwa nynyi.
Chelsea huyu amefuzu Kwa kubabatiza ,red card ya leister city imewaokoa ....Hawa Mamacita wanaenda kutolewa na The Blauzi kwenye Semi final.
Fainali itakua ni Chelsea vs Man Utd.
Kunywa maji mengi ya baridi MzeeYani nyie MAMMBWA tumewapa ubingwa wa bure wa FA...mbwa nynyi.
Sasa Mzee baba kesho utafanya Nin kwenye uwanjan WA nyumbani ,sikumbuki Mara ya mwisho tumepoteza Lin EtihadBado kidoooogo tu. Kesho siyo mbali
acha wababe wa ligi tuje tujichukulie zetu points 3 muhimu 😂Sasa Mzee baba kesho utafanya Nin kwenye uwanjan WA nyumbani ,sikumbuki Mara ya mwisho tumepoteza Lin Etihad
Kuchukua point tatu ,itakugharimu Sanaacha wababe wa ligi tuje tujichukulie zetu points 3 muhimu
Arsenal ni kikundi cha wavuta ugolo leo lazima wakandwe kenge waleBernado Silva alicheza LB na tukapiga hizo arsenal Goli 3View attachment 2949769