mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,546
- 1,778
Man City 1🤣😂😂🤣 Kimeisha umana tiyari , City 💪Tukifungwa na Hawa watoto WA Liverpool basi hatutakuja kuifunga Liverpool Tena![]()
Man City 1🤣😂😂🤣 Kimeisha umana tiyari , City 💪Tukifungwa na Hawa watoto WA Liverpool basi hatutakuja kuifunga Liverpool Tena![]()
Haaland hayupo kabisa.Hawa man city ni wabovu sana kwa hii game dhidi ya Liverpool.
Ni kama wameshakubali lolote litokee
Hii game Haaland kamezwa , Alvarez alikuwa out of form kabisa ...Haaland hayupo kabisa.

Guardiola on Kevin de Bruyne not happy with his sub: “I’m happy to see that! I like it if he’s upset, it’s good. He’s happy now…”.
Pep Guardiola:Hata mm niliwaza hili pia, haland ndie alitakiwa atoke,Hii game Haaland kamezwa , Alvarez alikuwa out of form kabisa ...
Kdb alitakiwa kubaki ,Haaland atoke ...maana game ya Leo ilikuwa imemkataaa

Hahaaaa academy yetu Hatuna average player ,mkitaka wengine wapo ...Ki ukweli tuna kila sababu ya kuwaongeza peda kwa Cole parmel
olewenu msiwafunge Arsenal maana kwa hili pila mnalocheza na New castle mnatia mashaka sanaJack is back..View attachment 2935861
Bernado Silva anakuwa mess akisikia draw ya UEFA na real Madrid...olewenu msiwafunge Arsenal maana kwa hili pila mnalocheza na New castle mnatia mashaka sana
Sina kumbukumbu nzuri Ni Lin Arsenal alitufunga Etihad ...olewenu msiwafunge Arsenal maana kwa hili pila mnalocheza na New castle mnatia mashaka sana






@OptaJoe